Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,848
- 37,551
- Thread starter
- #181
....ofcoz he s the 1 who s going to remove mi frm this boundage. peke yangu cwezimy heart has relaxed after seeing you mentioning this name. Amen
....ofcoz he s the 1 who s going to remove mi frm this boundage. peke yangu cwezimy heart has relaxed after seeing you mentioning this name. Amen
ni kawaida kwa binadam kuapa kutorudia kitu ambacho kimewasababishia maumivu,especially kwenye mapenzi yaliyosababisha maumivu,lakin c ajabu mtu huyo huyo kupenda tena sababu ni binadam wala c malaika,so ma friend worry out about loving again,Mungu amekuandalia mwenzi wa maisha ambaye atakupenda mpaka ushangae,kama huyo unaehis unampenda ukashindwa kuanzisha mahusiano nae dont worry yupo ambaye Mungu amekukusudia kuwa naye!
Yaani siamini km nimependa tena jamani!!
...I real lov him 2 the xtent cwez elezea!
..tatizo langu nitatokaje hapa,hv tried bt nashindwa,najikuta naumia!coz i knw he s nt there 4 mi!!nishapungua 1kg jamani coz nashindwa ht kula vzr!! uwiiiiii
NB:he s jus a friend
Mkuu,wenzio wanahangaika na gym kukata weight,wewe una automatic weight reducer...bahat iliyoje mkuu...?
Back to topic,better umwambie,au omba naye out then huko mtakapoenda out try kumwekea ishara ajue unampenda.ukiona haelew,mfungukie,vunja ukimya!
Pole mpendwa,nakushauri umwambie,ili ujue mpo page moja au lah!hapa chances ni 50/50 so jaribu bahati yako dear he might be your princecharming!Mie moyo wangu nishautia kufuli kabisa naogopa kuufungua!
Christine, Bado uko old stone age?? What is abomination here? To tell him frankly about your feelings ni mbaya? This is ma first day to hear such fallacy. Tafuta "Gongo" kidogo, mkaribishe kwako, mnyweshe kidogo af -tena jifanye umelewa, aftena mwambie uone reaction yake or are yu so ugly kiasi kwamba unaogopa akisikia umemtamkia hilo neno atazimia akiwa nyumbani kwako? Au atapoteza Fahamu? Basi mwandikie kimemo tu umlipe msela mmoja ampelekee kwake.
Ha haaaa,kubwa la maadui...ndege mjanja kunaswa kwny tundu bovu sio mchezo!
...don wory..
Cc:kibibi jongo
Coz ume m CC Kibibi Jongo nazani MONEY haihusiki coz utakiua kizee kile na pressure! LOL! Kizee kikisikia neno PESA tu damu inamsisimka! LOL!
Ukimchunguza vizur huyo ana mtu huo ndo ukweli.....maana kama unampenda kwa mwanaume anayekuhitaji angekwambia tuu maana ishara huwa hazijifichi.
Ila kama upo tayari kumng'oa mtu.....weka bayana watu wamwagike Ennie
Swali langu ni moja tu kwako, je huyo mwanume unamuhitaji au humuihitaji?
Dah, hili mkuu gum!
..nway, bt nampenda tu the way alivyo,yaani kila kitu chake!, he cares a lot,halafu ni vitu vidogo tu vya kawaida bt 4 mi nachanganyikiwaaaaaaa
Christine ibrahmu dada angu hata sikushauri kumwmbia kuwa umefall, coz hawezi kataa ila atakuacha tuu.
Imenitokea hii. Jaribu kumwekea mazingira ya yeye kusema kuwa anakupenda lakini si wewe.
Nilipiga na nikatambaa na alisema kuwa kanitongoza ila anajua nitamtenda nikamhakikishia kuwa sitamtenda so umakini unatakiwa christine ibrahim
Dah! Best pole saana! But bora upendwe wewe kuliko mwanamke kupenda mwanaume loh! Hata sikushauri umwambie mana unaweza ishia 'mdada amwaga chozi kwa ajili yangu' soma uzi wa msandaweHalisi utaelewa nini nasema! DO NOT TRY ! IT IS DANGEROUS DESIRE!
See umekuwa mkweli bora umefunguka! Inakuwaje hapo inakuwa hujampenda? Au ulimpenda ni vile tu kaanza yeye?
Hii formula wanaume muiweke wazi! Let's say wewe pia umependa huyo gal, aaf kabla hujamwambia unakuta yeye ndo anaanza kukwambia Inakuwaje?
Weeeeeeeeee niache tu huu upembuzi yakinifu ukiisha niweze kujua natokaje hapa nirudishe na kilo yangua(ofcoz, by his grace our Lord Jesus), niendelee kuangalia kwa mbali,sio niingie tena, unajua Moyo ukiwa mtupu ni hatari!!? maana hii ni kubeep dangerrrr fireeeee,yaani kufa sifi ila cha moto nakionaaa...bt ''tym heals all wounds''
...God s Faithfully....
i think she should also know the negative side ya kujilengesha...
as for me nikikustukia unajilengesha tu... nakula nasepa...then maumivu ni 2times...
Haya ni matatizo ya wanawake wengi sana
Hivi kwanini mnafanya maamuzi kwa kuhisi tu?
Hamjui kuwa hisia zinaweza kuwa hazipo sahaihi ni sawa na kubahatisha
Sijui mkoje!!!!!!!
Halafu kwanini unataka kujua kama anakupenda?
Kumpenda sio dhambi,kama hatakupenda matatizo ni yake sio yako,hofu ya nini?
Kma unampenda mwambie na akikuona mjinga wewe huna kosa,yeye ndio atakua zuzu!
Sijakuelewa kwa kuwa kauli zako zinakinzana!!!!!