Tunaokutafuta tuko wengi we unawaganda wasikutafuta, haayaa!!
Sasa kama bado hata hajakupiga dushulele kinachokufanya ushindwe hadi kula ni jinsi anavyo vaa;anavyoongea;anavyo kula;anavyocheka au au?
Mruhusu akupige dushulele then uwajibike mno kitandani siku hiyo ili attention iamie kwake awe anakuwaza ww kila wakati!
Ni ushauri tu dada
wahi Saudi Arabia mapema upate fidia ya 1gram ya dhahabu mdada.komaa hapo hapo upungue zaidi
i've failed to find any nice words to put here, let me pass
Watu8,ineed him more than u think aisee
Ha haaaa na nyie mnashindwa nn kufunguka!?labda itanisaidia kutoka hapa kwa urahisi!
thanx mamdenyi...Pole. endelea kupenda labda atausoma moyo wako.
abomination!!...yaani nimwambie!!?, nahisi he knws that!!
Yaani siamini km nimependa tena jamani!!
...I real lov him 2 the xtent cwez elezea!
..tatizo langu nitatokaje hapa,hv tried bt nashindwa,najikuta naumia!coz i knw he s nt there 4 mi!!nishapungua 1kg jamani coz nashindwa ht kula vzr!! uwiiiiii
NB:he s jus a friend
Ana mwanamke wake?abomination!!...yaani nimwambie!!?, nahisi he knws that!!
Pole mpendwa,nakushauri umwambie,ili ujue mpo page moja au lah!hapa chances ni 50/50 so jaribu bahati yako dear he might be your princecharming!Mie moyo wangu nishautia kufuli kabisa naogopa kuufungua!
Gwiji utamjua tu....Usimwambie.....vitendo vinatosha!!!!!
Love? Lust? Infatuation?
konie huyu Kwenye Lust hayupo ,anasemaga huwa hagawi tundi!Love? Lust? Infatuation?