Sijui nitatokaje hapa

Sijui nitatokaje hapa

coz i knw he s nt there 4 mi!!

Hey, nimerudi tena...
Mapenzi mara zote huwa hayaanzi kwa ghafla, huja baada ya kujenga fikra za matamanio akilini. Ni zao la mwisho kabisa la matamanio(mjumuisho wa emotions).
Kila mtu huwa na sababu yake kwa nini kapenda na sababu hizo ndio huwa chachu ya sisi kuzitazama na mioyo yetu kuendelea kupenda zaidi na zaidi...

Ushauri:
Jaribu kuvikwepa vitu ambavyo vinakufanya moyo wako unyong'onyee kwa ajili yake.
Kama hana mtu unaweza ukafanya baadhi ya moves "uchokozi" ambazo usizitumie kama mtego wa kumnasa, bali iwe ni blueprint ya kutaka kujua kama moyo wake wa-dance the same music as yours...
 
Pls, huo umalaya hapa umekujaje!!?
..hiv mtu kumpenda mtu ni umalaya!?
..nitake radhi/futa kauli yako sio nzuri!
.. kila unaemuona hapa usimchukulie hivyo unavyofikiria!
Nakutaka radhi/nimefuta kauli.......... Pamoja na hayo, nilikuwa nakukumbusha utanzania kwa njia hiyo.... ingawa tuna utandawazi....
 
Ooooo my GOD I have never come across that way being so lucky! I wish it could be me.
Please let it be me! Love is one big road with a lot of sites! When you drive through the road
don't complicate your mind! Please don't hate, mischief and jealous!

Love means more than sand, than the sea shore,
actually is more than numbers!
But if you receive big today, tomorrow gonna be a basket!
Have you ever seen one coco fill a bucket?
So where ever you go put your vision to reality!
Bob Marley, Wake up and Live!1976.

Ha haaa haaa, Ht ww im sure wapo wanaokupenda ila ndo hivyoo
,...u a welcom
 
Yaani siamini km nimependa tena jamani!!
...I real lov him 2 the xtent cwez elezea!
..tatizo langu nitatokaje hapa,hv tried bt nashindwa,najikuta naumia!coz i knw he s nt there 4 mi!!nishapungua 1kg jamani coz nashindwa ht kula vzr!! uwiiiiii
NB:he s jus a friend
Hayatuhusu. This is your private business.
 
Ww mwambie tu! Ila akitaka kuingia uwanja wa nyasi nyeus usimruhusu mapema atakukimbia

Ha haa haaa...hili ndo tatizo...though najua mtu km nia yake kukimbia uchelewe au uwahi kumpa atasepa tu
 
Dah! Best pole saana! But bora upendwe wewe kuliko mwanamke kupenda mwanaume loh! Hata sikushauri umwambie mana unaweza ishia 'mdada amwaga chozi kwa ajili yangu' soma uzi wa msandaweHalisi utaelewa nini nasema! DO NOT TRY ! IT IS DANGEROUS DESIRE!

Thanx..point taken best....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom