The Guitarist
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,428
- 4,776
sio mbaya wanaume tukijua kupika lakini ni mbaya wanawake kujitamba hadharani kwamba ukija keshokutwa lazima unipikieKabla hamjafika kwa baba yake na malezi yake.....
Kuna ubaya gani mwanamume akijua kupika????
Atachubuka mikono?
Uanaume wake unakwisha?????
Au mwanaume hasikii njaa?
Na anapoanz kujitegemea ina maana anakuka magengebi (ni sifa???)
kinachotakiwa kama umempata fala wa kukupikia we tulia usianze tangaza maana si wote tupo hivyo