Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,131
- 14,610
mpwayungu village punguza jazbahakuna mwalimu yeyote anayejua starehe wala mla starehe
atakulaje starehe wakati hana uhakika wa kula milo mi3
mpwayungu village punguza jazbahakuna mwalimu yeyote anayejua starehe wala mla starehe
atakulaje starehe wakati hana uhakika wa kula milo mi3
Mimi sikushauri kuacha kazi ,ninachokushauri ni kuwa mvumulivu na kufanya kazi kwa malengo.habarini wanajamvi?
Nimekuwa nwalimu wa miaka 5 sasa katika mkoa X na shule nayofundisha kwakweli si mbaya sana ina mazingira mazuri kiasi.Lengo la kuja hapa JF ni kuomba ushauri juu ya hatma ya maisha yangu.
Najua kila mtu hajawahi kutosheka juu ya mishahara yao lakini kwa sisi walimu naona hali inazidi kuwa mbaya, Serikali inatukandamiza kwa makato ya siyo ya lazima kama kuchangia mwenge na tunalazimishwa eti mwenge ukija mkoani kwetu lazima walimu tuwepo kuupokea.
kwanini kila kitu mpka sisi walimu tushiriki aiseee, nimechoka kuona kada yangu pendwa imekuwa inadharaulika na serekali kwa kutupiwa kila kitu cha kisiasa matokea yake walimu tumekuwa watu wa mkakati kwa wanasiasa ili kufanikisha azma yao.
Natamani kuacha ualimu ila naogopa wapi ntapata chanzo kingine cha mapato,na sitaki mikopo kabisaa
Naonmbeni ushauri wa wa biashara gani ya kufanya ili niondoke kwenye ualimu
(Sitaki kufungua kijiwe cha tuisheni, walimu tumekuwa tukiona tuisheni kama ni njia pekee ya kujiajiri SITAKIII)
msaada jamani
Shukrani Kwa hekima zakoMimi sikushauri kuacha kazi ,ninachokushauri ni kuwa mvumulivu na kufanya kazi kwa malengo.
Anzisha mradi/miradi nje ya kazi yako na itakapokuwa na kukomaa kwenye mradi/miradi yako hapo baadae angalia kama kuna ulazima wa wewe kuwa involved kwa 100%.
AAaajaaaKuna nyuzi i chini ya 23 juu ya kuwasema walimu.
MY GOD! kumbe hali ni mbaya kuliko nilivyodhania
Nililala Shule miaka mi 5 sikuwahi kuombwa chochoteeeWanafatilia siku hizi baadhi ya halmashauri huwa wanadai matokeo Kila mwisho wa semester.
Kingine mtu kafanya kazi zaidi ya miaka 10 kwenda kusoma fani nyingine then uje uanze mchakato wa recategorization huoni km n kupoteza muda na kubaki palepale.
mwalimu akope 40m, kwa mshahara upiHili jambo jamaa angu mmoja alifanya.
Na sasa ana bongee la biashara Dar.
Alikopa jumla mil 40 akasepa mazimaaaa.
#YNWA
We jamaa unajaza thread tumpwayungu village punguza jazba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walimu gani tena?
Basi we zipunguzeWe jamaa unajaza thread tu
🤣🤣🤣🤣Leo umecheka😳.....aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unadhani ni rahisi namna hiyoTulia Sasa mkuu vuta pumzi, hapo cha kufanya kopa benki, baada ya hapo nenda Bayport kopa mpaka moja ya Tatu hakikisha kadi yako mshahara unaingia buku tano tu, baada ya hapo usiache kazi mwenyewe fanya kudoji kazini mwezi mzima bila taarifa utakuta barua ya kufukuzwa kazi juu ya Meza ya mkuu wa shule ndipo lengo lako litakuwa limetimia maana mkopo una Bima kwahiyo watajijua na mwajiri wako na Bayport itakuwa imekula kwao
Fanya biashara ya huduma za kifedha na ufugaji wa kuku kienyeji hutajuta baada ya miaka mitatu pesa yako ya mwezi utakuwa mshahara wa walimu watano wenye TGTS Wasio kuwa na madeni yoyote
Hapo kwenye kuku umempa bonge la njia la kupiga pesa.Muhimu anunue eneo japo la heka 2 hivi,kwa hao kuku wa kienyeji atapiga pesa.Tulia Sasa mkuu vuta pumzi, hapo cha kufanya kopa benki, baada ya hapo nenda Bayport kopa mpaka moja ya Tatu hakikisha kadi yako mshahara unaingia buku tano tu, baada ya hapo usiache kazi mwenyewe fanya kudoji kazini mwezi mzima bila taarifa utakuta barua ya kufukuzwa kazi juu ya Meza ya mkuu wa shule ndipo lengo lako litakuwa limetimia maana mkopo una Bima kwahiyo watajijua na mwajiri wako na Bayport itakuwa imekula kwao
Fanya biashara ya huduma za kifedha na ufugaji wa kuku kienyeji hutajuta baada ya miaka mitatu pesa yako ya mwezi utakuwa mshahara wa walimu watano wenye TGTS Wasio kuwa na madeni yoyote
Umesema ukweli lazima apitie changamotoHii njia niliitumia mwaka 2012 baada ya kuchoka ualimu.so nilikopa NMB,CRDB na Posta Bank..20M in total..nikaenda chuo kikuu X nikasoma Banking and finance nilipomaliza 2015 nikaajiliwa kwenye private company X hadi 2021...nikaacha now Nina migodi yangu ya dhahabu mkoa X...Maisha mazuri sana km ukithubutu...NB nimefanya story iwe fupi japo nimepitia changamoto nyingi mzito
Basi we zipunguze
mwalimu akope 40m, kwa mshahara upi
acha uongo aisee
Sio RAHISI ila hamaanishi HAIWEZEKANI.Unadhani ni rahisi namna hiyo
Tatizo lenu mnaanika mbinu za ushindi hadharani mwisho mtawasanua waajiri na mabenk huko.[emoji23][emoji23][emoji23]Kazini kwetu wapo wawili.
Wa kwanza.
1. Alikopa mkopo wa Hazina mil 38
2. Akakopa mikopo umiza Mil. 5
Akasepa, sasa yupo dar ana bonge la biashara.
Wa pili.
Alikopa benki ya posta mil 25
Yupo Iringa analima parachichi na ufugaji.
Hivyo, INAWEZEKANA.
#YNWA
Uza nafsi kwa shetani.habarini wanajamvi?
Nimekuwa nwalimu wa miaka 5 sasa katika mkoa X na shule nayofundisha kwakweli si mbaya sana ina mazingira mazuri kiasi.Lengo la kuja hapa JF ni kuomba ushauri juu ya hatma ya maisha yangu.
Najua kila mtu hajawahi kutosheka juu ya mishahara yao lakini kwa sisi walimu naona hali inazidi kuwa mbaya, Serikali inatukandamiza kwa makato ya siyo ya lazima kama kuchangia mwenge na tunalazimishwa eti mwenge ukija mkoani kwetu lazima walimu tuwepo kuupokea.
kwanini kila kitu mpka sisi walimu tushiriki aiseee, nimechoka kuona kada yangu pendwa imekuwa inadharaulika na serekali kwa kutupiwa kila kitu cha kisiasa matokea yake walimu tumekuwa watu wa mkakati kwa wanasiasa ili kufanikisha azma yao.
Natamani kuacha ualimu ila naogopa wapi ntapata chanzo kingine cha mapato,na sitaki mikopo kabisaa
Naonmbeni ushauri wa wa biashara gani ya kufanya ili niondoke kwenye ualimu
(Sitaki kufungua kijiwe cha tuisheni, walimu tumekuwa tukiona tuisheni kama ni njia pekee ya kujiajiri SITAKIII)
msaada jamani
Kwa hiyo na wewe ulitumia njia hii ya mkato siyo!Tulia Sasa mkuu vuta pumzi, hapo cha kufanya kopa benki, baada ya hapo nenda Bayport kopa mpaka moja ya Tatu hakikisha kadi yako mshahara unaingia buku tano tu, baada ya hapo usiache kazi mwenyewe fanya kudoji kazini mwezi mzima bila taarifa utakuta barua ya kufukuzwa kazi juu ya Meza ya mkuu wa shule ndipo lengo lako litakuwa limetimia maana mkopo una Bima kwahiyo watajijua na mwajiri wako na Bayport itakuwa imekula kwao
Fanya biashara ya huduma za kifedha na ufugaji wa kuku kienyeji hutajuta baada ya miaka mitatu pesa yako ya mwezi utakuwa mshahara wa walimu watano wenye TGTS Wasio kuwa na madeni yoyote