Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
It just happens my dear,tumeumbwa kupenda na kupendwa...piga moyo konde mpendwa funguka tu kwa huyo jamaa kama mwanaume muelewaji atajua kweli kapata na atakuthamini sana tu....Tatizo la pekee linaloweza kutokea ni kwamba inawezekana hakufeel and that thought is so scary!mpenz ht usiufungue ni hatari mno....nilikuwa pembeni naogopa hayohayo,hata sielewi imekuaje.....