Sipendi kuitwa wa "Mkoani".

Sipendi kuitwa wa "Mkoani".

Kwani Dar kuna nini cha ajabu mbona watu wanaishi maisha ya tabu kuliko hata mikoani au ndo ule ushamba wa kitoto. Mikoani hakuna foleni, hakuna shida ya maji, hakuna joto, hakuna kubanana hata kama ni kutembea unatembea freely kama samaki ndani ya bahari. What else will you be looking for?

hujui joto na foleni ndo starehe za mjini?
 
Mjini mjini bana...mkoani mkoani.
Tuacheni na mikoa yetu wa mkoani.
 
Hehehe! Kuna mmoja kule fb kaandika kwao magogoni. Sijui ndo binamu wa shangazi wa bibi yake cousin wa jirani uao jk? Nikisuta nakudunda.
halafu huwa wana kaharufu fulani hivi, utajua tu huyu wa mkoa! ila akishaogea maji bahari mpe mwezi tu, na ye atakwambia kitovu chake kilizikwa karimjee grounds!! hebu nipite mie!
 
Hahahahhahahhahahaha
calm down! Hivi (dharau) kama hii unayo amini wewe ni dharau unaweza kuitolea ushahidi ili sheria ifate mkondo?

Utasikia naenda au nahamia 'mkoani' ivi ni wapi huko?! Hii dharau inatokana na nini?
Dar sio mkoa?
Kama ishu ni jiji, mbona hata mkiwa mnaenda Tanga, Mwanza na Arusha mnasema mkoani?!
Hii dharau huwa siipendi kabisa. Ntakuja ua mtu.
 
kama mtu ni wa mkoa ni wa mkoa tu...huku Dar watu hawaendeshi punda kama usafiri na wala hatushangai mabugando....
 
Calm down, toa ushahidi wa haya unayo yanena kwa wateja wangu kinyume na hapo unafanya melicious presecutions na tuta hitaji fidia kwa hili!

Hebu toa ushahidi kwa watu japo wawili unao waona hawaogi!

Mnaojidai mpo dar, mbona ni aibu mgeni wako akitoka nje? Tusiende mbali, Mgeni kapandia ndege Jomo Kenyata Airport, akatua JKA.
Ivi bado utajidai upo dar mbele yake?
Mpo dar lakini hamuogi siku tatu, mijasho kila sehemu? Ivi utamu wa mkoa wa dar uko wapi?
 
Utasikia naenda au nahamia 'mkoani' ivi ni wapi huko?! Hii dharau inatokana na nini?
Dar sio mkoa?
Kama ishu ni jiji, mbona hata mkiwa mnaenda Tanga, Mwanza na Arusha mnasema mkoani?!
Hii dharau huwa siipendi kabisa. Ntakuja ua mtu.

mimi ntakua nakuita wa wilayani. mia
 
Hahahahahahha
tafadhali toa ushahidi wa hao watu, kinyume na hapo ni defamation kwa wateja wangu!

Tafadhali thibitisha maneno yako!

halafu huwa wana kaharufu fulani hivi, utajua tu huyu wa mkoa! ila akishaogea maji bahari mpe mwezi tu, na ye atakwambia kitovu chake kilizikwa karimjee grounds!! hebu nipite mie!
 
Tafadhali chunga maneno yako na uombe msamaha kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote ili mradi asivunje sheria! Kupanda punda ni utashi wa mtu na huamuzi! Tafadhali waombe msamaha wateja wangu!

kama mtu ni wa mkoa ni wa mkoa tu...huku Dar watu hawaendeshi punda kama usafiri na wala hatushangai mabugando....
 
Tafadhali chunga maneno yako na uombe msamaha kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote ili mradi asivunje sheria! Kupanda punda ni utashi wa mtu na huamuzi! Tafadhali waombe msamaha wateja wangu!

Hahaha Loya, suala la kuitwa wa mkoa au kuitwa mpanda punda si tusi hivyo sioni kama napaswa kumuomba msamaha mteja wako yoyote....vipi nikisema wanapanda ndege au metro train?? najua hapo nitapigiwa makofi na kuambiwa ubarikiwe kijana!!
 
Nawewe ukiwa mkoa wako. Na ukiwa unataka kwenda mkoa wowote au hata dar sema unaenda mkoani.
 
Mie sipendi hasa wakazi wa Lindi Mtwara, Ruvuma huwa hawataki kutaja mkoa anaotoka utasikia natokea kusini huko. Hiyo sentensi imefanya hata watu wengi saas wanatumia utasikia watu wa kusini, kweli nachukia sana huo usemi, kwa nini usitaje mkoa rasmi au wilaya unajumuisha tuu eti kusini kwa nini?

Au utasikia nipo nje ya mji
 
halafu huwa wana kaharufu fulani hivi, utajua tu huyu wa mkoa! ila akishaogea maji bahari mpe mwezi tu, na ye atakwambia kitovu chake kilizikwa karimjee grounds!! hebu nipite mie!

shost umenchekesha kweli, et "kaharufu" mh ce wa mikoani tunaonewa bt at the same time nasi tunawaonea wa Tabora, Chigoma, Shy na Kagera. . . .
 
Back
Top Bottom