mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,734
Wee usifananishe tecno na simu mkuuUnaweka Sumsang alafu unaachaje tecno l8?
Wee usifananishe tecno na simu mkuuUnaweka Sumsang alafu unaachaje tecno l8?
Sony labd AX1 zingine tupa kuleHuwezi kuwa serious kama hamna Sony katika hio list
Siyo level hizi mkuuInfinix wapi
Kweli kabisa. Maana kuna Tecno L9 plus power betri yake ina mAh 5000 wakati hiyoBila tecno hii mada hainogi hahaaa uwiii
Kweli kabisa. Maana kuna Tecno L9 plus power betri yake ina mAh 5000 wakati hiyo Samsung galaxy S8 ina mAh 3000, S8 plus ina mAh 3500. Au wanaangalia majina ya makampuni au alifanya utafiti kwenye hizo simu? Afanye utafiti upya ndo atuletee.Bila tecno hii mada hainogi hahaaa uwiii
Na hata ukubwa wa betri wa hizo simu alizozitaja ni mdogo.Wewe huo utafiti wako umeufanyia mtandaoni ila haujakaa na kutafiti sim zenyewe kabisa.
Umeshawahi kutumia Infinix?! Me nilishawahi kutumia infinix hot 4, hii sim huwa inakaa na chaji na alarm ya low battery inapiga baada ya masaa 48 kwa maana ya siku mbili kama ukiwa unawasha dadta kusoma text tu za whatsapp kisha unazima.
Ukipiga sim kuongea mfululizo mimi huwa naongea sim muda mwingine hata masaa manne mfululizo, ila ukija kutazama asilimia zimeganda pale pale.
Sitaki kusifia sana. Hii ni miongoni mwa sim smartphone nafuu sana ila kiukweli inaridhisha na kurejesha thamani ya pesa uliyotumia kuinunulia.
Kama unahisi ni porojo nakuruhusu agizia sim yako ya infinix now halafu uje kutoa ushuhuda. Hizo umetaja hapo nyingi hazina uwezo wa kukaa na battery muda mrefu sababu vitendea kazi vyake vina consume umeme mwingi sana wakati inatumika.
Bado huzijui Sony Xperia Z2 from the box ingetosha kukunyamazisha kabisa.Sony labd AX1 zingine tupa kule
Huyu amekurupuka. Angesema labda sim zenye features nzuri hapo hizo zinaqualify ila kwa battery ambazo zinanguvu amechemkaNa hata ukubwa wa betri wa hizo simu alizozitaja ni mdogo.
Nazijua ndo maana nimekuambia kuhusu hilo toleo maridhawa kabisa na nakuambia katika simu zoote za sony hakuna simu ka Sony x itafute utaniambia,hayo ma z yote ni bure kabisaBado huzijui Sony Xperia Z2 from the box ingetosha kukunyamazisha kabisa.
Nshatumia T, Z,C,M na sasa najipanga kuhamia kwenye X. Sony wapo vizuri kwa utunzaji wa charge
AisehBila tecno hii mada hainogi hahaaa uwiii
Dah aise mkuu mimi mwenyewe nimeshindwa kuwaelewesha hahahaWabongo tunapenda sana vitu vya bei chee "Vitonga" ila madhara ni makubwa kwa sababu vingi havina ubora.
Mfano tecno inakotengenezwa hawaitumii, nafananisha na madawa ya kuongeza chura ya wachina.
Kama wewe ni mtaalamu wa hardware basi tecno imetengenezwa kwa hardware mbovu na za low quality mf SoC na components nyingine hazina maana hivyo inakula umeme kidogo.
Sasa utakuja kushindanishaje na brand zilizokubuhu kwenye teknolijia kama apple, samsung, nokia, microsoft lumia n.k. Vifaa vyao ni vya ubora wa hali ya juu na ni salama na vimekaguliwa kimataifa na wataalamu mbalimbali.
Tecno GSMArena tuu hawapo halafu mnakuja kutokwa povu hapa.
Mna uelewa mdogo na haya mambo hivyo sio makosa yenu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Khaa!!