Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,283
- 108,290
He heeee imebidi nicoment wakati nilisema closed!
Hahaha...mbona sijaona hiyo comment best
He heeee imebidi nicoment wakati nilisema closed!
Hii inaitwa pata potea, raha ya mwanamme aanze yeye na awe kakupenda! Kasheshe ni pale unamwambia anakubali mnakuwa wapenzi kumbe ndani ya moyo wake hamna kitu hiyo!
Akipata anaempenda unaachwa mchana kweupe na wewe umeshainvest hapo physically and emotionally.
...Yaani siamini km nimependa tena jamani!!......I real lov him 2 the xtent cwez elezea!
..don worry ma...everything is under control
Inaelekea ulishawahi kuumizwa na mapenzi...ushauri wangu soma signature yangu hapo chini..
Fuata moyo wako lakini usisahau akili yako nyuma kwani waweza kuumizwa tena..
hili swali angeniuliza Christine ningemjibu fasta, maana isije ikawa wewe ndio muhusika (just kidding)
Come again..!?? Did you say unanipenda!??
what???? Hivi ule ushemeji ulikufaeeeee!!!!!!!????[/QUOTE Lady doctor
...ha haa haaa,do u think I care my dia? kupinduliwa kawaida mbona!!!!!! ukitaka cha uvunguni...,by the way hata sisi tushaumizwa sana,ndo maisha ,lyf goes on......sema tu cna mpango huo nishachukua maamuzi magumuuuuumie sina ma worry mydia. la muhimu kama ana mahusiano yake serious ya heshimu as leo kwa mwenzio kesho kwako upo?
.........kuumizwa kupo tu best ndo maisha ya mapenzi...kutumia hyo signature yako ni ngumu, bora kutoingia kabisaaaaaInaelekea ulishawahi kuumizwa na mapenzi...ushauri wangu soma signature yangu hapo chini..
Fuata moyo wako lakini usisahau akili yako nyuma kwani waweza kuumizwa tena..
.....teh teh ..ipi ss..itabidi niku pm best anguHahaha...mbona sijaona hiyo comment best
what???? Hivi ule ushemeji ulikufaeeeee!!!!!!!????[/QUOTE Lady doctor
nimekuja!!!!! Ila umbea sitaki, maana hukawii kuniharibia.
.....the the ..ipi ss..itabidi niku pm best angu
what???? Hivi ule ushemeji ulikufaeeeee!!!!!!!????