sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Ismailia Wamecheza Jana mechi ya ligi ya kwao, leo mnawapiga fix mazuzu wenu mlionunua klabu yao milele kwa bilioni 20 za kwenye bango,,Eti mmecheza nao mechi.
Nyieeee, Yaan Jana wacheze mechi ya ligi tena away,,kisha leo mcheze nao mechi ya kirafiki?
Kuweni Serious, Waambieni ukweli Wafuasi wenu, Leo mmecheza na Madreva Taxi wanaoshabikia hyo Club na Parking za Taxi zao ni nje ya Uwanja wa Ismailia, kuvaa jezi za Ismailia sio kigezo, kwani mkisema ukweli mtakufa?
Nb: Makolo 1- Ismailia Taxi Drivers 1
Period
Nyieeee, Yaan Jana wacheze mechi ya ligi tena away,,kisha leo mcheze nao mechi ya kirafiki?
Kuweni Serious, Waambieni ukweli Wafuasi wenu, Leo mmecheza na Madreva Taxi wanaoshabikia hyo Club na Parking za Taxi zao ni nje ya Uwanja wa Ismailia, kuvaa jezi za Ismailia sio kigezo, kwani mkisema ukweli mtakufa?
Nb: Makolo 1- Ismailia Taxi Drivers 1
Period