Simu Janja (Smartphone) 19 bora zinazokaa na chaji muda mrefu

Simu Janja (Smartphone) 19 bora zinazokaa na chaji muda mrefu

Kwa hizo Picha ulizopost hapo juu ni uongo,huwezi kuonyesha Samsung eti inatunza moto wakati walishashindwa mpaka leo bado wanafanyia majaribio.Kama kweli unauza simu ungeweka specification za simu nikikuta simu INA battery 5050mAh nachukua bila kuangalia jina, tecno L8 IPO juu kwa kutunza moto
 
Ni kwamba tecno ina uimara kwenye chaji ila sio simu,
Ndo maana zinapozungumzwa simu tecno huachwa.
Wewe jiulize inatengenezwa China,halaf hawaitumii kwanini?
Mada inahusu simu bora 19 zilizo na uwezo wa kuhifadhi chaji...

Maswala ya ubora yanatoka wapi?
 
Kwa hizo Picha ulizopost hapo juu ni uongo,huwezi kuonyesha Samsung eti inatunza moto wakati walishashindwa mpaka leo bado wanafanyia majaribio.Kama kweli unauza simu ungeweka specification za simu nikikuta simu INA battery 5050mAh nachukua bila kuangalia jina, tecno L8 IPO juu kwa kutunza moto
[emoji23] [emoji23] juzi nmemnunulia demu wangu tecno spark hizo toleo jipya, yani chaji hakuna kitu akiwa online ni masaa kadhaa tu na haina hata mwezi toka anunue,..
Hii L8 yangu ina mwaka na nusu lakini sijawahi kuwaza juu ya kuishiwa chaji.
 
Tecno ndio mbabe wa Betri kwa smartphone nilishasahau habari ya kubeba power bank
 
Umewaona hao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha mkuu ila lazima tujiulize mataifa makubwa yenye uchumi mkubwa kwa nchi na kwa mwananchi mmoja mmoja simu kama hizo za mitekno inapigwa ban lakini sisi waafrika na huku bongo ndio tunatumiwa tuzitumie
 
Kwa hizo Picha ulizopost hapo juu ni uongo,huwezi kuonyesha Samsung eti inatunza moto wakati walishashindwa mpaka leo bado wanafanyia majaribio.Kama kweli unauza simu ungeweka specification za simu nikikuta simu INA battery 5050mAh nachukua bila kuangalia jina, tecno L8 IPO juu kwa kutunza moto
Watu wa tecno mmeshindikana tekno sio simu nchi zingine zinapigwa ban ya kutisha ila makombo mnaletewa nyie ...niambie ulishaenda marekani ukakuta mtu anatumia tecno na itel zenu hizo
 
Back
Top Bottom