Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,131
- 35,170
Huenda kuna kitu sikijui au kimenipita. Hivi mtu ambaye aliwahi kuwa balozi, na sasa hatumikii tena kazi hiyo, kuendelea kuitwa balozi huwa kunaongeza nini kimaisha yake ukiondoa sifa za kujidai kijamii au kumbukumbu za zamani?
Je, kuna posho huwa wanalipwa kwa kuwa na hiyo hadhi ya kuitwa balozi?
Je, huwa wanaendelea kubakia na diplomatic status previlege maisha yao yote wakiwa na hiyo hadhi ya kuitwa balozi?
Hapa ni baadhi ya watu ya watu waliowahi kuwa mabalozi na hatukuwahi kuwasikia wakiitwa au kujiita mabalozi mara baada ya kuondoka kwenye kazi za ubalozi.
1. John Samweli Malecella
2. Salim Mohamed Salim
Je, kuna posho huwa wanalipwa kwa kuwa na hiyo hadhi ya kuitwa balozi?
Je, huwa wanaendelea kubakia na diplomatic status previlege maisha yao yote wakiwa na hiyo hadhi ya kuitwa balozi?
Hapa ni baadhi ya watu ya watu waliowahi kuwa mabalozi na hatukuwahi kuwasikia wakiitwa au kujiita mabalozi mara baada ya kuondoka kwenye kazi za ubalozi.
1. John Samweli Malecella
2. Salim Mohamed Salim