Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 609
- 1,563
Ni aibu na ajabu Kuona mashabiki na viongozi wa Simba eti wanamlaumu Kayoko kawabeba Azam!!? Ni kichekesho Cha mwaka hiki sijawahi ona wapumbavu kama hawa watu!
Simba ndiyo timu iliyochukua point nyingi za kubebwa kwenye ligi kuu kutoka kwa MAREFA kina Tatu Malogo, rejea mechi ya Prison, KMC, Singida na bado rejea ngao ya jamii kule Tanga zile penalty na bado hawa hawa wanakuja hapa kulia Lia kwakuwa walienda na matokeo mfukoni uwanjani wakijua Azam nayo ni Tabora united ya bwana Rage?
Huu ni ujinga wa viwango vya juu,
Unasema ungeifunga Azam refa kawabeba mara ya mwisho umeifunga Azam lini???
Azam ndio timu iliyotengeneza nafasi kibao za kumaliza game licha ya kutokuwa na match fitness Kama wao na bado wameonekana nyanya vipi wangekuwa sawa mnara wa ule wa 5G ungesimama Tena!
Mechi na Tabora united tulisema walishinda mechi kimipango na kocha wa Tabora alithibitisha kwa kutoa kauli tata kwamba""Kuna mambo mengi yalitokea ndani ya masaa 24"" kwenye Ile mechi ya Simba kwa maana iyo waliosoma Cuba tulikuwa tushajua kilichotokea na sterling wake tulikuwa tushamuelewa!
Ivyo mashabiki kupumbazwa kwao na Yale matokeo wakajiona wanayo timu tiyali ya kupata matokeo popote!
Tumeona Jana timu ilivyo uchochoro na Kama wameshindwa kuifunga Azam ambayo ilikuwa down sana kwenye performance kutokana na kukosa ufit watakuja kumfunga mechi ipi labda? Mzunguko wa pili watakuwa wamerudi kwenye ubora wao ni Kama yanga je wataweza?
Kayoko amekuwa kichaka Cha kujifichia wakati wamevuna point 9 za haramu kutoka kwa waamuzi mbona walikuwa kimya wanakenua tu?
Uwezo wenyewe tu wa kumfunga Azam aupo achilia mbali kumlalamikia kayoko unapataje uhalali wa kubwata!
Kunya anye Bata akinya kuku ameharisha? Tukizitooa izo point 9 za dhulma Simba angekuwa nafasi ya ngapi kwenye msimamo?
Acheni ujinga tengenezeni timu ya ushindani na sio chupli chupli vinginevyo mnajimaliza wenyewe bila kujua!
Simba ndiyo timu iliyochukua point nyingi za kubebwa kwenye ligi kuu kutoka kwa MAREFA kina Tatu Malogo, rejea mechi ya Prison, KMC, Singida na bado rejea ngao ya jamii kule Tanga zile penalty na bado hawa hawa wanakuja hapa kulia Lia kwakuwa walienda na matokeo mfukoni uwanjani wakijua Azam nayo ni Tabora united ya bwana Rage?
Huu ni ujinga wa viwango vya juu,
Unasema ungeifunga Azam refa kawabeba mara ya mwisho umeifunga Azam lini???
Azam ndio timu iliyotengeneza nafasi kibao za kumaliza game licha ya kutokuwa na match fitness Kama wao na bado wameonekana nyanya vipi wangekuwa sawa mnara wa ule wa 5G ungesimama Tena!
Mechi na Tabora united tulisema walishinda mechi kimipango na kocha wa Tabora alithibitisha kwa kutoa kauli tata kwamba""Kuna mambo mengi yalitokea ndani ya masaa 24"" kwenye Ile mechi ya Simba kwa maana iyo waliosoma Cuba tulikuwa tushajua kilichotokea na sterling wake tulikuwa tushamuelewa!
Ivyo mashabiki kupumbazwa kwao na Yale matokeo wakajiona wanayo timu tiyali ya kupata matokeo popote!
Tumeona Jana timu ilivyo uchochoro na Kama wameshindwa kuifunga Azam ambayo ilikuwa down sana kwenye performance kutokana na kukosa ufit watakuja kumfunga mechi ipi labda? Mzunguko wa pili watakuwa wamerudi kwenye ubora wao ni Kama yanga je wataweza?
Kayoko amekuwa kichaka Cha kujifichia wakati wamevuna point 9 za haramu kutoka kwa waamuzi mbona walikuwa kimya wanakenua tu?
Uwezo wenyewe tu wa kumfunga Azam aupo achilia mbali kumlalamikia kayoko unapataje uhalali wa kubwata!
Kunya anye Bata akinya kuku ameharisha? Tukizitooa izo point 9 za dhulma Simba angekuwa nafasi ya ngapi kwenye msimamo?
Acheni ujinga tengenezeni timu ya ushindani na sio chupli chupli vinginevyo mnajimaliza wenyewe bila kujua!