Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,298
PamojaUmewajibu vizuri mkuu
PamojaUmewajibu vizuri mkuu
kanunue battery case labda,
huwezi badili non removable battery bila kuharibu design ya simu.
kwani Tecno haipo soko la kimataifa? ikiuzwa Tanzania na kenya tayari ni soko la kimataifa.Sio soko la magharibi soko la kimataifa,HUAWEI na Xiaomi washaingia labda kwa Infinix ndo sina hakika mana ni project ya Android kwa watu wa chini kumiliki simu janja
Teh... Teh.. Teh... Aya bhanakwani Tecno haipo soko la kimataifa? ikiuzwa Tanzania na kenya tayari ni soko la kimataifa.
jinsi battery linavyokuwa kubwa ndio linavyochukua nafasi kubwa na kuzalisha joto jingi.Kuna madhara gani ikiwa utafanikiwa kubadili betri na kuweka isiyokuwa ya kwake.....!!?
jinsi battery linavyokuwa kubwa ndio linavyochukua nafasi kubwa na kuzalisha joto jingi.
hivyo unapolibananisha battery na vifaa vyengine bila kuacha nafasi ya kutosha unahatarisha simu hata kulipuka. ie note 7.
Mh nilichukia kampuni ya Samsung kwa ajili ya Galaxy S III... nikasema jina linaitwa Samsung.. Marufuku..Hhahaha nenda kafanye utafiti tatizo mmejaza akilini mwenu neno "tecno"
Huo ni utafiti wa kimataifa ndugu.. Siyo wa kwetu huku huu wa Twaweza.. Hapana..Tecno ndio mbabe wa Betri kwa smartphone nilishasahau habari ya kubeba power bank
L8 ni mashine 5050mhATecno ww kiboko yao c8
Acha umbea wewe, hapo asiekuwepo ni infinix na vivo tuhata infinix, xiaomi, huawei, oppo, vivo, hawapo soko la magharibi.
kinachofanya simu ile chaji haraka ni optimisation ya OS husika. Kama simu haijawa optimized ili iwe inasave battery kwa kufungia unneccessary programs ama hardware ambazo hutumii kwa wakati huo basi itazingua sana kwa kuisha charge mapema.Asante sana kwa maelezo murua ndugu.......
Je kipi kinachofanya simu kama iPhone chaji iishe haraka....!!?
Je kuna setting yoyote ninayoweza kuifanya kupunguza tatizo hilo.....!!!??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Khaa!!Weka itel 1556 battery 5000mAh inakosaje kuingia?
Kwani tecno ni simu??Bila tecno hii mada hainogi hahaaa uwiii
Hzo zina group lao huko guangzhouuEmbu weka apo tecno c9 huu mzigo nikichaji nasahaa kabisa