Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
WACHEZAJI PEKEE WANAOCHEZA LIGI KUU TANZANIA AMBAO WAMEWAHI KUWEMO KWENYE KIKOSI CHA TIMU YAP YA TAIFA IKITWAA UBINGWA WA AFRICA. LOMALISA WAZIRI WA MAJI. NA YANNICK BANGALA LITOMBO MZEE WA KAZI CHAFU
Ebwanaee nilikuwa napitia stats za Joyce LOMALISA Mwaka 2016 alibeba ndoo chan 2016 iliyofanyika Rwanda. Katika mechi ya fainali waliyokutana na Mali vikosi vilikuwa
DR Congo: Ley Matampi, Yannick Bangala, Joyce Lomalisa, Junior Baometu, Joel Kimwaki, Merveille Bope, Mechak Elia, Doxa Gikanji, Nelson Munganga, Zacharie Mombo, Jonathan Bolingi
Mali: Djigui Diarra, Abdoul Dante, Issaka Samake, Aliou Dieng, Abdoulaye Diarra, Moussa Sissoko, Mamadou Doumbia, Sekou Koita, Lassana Samake, Hamidou Sinayoko, Mamadou Coulibaly
Nb: Aliu dieng Yuko chama kubwa Al ahly na Bangala alipitia Yanga na LOMALISA kama Kawa ndo WAZIRI wa wananchi wa maji na Mdaka mishale
Pia LOMALISA alikuwepo Kwenye KIKOSI CHA Congo DRC Afcon 2017 kilitolewa Kwa taaaabi na Ghana Kwenye. Robo fainali
ingia Kwenye Link group C angalia KIKOSI CHA DRC na kama hutojali angalia na TOGO utamuona mwamba Vincent Bossou MCHEZAJI wa young Africans
Ebwanaee nilikuwa napitia stats za Joyce LOMALISA Mwaka 2016 alibeba ndoo chan 2016 iliyofanyika Rwanda. Katika mechi ya fainali waliyokutana na Mali vikosi vilikuwa
DR Congo: Ley Matampi, Yannick Bangala, Joyce Lomalisa, Junior Baometu, Joel Kimwaki, Merveille Bope, Mechak Elia, Doxa Gikanji, Nelson Munganga, Zacharie Mombo, Jonathan Bolingi
Mali: Djigui Diarra, Abdoul Dante, Issaka Samake, Aliou Dieng, Abdoulaye Diarra, Moussa Sissoko, Mamadou Doumbia, Sekou Koita, Lassana Samake, Hamidou Sinayoko, Mamadou Coulibaly
Nb: Aliu dieng Yuko chama kubwa Al ahly na Bangala alipitia Yanga na LOMALISA kama Kawa ndo WAZIRI wa wananchi wa maji na Mdaka mishale
Pia LOMALISA alikuwepo Kwenye KIKOSI CHA Congo DRC Afcon 2017 kilitolewa Kwa taaaabi na Ghana Kwenye. Robo fainali
ingia Kwenye Link group C angalia KIKOSI CHA DRC na kama hutojali angalia na TOGO utamuona mwamba Vincent Bossou MCHEZAJI wa young Africans