Simba SC yatoa taarifa rasmi, yataka kupewa ushindi kwa Yanga SC kususia kuingiza timu uwanjani

Si umeambiwa Samia alikuwa anataka kuangalia hyo MECHI
Mbona hamkuhoji sababu za kusogezwa mbele?
Screenshot_20210510-093727.jpg
 
Walichokifanya yanga ni kuonesha kwamba nao wapo na uwelewa kwa kiasi gani, kama mpira unaongozwa kwa kanuni na sheria inakuaje kwenye baadhi ya taratibu wanaitaji busara. Yanga wapo sahihi 100% kugomea mchezo ule, na hii sasa inapelekea hata vilabu visivyokuwa na nguvu kuweza kukomesha tabia hizi.

Leo hii hakuna mechi ya simba ama yanga waliocheza saa 8 mchana. ila game za middle table team wanacheza sana wakati wa jua kali, hawakuwai kugomea sababu ya udogo wao. Yanga ameonesha njia na ni kitu cha kuigwa na kuungwa mkono na vilabu vyote nchi katika kuhakikisha shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) wanakuwa na uweledi katika utendaji wa kazi zao.

derby haiwezi kughairishwa kwa interest za mtu mmoja mmoja na haipo ivyo, unless pawe na sababu za kimazingira labda, lakini pasina kuwa na sababu za wazi hakuna kitu kama hiki kitaweza kukukubalika.

Wanachokifanya simba nadhani hakina afya kwenye soka la Tanzania sababu bado tutabakia kwenye mfumo wa "NDIO MZEE" bila kujua shida iko wapi.

MWISHO: Kwenye Simba vs Yanga hakuna point ya bure
 
Msemaji wa nchi kwani anasemaje? Manake ule mwandiko ni wake. Gazeti lefu lisilo na maana.
Yanga barua yao ina maneno machache tu, wakiambatanisha kifungu cha sheria kusupport wanachokiongelea.

Hii barua ya Simba sidhani kama imeandikwa na afisa habari wa timu. Jazba nyingi sana imetumika wakati wanaiandaa. Na hapo watakuwa walijaribu sana kuedit walau iwe fupi.
 
"Each member association shall manage its affairs independently without influence from third part".

Wewe ndiyo kilaza kweli yan! Hiyo hapo ina maana gan wewe kiaz!
Key word its affairs. Nitajie stadium yoyote wanayo milki TFF.
TFF wapo na security!?
Mbona FIFA wapo open kabisa.
Serikali mambo ya uchaguzi, mambo yanayohusu uamuzi ndani ya uwanja nk hawatakiwi kuingiliwa.
 
Kwa iyo Yanga sa hivi wamekuwa watafsiri na wasimamizi wa vifungu vya sheria za mpira sio club ya mpira tena. Yani wamekomalia kifungu cha sheria,kwani sababu gani zingine zaidi ya sheria ziliwafanya wagomee mechi sa 1 usiku!?
 
Yanga kama walipewa taarifa wakaikataa wasingepeleka timu kabisa uwanjani hii ni janjajanja ya kukwepa kipigo
Kutopeleka timu uwanjani maana yake wameikubali taarifa. Wao waliikataa, ndio maana wakaendelea na ratiba ya awali.

Yani kama Yanga wangejiroga wasipeleke timu uwanjani, basi hoja zao zisingekuwa na mashiko
 
Yanga mlipanic,mbona amuelezi kusogezwa mbele kwa mechi kuliwaletea madhara gani na nyie mdai fidia maana simba hakutokea saa 11.
Nadhani waliosogeza mbele, ilibidi watangulie na kutoa sababu ya kufanya hivyo. Sio kutoa tu order as if wanadeal na watoto.
 
Japo mimi ni Simba SC ila kwa hili tamko lao lililokosa support ya kanuni au sheria kupinga kile walichosema Yanga SC jana kuhusu kanuni ya ligi No. 15 (10) wamekosea.

Nawaona Simba wametoa sababu nyepesi sana, unless kama hiyo kanuni waliyoitoa Yanga iwe na exception kwamba inaweza badilika kulingana na mazingira fulani yatayojitokeza ndio Simba waitumie hiyo exception but not otherwise.

UPDATE:
Nimeona Rage amesema hicho kifungu walichonukuu Yanga SC kina exception kama nilivyoeleza pale juu, Rage anadai Yanga hawakusoma sheria yote japo nae hajanukuu hicho kifungu cha kanuni, ila kama huu ndio ukweli basi Simba SC wanaelekea kuwa sahihi kwa ule uamuzi wao wa kuingiza timu uwanjani saa moja usiku.
Simba wameondoka kabla ya saa 1 kamili sasa wanapewaje point?

Hiii ngoma imekaa vibaya suluhisho kupanga ratiba upya.
 
Kwanini wanakimbia mechi.Simba haipo kuitetea au kuunga mkono maazimio ya utopolo.Waliamua kutocheza wakijua athari zote watazibeba.

Walikimbia lkn kipigo kiko palepale kinawasubiri.
 
Simba wameondoka kabla ya saa 1 kamili sasa wanapewaje point?

Hiii ngoma imekaa vibaya suluhisho kupanga ratiba upya.
TFF walicheza mchezo wao mapema kwa kutangaza mechi imeahirishwa kabla Simba haijapeleka timu dimbani.Kinyume na hapo simba,na waamuzi wangeingia uwanjani kuanza mchezo na hapo hoja ya point 3 ingekuwa na nguvu.

Yote kwa yote Utopolo watapigwa tu hata wakimbie.KIPIGO KWA UTOPOLO KIKO PALEPALE!!

Nawashauri utopolo mechi ijayo waingie uwanjani km mashabiki wa Man U ,labda itawasaidia kuepuka kipigo,Tena cha mbwa koko.
 
Japo mimi ni Simba SC ila kwa hili tamko lao lililokosa support ya kanuni au sheria kupinga kile walichosema Yanga SC jana kuhusu kanuni ya ligi No. 15 (10) wamekosea.

Nawaona Simba wametoa sababu nyepesi sana, unless kama hiyo kanuni waliyoitoa Yanga iwe na exception kwamba inaweza badilika kulingana na mazingira fulani yatayojitokeza ndio Simba waitumie hiyo exception but not otherwise.

UPDATE:
Nimeona Rage amesema hicho kifungu walichonukuu Yanga SC kina exception kama nilivyoeleza pale juu, Rage anadai Yanga hawakusoma sheria yote japo nae hajanukuu hicho kifungu cha kanuni, ila kama huu ndio ukweli basi Simba SC wanaelekea kuwa sahihi kwa ule uamuzi wao wa kuingiza timu uwanjani saa moja usiku.
Sometimes huwa unaandika point,huwa nakuchukulia kama kijana asiyejua chochote na aliyejaa good for nothing issues

Hongera kwa hili mkuu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom