Simu Janja (Smartphone) 19 bora zinazokaa na chaji muda mrefu

Simu Janja (Smartphone) 19 bora zinazokaa na chaji muda mrefu

Itabidi tuwashauri wawape watoto wachezee maana hakuna namna.....[emoji23][emoji23][emoji23]
Weeeeee.
Halafu tecno users kwa KUOMBA CHAJA SASA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko maofisini,
Huwa hawana hata USB cable,ukimwambia ndugu yangu hii chaja ni spesho kwa simu yangu,anamuna anaweza kuona unariinga
IMG_20171208_150146.jpg
 
Weeeeee.
Halafu tecno users kwa KUOMBA CHAJA SASA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko maofisini,
Huwa hawana hata USB cable,ukimwambia ndugu yangu hii chaja ni spesho kwa simu yangu,anamuna anaweza kuona unariingaView attachment 657561
Wanajiaminiii ila wanasahau mafile yao hupotea kimazingara, mara picha hazimo mara majina....
Mafundi simu huneemeka kwa Tecno users kiukweliiii. hahahahahaha
 
Wanajiaminiii ila wanasahau mafile yao hupotea kimazingara, mara picha hazimo mara majina....
Mafundi simu huneemeka kwa Tecno users kiukweliiii. hahahahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nacheka sana,
Hizo ndo kesi za tecno users,kuna jamaa yangu fundi aliwaambia wateja wake jaman eeeenh hizi TECNO SIO SIMU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walinunaaaa
IMG_20171123_131007.jpg
 
Si kila leo wanaletea masimu,mara c5,sijui l ngapi.
Weee fikiria simu gani kila wiki modeli mpya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inatoka.
Wachina wamewaona mazoba kweli
Me ndio hata sijawahi kufatilia models zao, nikimuona mtu ana Tecno naishia kusema "okay, basi sawaaaa" lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nacheka sana,
Hizo ndo kesi za tecno users,kuna jamaa yangu fundi aliwaambia wateja wake jaman eeeenh hizi TECNO SIO SIMU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walinunaaaa
View attachment 657564
Hata ningekua mimi ningenuna.... Na zinavyokuaga kubwa sasa hahaha ukute mtu ana Tablet ya Tecno kila mda anaiwasha washa hata hana matumizi nayo.... hua naangalia mara moja tu kisha nageuka pembeni.... lol
 
Huyo anajifurahisha Samsung sitaki hata kuisikia hazikai na chaji we chunguza watu wengi wanaotembea na chaji au power bank ni wa simu aina zipi
Samsung ndio simu namba moja zinazoongoza kukata charge mapema.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hahaha tumefanyaje mkuu, halafu kwa taarifa yako natumia Sony xperia C3 dual. Google battery perfomance ya hio simu ndio utaelewa namaanisha nini
Umewaona hao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watanzania na tecno yetu sasaaa

Unaweka Sumsang alafu unaachaje tecno l8?

Tecno ww kiboko yao c8

Kboko ya chaji tecno L5/L8 na L9Plus

Tecno L8 naitumia siku 3, huo utafiti ni fake pasipo na tecno.

Aiseee tecno wako vizur

Duuu ww boya kweli..kaulizie cm za INFINIX ndo uje apa uandike [emoji23] [emoji23] [emoji23] ata tecno L8 tu ni shida

Takwimu uchara hizi, tecno haipo!!!!, yani hadi Samsung inaipiku tecno???.

Huu uzi bila Chifu mkwawa kuweka neno haukamiliki. Ila utafiti huo ni batili maana hizo simu zote ulizoweka hapo kwenye mambo ya bettery charge Tecno ni nyoko...

Tecno w3 xP hii ni noma pia 5000mAh

Unaiachaje TECNO L9 PLUS, BETRI mah5050

Kuna Tecno L9 plus battery yake ina 5050mah sijaioba hapo

Kamatecno haipo hapo Basi report ya kinafki Hii mbaya zaid mnaweka Samsung ambazo ukiwasha data tu nikama umefungulia chumachaji

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanasingizia Virus wamekula hahahaha
Ni kwamba wenyewe wapo
Timu tecno
 
Back
Top Bottom