SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,076
Maswali ambayo mtu yeyote anayetumia hizo tecno hajibu,tangu page ya 1 hakuna alojibu.Hahaha mkuu ila lazima tujiulize mataifa makubwa yenye uchumi mkubwa kwa nchi na kwa mwananchi mmoja mmoja simu kama hizo za mitekno inapigwa ban lakini sisi waafrika na huku bongo ndio tunatumiwa tuzitumie
Tecno users are the friend of culture gal[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wa tecno mmeshindikana tekno sio simu nchi zingine zinapigwa ban ya kutisha ila makombo mnaletewa nyie ...niambie ulishaenda marekani ukakuta mtu anatumia tecno na itel zenu hizo