Huyu Sitta ajiandae kufukuzwa uwaziri tu.
Kinachonikera hawataji mafisadi!
Sitta ni mnafiki nambari one, anatafuta umaarufu na huruma ya wananchi!
Mbona na yeye hasemi anavyotumia gazeti la Mwananchi, Nipashe, Majira na Dira?
Kinachonikera hawataji mafisadi!
Kinachonikera hawataji mafisadi!
Big-up kumbe na wewe ushamsoma, yy na mwakyembe hovyooo "wanafiki" na unafiki huu ulianza baada ya kunywa zile aspirini za mamilioni alipokuwa bado spika.....afu huyu mzee hasomeki kabisa