Sina tabia ya kuchagua vitu (vyakula) sokoni vilivyo bora

Sina tabia ya kuchagua vitu (vyakula) sokoni vilivyo bora

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
23,580
Reaction score
56,799
Kuna watu hela yao wanaichungulia Sana mtu anaenda sokoni kununua vitu ila anashika shika Sana Mimi sinaga pigo hizo yaani nachoamini vitu vyote kavileta Mungu na kila kitu NI chema na kila mtu anastahili riziki hiyo hiyo so hata nikiwa nanunua mihogo me namwambia Tu niwekee yoyote.unawazaje kwamba kitu Fulani kina kasoro me kwangu vyote poa Tu kisiwe Tu kibovu.
 
FB_IMG_1753839691625.jpg
 
Kuna watu hela yao wanaichungulia Sana mtu anaenda sokoni kununua vitu ila anashika shika Sana Mimi sinaga pigo hizo yaani nachoamini vitu vyote kavileta Mungu na kila kitu NI chema na kila mtu anastahili riziki hiyo hiyo so hata nikiwa nanunua mihogo me namwambia Tu niwekee yoyote.unawazaje kwamba kitu Fulani kina kasoro me kwangu vyote poa Tu kisiwe Tu kibovu.
Kiukweli kuna watu wanapenda mno kushikashika
Halafu anaondoka hanunui.

Mimi mwenyewe huwa sipendi kushikashika,namwambia niwekee kitu kizuri basi..kazi kwake..anajua asipobalance,kesho sitarudi .
 
Kuna watu hela yao wanaichungulia Sana mtu anaenda sokoni kununua vitu ila anashika shika Sana Mimi sinaga pigo hizo yaani nachoamini vitu vyote kavileta Mungu na kila kitu NI chema na kila mtu anastahili riziki hiyo hiyo so hata nikiwa nanunua mihogo me namwambia Tu niwekee yoyote.unawazaje kwamba kitu Fulani kina kasoro me kwangu vyote poa Tu kisiwe Tu kibovu.
Ukikutana na wafanyabiashara ambao si wakweli watakupiga sana
 
Kuna watu hela yao wanaichungulia Sana mtu anaenda sokoni kununua vitu ila anashika shika Sana Mimi sinaga pigo hizo yaani nachoamini vitu vyote kavileta Mungu na kila kitu NI chema na kila mtu anastahili riziki hiyo hiyo so hata nikiwa nanunua mihogo me namwambia Tu niwekee yoyote.unawazaje kwamba kitu Fulani kina kasoro me kwangu vyote poa Tu kisiwe Tu kibovu.
Huna akili
 
Kiukweli kuna watu wanapenda mno kushikashika
Halafu anaondoka hanunui.

Mimi mwenyewe huwa sipendi kushikashika,namwambia niwekee kitu kizuri basi..kazi kwake..anajua asipobalance,kesho sitarudi .
Upo mkoa gani huo wanaojali kua utarudi kesho??
Masoko ya huku biashara ni siku hiyohiyo.
Yaani unanunua nyanya za jero akuwazie na kesho, anakuchapa na maronya humohumo kesho watakuja wengine.
 
Hongera yako,
Ila Mimi hapana kwa kweli, sitaki kuwa mnafiki, mambo ya kugawana hasara na watu siwezi kwa kweli. 😀😀
Mimi mwenyewe ukija kwangu, chagua weeeee hata Siku nzima, kama hujapenda nenda, na sikasiriki. Ni nyie TU wateja mnajistukia, watu hawana shida.
Kwanza mi sokoni bila kuonja sitaelewa 😀😀😀 mpaka siku nikahara labda nitajifunza. 😥
Machungwa bei gani? 100, natoa 100 nalikataka naonja, makali.....nasepa, mazuri nanunua. Vitunguu nipe dish nichague unipimie. Maparachichi ndio kijiwe kizima wananijua, utasikia we Dada maparachichi yenye vipele haya hapa, 😀😀
 
Hongera yako,
Ila Mimi hapana kwa kweli, sitaki kuwa mnafiki, mambo ya kugawana hasara na watu siwezi kwa kweli. 😀😀
Mimi mwenyewe ukija kwangu, chagua weeeee hata Siku nzima, kama hujapenda nenda, na sikasiriki. Ni nyie TU wateja mnajistukia, watu hawana shida.
Kwanza mi sokoni bila kuonja sitaelewa 😀😀😀 mpaka siku nikahara labda nitajifunza. 😥
Machungwa bei gani? 100, natoa 100 nalikataka naonja, makali.....nasepa, mazuri nanunua. Vitunguu nipe dish nichague unipimie. Maparachichi ndio kijiwe kizima wananijua, utasikia we Dada maparachichi yenye vipele haya hapa, 😀😀
Good ila kuna muda utakubali changamoyo hata kama ni ndogo
 
Back
Top Bottom