Sijui nitatokaje hapa

Sijui nitatokaje hapa

Christine, Bado uko old stone age?? What is abomination here? To tell him frankly about your feelings ni mbaya? This is ma first day to hear such fallacy. Tafuta "Gongo" kidogo, mkaribishe kwako, mnyweshe kidogo af -tena jifanye umelewa, aftena mwambie uone reaction yake or are yu so ugly kiasi kwamba unaogopa akisikia umemtamkia hilo neno atazimia akiwa nyumbani kwako? Au atapoteza Fahamu? Basi mwandikie kimemo tu umlipe msela mmoja ampelekee kwake.

Mkuu, kumwambia sio tatizo, bt pointi yangu ni, nitaweza kuukubali ukweli,lyk,'no,haiwezekani/ninae/ckutaki etc' hapo ndo pagumu, tunaupenda ukweli ila kuupokea ni issue!
 
Ukimchunguza vizur huyo ana mtu huo ndo ukweli.....maana kama unampenda kwa mwanaume anayekuhitaji angekwambia tuu maana ishara huwa hazijifichi.

Ila kama upo tayari kumng'oa mtu.....weka bayana watu wamwagike Ennie
 
Last edited by a moderator:
Coz ume m CC Kibibi Jongo nazani MONEY haihusiki coz utakiua kizee kile na pressure! LOL! Kizee kikisikia neno PESA tu damu inamsisimka! LOL!

Ha haa haaa kweli hapa money monger haihusiki,jus lov!
 
Ukimchunguza vizur huyo ana mtu huo ndo ukweli.....maana kama unampenda kwa mwanaume anayekuhitaji angekwambia tuu maana ishara huwa hazijifichi.

Ila kama upo tayari kumng'oa mtu.....weka bayana watu wamwagike Ennie

Point noted,taken
 
Last edited by a moderator:
No sijawahi kuona, km ana mtu n im nt sure, cwezi kulisemea hilo coz moyo wa mtu ni kiza kinene mkuu!
Ok! kama ni hivyo basi nenda taratibu, msome tabia yake, jee yuko interested vipi kwako, anakutafuta anakupigia au mpaka uanze wewe n.k. kama unampenda muombe Mungu akuletee. Unajua mapenzi kila siku yapo na hata sisi watu wazima sometimes tuna-knock hasa hasa kwa hivi vichinchiri lakini lazima tuzuge na kupotezea!! it pains for a while baadae it goes away!!
 
Ha haaa,eti 'wakati mbaya huu'
Dia Chrisy, huoni kuwa vizazi vya kisasa huchezea wakati kamavile hawajaali, litakalokuwa na liwe,wanabadili watakavo wao!! Sasa siye wazamani tutafua dafu hapo? nilishaonga teenage anajihook na oldi !! pia nikaona the OLD huchukuaga under age kama waukuu!! kweli "wakati mbaya huu".....alamsiki na seet dreams
 
i've failed to find any nice words to put here, let me pass
 
Ha haaa,umenichekesha....hapo kwny kumwambia ndo pagumu!

Sasa kama bado hata hajakupiga dushulele kinachokufanya ushindwe hadi kula ni jinsi anavyo vaa;anavyoongea;anavyo kula;anavyocheka au au?

Mruhusu akupige dushulele then uwajibike mno kitandani siku hiyo ili attention iamie kwake awe anakuwaza ww kila wakati!

Ni ushauri tu dada
 
Yaani siamini km nimependa tena jamani!!
...I real lov him 2 the xtent cwez elezea!
..tatizo langu nitatokaje hapa,hv tried bt nashindwa,najikuta naumia!coz i knw he s nt there 4 mi!!nishapungua 1kg jamani coz nashindwa ht kula vzr!! uwiiiiii
NB:he s jus a friend
wahi Saudi Arabia mapema upate fidia ya 1gram ya dhahabu mdada.komaa hapo hapo upungue zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom