JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,824
- 14,174
Wakati Bongo, kuchaguliwa kuwa balozi, wanaangalia uchawi wako, ukada wa chama tawala, au uswaiba tu, kwa wenzetu ni strategies zinatumika, wanajua kabisa Bongo ni super power kwa Afrika Mashariki, na ina maslahi mapana wanayoyahitaji, wanajua Rais ni mwanamke, tena Islam, wanakuletea mwanamke mwenzio, tena Islam Swala Tano kama wewe, akija kuongea na wewe, kwanza hapo ni Asalam Aleikum Nyingi, she has something in common with the president, hapo Raisi anaweza akafunguka vizuri tu, na ujasusi utafanyika vizuri.
Kawaida mabalozi huwa ni majasusi, au wenye uwezo wa kufanya ujasusi, kama Balozi wa USA Bongo, alikuwa mchungaji, tena ni afisa wa jeshi mstaafu, sio Bongo unampeleka Hoyce Temu Ulaya kuwa balozi, kikubwa alicho nacho ni taji la umis na ujasiliamali wa kiwango cha chini.
Balozi pereka mtu aliyebobea kwenye siasa (pole pole), kwenye sayansi, usalama.
Kawaida mabalozi huwa ni majasusi, au wenye uwezo wa kufanya ujasusi, kama Balozi wa USA Bongo, alikuwa mchungaji, tena ni afisa wa jeshi mstaafu, sio Bongo unampeleka Hoyce Temu Ulaya kuwa balozi, kikubwa alicho nacho ni taji la umis na ujasiliamali wa kiwango cha chini.
Balozi pereka mtu aliyebobea kwenye siasa (pole pole), kwenye sayansi, usalama.