Serikali Imetangaza Zabuni za Kuanza Ujenzi wa Standi Kuu za Mabasi za Mikoa ya Mbeya & Arusha

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,784
Serikali ya Dr.Samia imetangaza Zabuni za Kimataifa Kwa Ajili ya kuanza Ujenzi wa Standi Kuu za Mikuu yaani Regional Bus Terminals Kwa Mbeya na Arusha sanjali na Standi ya Mkoa ya Tabora,Geita na Kahama Kupitia mradi wa TACTIC unaofadhiliwa Kwa Mkopo wa WB.

Napenda kulipa heko Serikali ya Mama Kwa miradi hii sababu itabadilisha taswira ya Majiji ya Mbeya na Arusha ambayo Kwa miaka Mingi hayakuwa na Standi Kuu Zenye hadhi ya Jiji na uzito wa Mikoa husika na kubezwa vya kutosha.

Rai yangu ni kwamba chonde chonde tunaomba wahusika wajenge Standi Kali Zinazovutia na Zenye hadhi ya Jiji kama ilivyo Kwa Standi za Mwanza,Dodoma,Dar,Iringa,Tanga ,Mwenge na Morogoro.
Screenshot_20240124-052852.jpg


My Take
Mwenye renders tunaomba mtuwekee maana link za NesT hazifunguki Ili kuangalia hizo architectural drawings zinavyofanania.
Screenshot_20240124-071430.jpg
 
Hizo stand kuanchiwa halmashsuri ni kupoteza fedha, kiiutwe chombo kama TAA kumanage na kuendeleza hizo stand.


Watanzania tunataka mazingira mazuri kama zilivyo airport.. ukienda dodoma bus terminal utalia..
 
we nawe chenga kweli,hapo umetaja pia Tabora,Geita na Kahama kwa hiyo unamaanisha ni miji mikubwa pia?
Sasa unauliza jibu au swali? Hiyo Miji noliyotaja ikichaguliwa Kwa vigezo vya Wingi wa wakaazi wake ndio ikawa kwenye kundi la I.

Shinyanga mko kwenye kundi la 2 au 3 huko na kina Bukoba,Tanga,Moshi nk ndio mko level Moja.
 
Package 1 tu mpaka Sasa hamna mkandarasi aliyepo site licha ya mikataba kusainiwa mwezi wa 10 ...

yaani niumie vitu ambavyo tunavyo ...unachekesha sana
Huko kwenu labda ndio hawapokei ila kwetu Mkandarasi Yuko site na kazi zinaendelea.

Kama unataka picha nitakuletea
 
Back
Top Bottom