KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,068
Utasikia naenda au nahamia 'mkoani' ivi ni wapi huko?! Hii dharau inatokana na nini?
Dar sio mkoa?
Kama ishu ni jiji, mbona hata mkiwa mnaenda Tanga, Mwanza na Arusha mnasema mkoani?!
Hii dharau huwa siipendi kabisa. Ntakuja ua mtu.
Dar sio mkoa?
Kama ishu ni jiji, mbona hata mkiwa mnaenda Tanga, Mwanza na Arusha mnasema mkoani?!
Hii dharau huwa siipendi kabisa. Ntakuja ua mtu.