Sipendi kuitwa wa "Mkoani".

kuna wakati nisipoingia jamii forum naugu yani uzi wa jamaa nimecheka mpaka Basi ..wakati naingia Dar miaka hiyo, siku ya kwanza nikaenda mahali fulani kuchotan maji (ilikuwa shida sana enzi hizo maeneo ya Tabata) nilipofungua tu mdomo kuuliza madumu yale nilochota sh. ngapi...Mtu mmoja akwambia wenzake "wamkoani huyu" akasistiza katoka mkoani huyu...nilifili bad but now days nacheka tu nikisikia mtu akiambiwa hivyo.....Dar ndo kila kitu lol
 
Mnaojidai mpo dar, mbona ni aibu mgeni wako akitoka nje? Tusiende mbali, Mgeni kapandia ndege Jomo Kenyata Airport, akatua JKA.
Ivi bado utajidai upo dar mbele yake?
Mpo dar lakini hamuogi siku tatu, mijasho kila sehemu? Ivi utamu wa mkoa wa dar uko wapi?
 
Mnaojidai mpo dar, mbona ni aibu mgeni wako akitoka nje? Tusiende mbali, Mgeni kapandia ndege Jomo Kenyata Airport, akatua JKA.
Ivi bado utajidai upo dar mbele yake?
Mpo dar lakini hamuogi siku tatu, mijasho kila sehemu? Ivi utamu wa mkoa wa dar uko wapi?

karibuni mkoani bagamoyo! manake huwa mnasema hakukaliki wachawi wengi. si wenyewe tushazoea hivo!
 
Ila kibamba, kimara na kitubda ni mkoani. Dsm ni mbagala, manzese na masaki na mbezi beach. Hata bunju mkoani tu,lol
kakajambazi unebichekesha hadi nimepaliwa. Afu ujue watu wa mkoani utawajua tu, wala hawahitaji kujitambulisha.
KWI KWI KWI! dar ndio haswaaaaaaa tanzania, hata zanzibar ni mkoa! yaani dar ni mambo yote, lolest! msinipige tu humu jamani! taratibu,
 
mie sipendi hasa wakazi wa lindi mtwara, ruvuma huwa hawataki kutaja mkoa anaotoka utasikia natokea kusini huko. Hiyo sentensi imefanya hata watu wengi saas wanatumia utasikia watu wa kusini, kweli nachukia sana huo usemi, kwa nini usitaje mkoa rasmi au wilaya unajumuisha tuu eti kusini kwa nini?



aiseee mtwara iko level nyingne sasa,,mjini pamebaki ghorofa tuh saiz,nchi ipo huku sasa
endeleen kuzubaa zubaa mnashangaa maghorofa tuh
5 flights per day sio haba,,,
 
Utasikia naenda au nahamia 'mkoani' ivi ni wapi huko?! Hii dharau inatokana na nini?
Dar sio mkoa?
Kama ishu ni jiji, mbona hata mkiwa mnaenda Tanga, Mwanza na Arusha mnasema mkoani?!
Hii dharau huwa siipendi kabisa. Ntakuja ua mtu.

Ni kweli inaboa ila usifikie hatua ya kuua.
 
sasa KakaJambazi hiyo si lugha tuu? na sie tunaotoka msewe utakuta mwenzio anakuaga anakwambia naelekea dar es salaam, ina maana ubungo msewe sio dar ila dar ipo mujini
 
Utasikia naenda au nahamia 'mkoani' ivi ni wapi huko?! Hii dharau inatokana na nini?
Dar sio mkoa?
Kama ishu ni jiji, mbona hata mkiwa mnaenda Tanga, Mwanza na Arusha mnasema mkoani?!
Hii dharau huwa siipendi kabisa. Ntakuja ua mtu.

Bongo Darisalama, kunakobaki kote upcountry.
Wala usiumie mshua, Darisalama yenyewe inaendeshwa na hao hao wa mikoani. Wazawa tuko kwa Mtogole tumeajiriwa vibarua maduka ya spea Kariakoo.
 
Mnaojidai mpo dar, mbona ni aibu mgeni wako akitoka nje? Tusiende mbali, Mgeni kapandia ndege Jomo Kenyata Airport, akatua JKA.
Ivi bado utajidai upo dar mbele yake?
Mpo dar lakini hamuogi siku tatu, mijasho kila sehemu? Ivi utamu wa mkoa wa dar uko wapi?

Acha WIVU wewe!!!!
 
Ila kibamba, kimara na kitubda ni mkoani. Dsm ni mbagala, manzese na masaki na mbezi beach. Hata bunju mkoani tu,lol
kakajambazi unebichekesha hadi nimepaliwa. Afu ujue watu wa mkoani utawajua tu, wala hawahitaji kujitambulisha.
halafu huwa wana kaharufu fulani hivi, utajua tu huyu wa mkoa! ila akishaogea maji bahari mpe mwezi tu, na ye atakwambia kitovu chake kilizikwa karimjee grounds!! hebu nipite mie!
 
Kwani Dar kuna nini cha ajabu mbona watu wanaishi maisha ya tabu kuliko hata mikoani au ndo ule ushamba wa kitoto. Mikoani hakuna foleni, hakuna shida ya maji, hakuna joto, hakuna kubanana hata kama ni kutembea unatembea freely kama samaki ndani ya bahari. What else will you be looking for?
 
Mbona kawaida mi mwenyewe nikienda mkoani kwetu naaga kwa mashosti mwenzenu ntaenda mkoani


Au nimerudi kutoka Mkoa.......... kawaida tu.
 
Na hapa bado barabara za kwenda kasi hazijakamilika, plus daraja la kigamboni na fly overs juu bila kusahau trains za mwakyembe.. Jk nyerere international airport terminal 3, duh kweli dar itakuwa kama new york,,, kweli wa mkoan kazi tunayo
 
Na hapa bado barabara za kwenda kasi hazijakamilika, plus daraja la kigamboni na fly overs juu bila kusahau trains za mwakyembe.. Jk nyerere international airport terminal 3, duh kweli dar itakuwa kama new york,,, kweli wa mkoan kazi tunayo

hahahahaaaaa heri uzoee kuitwa wa 'mkoani'
 
Back
Top Bottom