Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,848
- 37,551
- Thread starter
- #161
....wangefunguka tu km wanavyonishauri hapa,who knwsInawezekana na wengine nao wako kwenye situation kama yako. Yaani wanajiuliza wakifunguka ukawakatalia watajisikiaje? Na hivi tayari ulishaonesha kuwa umamtaka huyo peke yake basi wanaishia kuumia kimoyomoyo tu.