Lomalisa Mutambala: Mchezaji pekee anayecheza Ligi Kuu Tanzania aliyewahi kuchukuwa ubingwa na timu yake ya taifa DRC

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Apr 16, 2021
334
657
WACHEZAJI PEKEE WANAOCHEZA LIGI KUU TANZANIA AMBAO WAMEWAHI KUWEMO KWENYE KIKOSI CHA TIMU YAP YA TAIFA IKITWAA UBINGWA WA AFRICA. LOMALISA WAZIRI WA MAJI. NA YANNICK BANGALA LITOMBO MZEE WA KAZI CHAFU

Ebwanaee nilikuwa napitia stats za Joyce LOMALISA Mwaka 2016 alibeba ndoo chan 2016 iliyofanyika Rwanda. Katika mechi ya fainali waliyokutana na Mali vikosi vilikuwa

DR Congo: Ley Matampi, Yannick Bangala, Joyce Lomalisa, Junior Baometu, Joel Kimwaki, Merveille Bope, Mechak Elia, Doxa Gikanji, Nelson Munganga, Zacharie Mombo, Jonathan Bolingi

Mali: Djigui Diarra, Abdoul Dante, Issaka Samake, Aliou Dieng, Abdoulaye Diarra, Moussa Sissoko, Mamadou Doumbia, Sekou Koita, Lassana Samake, Hamidou Sinayoko, Mamadou Coulibaly

Nb: Aliu dieng Yuko chama kubwa Al ahly na Bangala alipitia Yanga na LOMALISA kama Kawa ndo WAZIRI wa wananchi wa maji na Mdaka mishale

Pia LOMALISA alikuwepo Kwenye KIKOSI CHA Congo DRC Afcon 2017 kilitolewa Kwa taaaabi na Ghana Kwenye. Robo fainali
ingia Kwenye Link group C angalia KIKOSI CHA DRC na kama hutojali angalia na TOGO utamuona mwamba Vincent Bossou MCHEZAJI wa young Africans
 
MCHEZAJI PEKEE ANAYECHEZA LIGI KUU TANZANIA AMBAYE AMEWAHI KUWEMO KWENYE KIKOSI CHA TIMU YAKE YA TAIFA IKITWAA UBINGWA WA AFRICA. LOMALISA WAZIRI WA MAJI
Ebwanaee nilikuwa napitia stats za Joyce LOMALISA Mwaka 2016 alibeba ndoo chan 2016 iliyofanyika Rwanda. Katika mechi ya fainali waliyokutana na Mali vikosi vilikuwa

DR Congo: Ley Matampi, Yannick Bangala, Joyce Lomalisa, Junior Baometu, Joel Kimwaki, Merveille Bope, Mechak Elia, Doxa Gikanji, Nelson Munganga, Zacharie Mombo, Jonathan Bolingi

Mali: Djigui Diarra, Abdoul Dante, Issaka Samake, Aliou Dieng, Abdoulaye Diarra, Moussa Sissoko, Mamadou Doumbia, Sekou Koita, Lassana Samake, Hamidou Sinayoko, Mamadou Coulibaly

Nb: Aliu dieng Yuko chama kubwa Al ahly na Bangala alipitia Yanga na LOMALISA kama Kawa ndo WAZIRI wa wananchi wa maji na Mdaka mishale

Hebu kula link Kwa Taarifa zaidi
CHAN 2016 – As it happened: DRC 3-0 Mali - Mali

Pia LOMALISA alikuwepo Kwenye KIKOSI CHA Congo DRC Afcon 2017 kilitolewa Kwa taaaabi na Ghana Kwenye. Robo fainali
ingia Kwenye Link group C angalia KIKOSI CHA DRC na kama hutojali angalia na TOGO utamuona mwamba Vincent Bossou MCHEZAJI wa young Africans
Ukute unakaa kwa Shemeji yako hujui hata Bei ya sukariNchi ngumu sana hii
 
WACHEZAJI PEKEE WANAOCHEZA LIGI KUU TANZANIA AMBAO WAMEWAHI KUWEMO KWENYE KIKOSI CHA TIMU YAP YA TAIFA IKITWAA UBINGWA WA AFRICA. LOMALISA WAZIRI WA MAJI. NA YANNICK BANGALA LITOMBO MZEE WA KAZI CHAFU

Ebwanaee nilikuwa napitia stats za Joyce LOMALISA Mwaka 2016 alibeba ndoo chan 2016 iliyofanyika Rwanda. Katika mechi ya fainali waliyokutana na Mali vikosi vilikuwa

DR Congo: Ley Matampi, Yannick Bangala, Joyce Lomalisa, Junior Baometu, Joel Kimwaki, Merveille Bope, Mechak Elia, Doxa Gikanji, Nelson Munganga, Zacharie Mombo, Jonathan Bolingi

Mali: Djigui Diarra, Abdoul Dante, Issaka Samake, Aliou Dieng, Abdoulaye Diarra, Moussa Sissoko, Mamadou Doumbia, Sekou Koita, Lassana Samake, Hamidou Sinayoko, Mamadou Coulibaly

Nb: Aliu dieng Yuko chama kubwa Al ahly na Bangala alipitia Yanga na LOMALISA kama Kawa ndo WAZIRI wa wananchi wa maji na Mdaka mishale

Pia LOMALISA alikuwepo Kwenye KIKOSI CHA Congo DRC Afcon 2017 kilitolewa Kwa taaaabi na Ghana Kwenye. Robo fainali
ingia Kwenye Link group C angalia KIKOSI CHA DRC na kama hutojali angalia na TOGO utamuona mwamba Vincent Bossou MCHEZAJI wa young Africans
Utapata degedege bure kwa kutafuta sifa za kijinga
 
Mbona hujamtaja Ya Nick Bangala wa Azam. Naye alikuwepo kwenye kikosi. Inabidi Inonga atwae kombe ili kukata maneno ya kijinga.
 
Na atabaki kuwa mchezaji pekee aliyetwaa ubingwa na DRC, Inonga asahau hilo kesho wanatolewa na Ivory Coast.
iyo mechi unacheza wewe miwanawake ya tz ina roho mbaya ndomana um$laya tu umekukaa hapo kwenye tumbua
 
Back
Top Bottom