Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
- Thread starter
- #21
Kwanza sikubeba simuKwann ww hukupiga Picha..?
Pili hata ningebeba sikuwa na sababu ya kufanya hivyo
Kwanza sikubeba simuKwann ww hukupiga Picha..?
KabisaamkuuNi utashi tu wa mtu
Kuna maprofessa wamesoma sayansi na wako vitengo nyeti lakini bado huwaambii kitu kuhusu uchawi
Kuna wataalam hata humu wanafundhisha mbinu hizonatamani kuona wachawi live
KabisaaamkuuUchawi ni moja ya vitu vinavyofanya Africa iendelee kubaki nyuma saana.
Wangemchoma moto tu akafa....na yeyote mchawi anayekamatwa auwawe.. ndani ya miaka kumi wangepotea wote na binadamu wangekuwa huru..
Unaweza kuwaona alaf ukajilaum kwann umewaona.natamani kuona wachawi live
Afirw.. ee huyoView attachment 2059201
Leo wakati nadamka asubuhi, mishale ya saa 12 nikasikia kelele uko mtaa wa pili, sijui mchawi kanasa
Kijana nikajitusua kwenda kushuhudia maana sikuwahi kushuhudia mchawi kunasa naskia fununu tu mbalimbali
Wakati nikielekea nilikuwa na dada mmoja, ambaye tuko naye nyumba moja yule dada matusi yalikuwa yanamtoka kana kwamba yeye ndio kanasiwa na uyo mchawi ndani kwake hapo bado alikuwa hajafika eneo la tukio
Hapo njiani pia tukakutana na vijana kadhaa wakiwa na matairi ya gari kwa ajili ya kumtia kiberiti huyo mwanga alienasa,
Kufika eneo la tukio kweli namkuta mwanamama mmoja kapozi pale na vikorombwezo vyake kadhaa wa kadhaaa (nikaona kama igizo fulani hivi) inasemekana nyumba aliyonasa ina wataalamu zaidi.
Alikuwa naked huku wahuni wakijiandaa kufanya yakwao kabla watu hawajajaa.
Wengine waliokuja na visimu vyao wakaona fursa ya kuchukua video.
Kwa pembeni nikasikia bi dada mmoja aking'aka sana,namnukuu
"Choma huyo, wametunyoa sana nywele hawa ku***nina zao ,
Wametuharibia ndoa sana, wametupa ugumba mara mia na mwizi ila sio hawa wafirw***ji
Wametulimisha sana hawa
Tunapata vitambi kumbe wanatunyea vinyesi vyao Mdomoni choma kabisa huyo"
Lakini viongozi wa mtaa walikuwa tayari wameshamka na wataalamu kadhaa (waganga) ,viongozi wadini mchungaji na shehe nao walishatia mguu eneo la tukio
Mie taratibu nikajongea nyumbani nikiacha bado kuna mkwaruzano baina ya viongozi na wananchi wenye uchu na hasira kali.
Binafsi huwa siamini sana katika ushirikina , hii ni baada ya kusoma dini na sayansi vikanifunga kabisaa , kwanza naona ni kinyume cha maendeleo
Nikajiuliza kama hawa watu wanafanya uchafu wote kuua watu kuroga, kufitinisha , na kama alivyosema yule dada eti maswala ya kunyeana mdomoni surely, naweza nikashika mchawi na mwizi na mwizi nikamuacha ila huyu mchawi ni kifo tu
Una kasumba yoyote kuhusu matukio ya wachawi???
View attachment 2059202
NB: Picha zote hapo juu sio za Eneo la tukio
Ila kumbuka inapoishia sayansi ndio uchawi unaanzia.View attachment 2059201
Leo wakati nadamka asubuhi, mishale ya saa 12 nikasikia kelele uko mtaa wa pili, sijui mchawi kanasa
Kijana nikajitusua kwenda kushuhudia maana sikuwahi kushuhudia mchawi kunasa naskia fununu tu mbalimbali
Wakati nikielekea nilikuwa na dada mmoja, ambaye tuko naye nyumba moja yule dada matusi yalikuwa yanamtoka kana kwamba yeye ndio kanasiwa na uyo mchawi ndani kwake hapo bado alikuwa hajafika eneo la tukio
Hapo njiani pia tukakutana na vijana kadhaa wakiwa na matairi ya gari kwa ajili ya kumtia kiberiti huyo mwanga alienasa,
Kufika eneo la tukio kweli namkuta mwanamama mmoja kapozi pale na vikorombwezo vyake kadhaa wa kadhaaa (nikaona kama igizo fulani hivi) inasemekana nyumba aliyonasa ina wataalamu zaidi.
Alikuwa naked huku wahuni wakijiandaa kufanya yakwao kabla watu hawajajaa.
Wengine waliokuja na visimu vyao wakaona fursa ya kuchukua video.
Kwa pembeni nikasikia bi dada mmoja aking'aka sana,namnukuu
"Choma huyo, wametunyoa sana nywele hawa ku***nina zao ,
Wametuharibia ndoa sana, wametupa ugumba mara mia na mwizi ila sio hawa wafirw***ji
Wametulimisha sana hawa
Tunapata vitambi kumbe wanatunyea vinyesi vyao Mdomoni choma kabisa huyo"
Lakini viongozi wa mtaa walikuwa tayari wameshamka na wataalamu kadhaa (waganga) ,viongozi wadini mchungaji na shehe nao walishatia mguu eneo la tukio
Mie taratibu nikajongea nyumbani nikiacha bado kuna mkwaruzano baina ya viongozi na wananchi wenye uchu na hasira kali.
Binafsi huwa siamini sana katika ushirikina , hii ni baada ya kusoma dini na sayansi vikanifunga kabisaa😅😅😅😅 , kwanza naona ni kinyume cha maendeleo
Nikajiuliza kama hawa watu wanafanya uchafu wote kuua watu kuroga, kufitinisha , na kama alivyosema yule dada eti maswala ya kunyeana mdomoni surely, naweza nikashika mchawi na mwizi na mwizi nikamuacha ila huyu mchawi ni kifo tu😅😅😅
Una kasumba yoyote kuhusu matukio ya wachawi???
View attachment 2059202
NB: Picha zote hapo juu sio za Eneo la tukio
😅😅😅😅Afirw.. ee huyo
Uchawi gani mkuu??Ila kumbuka inapoishia sayansi ndio uchawi unaanzia.
Ngoja mstaafu Mshana Jr aje atoe ufafanuziUchawi gani mkuu??
Huu wa kurogana wa afrikaaay kuna mwingine
Sasa umeziwekea nini,,, weka picha za eneo la tukio la sivyo huu umbea kama umbea mwingine tuNB: Picha zote hapo juu sio za Eneo la tukio
ngoja niwatafuteKuna wataalam hata humu wanafundhisha mbinu hizo
ulimwengu wa roho unatisha!!!Unaweza kuwaona alaf ukajilaum kwann umewaona.
Hii dunia iache tu kama ilivyo