Sijui nitatokaje hapa

Sijui nitatokaje hapa

Ok,
Sasa kwanini usimwambie huyu kuwa kutaka kuondoka hapo alipofika ni sawa na mtu anaejiuwa kwa sababu hajui kesho itakuwaje
Kama unaamini kuwa kesho inaweza kuwa njema kwako kwanini usiamini kuwa ukimwambia atakubali kama unavyoamini kesho itakuwa njema kwako?



Do you realy believe this?
If you do kwanini kwenye suala hili umemtetea sana mwenzako?
Kwanini usimwambie akubaliane na hali hlisi na akubali matokea badala ya kukimbia?


Nani amekuambia hii?
Kufikiria pande zote sawa lakini kuegemea upande mmoja tu ni matatizo na matokeo yake ndo haya ya kutokukubaliana na hali halisi



Huyu hana cha tahadhari hapa bali anaogopa
Na haya ni malezi yetu binadamu lakini bahati mabaya hayako sahihi

Maisha hayana upande mmoja tu
Pia pande zote zina faida sana kwetu
Leo ukipewa dhahabu ikiwa kwenye uhalisia wake inapotolewa ardhini hutoitaka lakini ikipitishwa kwenye moto utaipenda,moto ni negative tunazokutana nazo maishani
Ukipata uzoefu wa maumivu unakuwa bora maishani mwako,unachofanya wewe ni kumzuia mwenzako asijue uzuri wa maisha,usidhani uzuri ni mazuri peke yake ni pamoja na tunayoyaita mabaya

Wakati mwingine mabaya ni bora zaidi kwakuwa ndio yanayomjenga binadamu kuwa bora ila kama ataamua kujifunza kupitia hayo!
You want to tell me you never worry brother?You think positively all the time?
Thats not true you know it yourself.Besides I dont think you are getting the point...I told her to tell the guy how she feels read my previous comments!Acutally not even once several times.Stop underestimating and judging people you don´t know!This discussion is over!
 
Mkuu sijakuelewa kabisa hapa!!!

Kwenye uchumi kuna fomula mbalimbali lakini mbili ni hizi LIFO = Last In First Out; FIFO = First In First Out..... Siku hizi vijana wa mjini wameziingiza kwenye mapenzi...................
 
pole sana my dear Christine (halafu hili jina!!!!!!)
by the way, usimuambie huyo mkaka kama kama umefall in love kwake but show him how much you care by doing little things.....!
****Action speak louder than words****

What r those little things?

little things = kutuma SMS, kuomba vocha, kuomba kutoka kwenda mlimani city au uchumi supermarket
 
You want to tell me you never worry brother?You think positively all the time?

I din't say this!!!!
Accepting something does not mean worry !!

Thats not true you know it yourself.

What do you mean here?
What is not true?
Besides I dont think you are getting the point..

First you told me i know
Now you telling me i don't get the point,what is this?
.I told her to tell the guy how she feels read my previous comments!

Which one?
Acutally not even once several times.Stop underestimating and judging people you don´t know!

Khaaaaa!!!!!!!!!!!
Who told you that i;m judging people here?

This discussion is over!

Who gave you this authority?
Is this your thread?
 
Kwenye uchumi kuna fomula mbalimbali lakini mbili ni hizi LIFO = Last In First Out; FIFO = First In First Out..... Siku hizi vijana wa mjini wameziingiza kwenye mapenzi...................


Teh,teh,teh,teh,teh,teh,teh!!!!!!!!!!!!
Nimekupata mkuu!!!
 
I din't say this!!!!
Accepting something does not mean worry !!



What do you mean here?
What is not true?


First you told me i know
Now you telling me i don't get the point,what is this?


Which one?


Khaaaaa!!!!!!!!!!!
Who told you that i;m judging people here?



Who gave you this authority?
Is this your thread?
I meant the discussion between Eiyer and mimi49!
Maybe you should read your own comments i recommend that!And hey i dont want to use my precious time arguing with you,There are some people who never give up unless they get what they want whether its wrong or right 🙂
 
pole sana my dear Christine (halafu hili jina!!!!!!)
by the way, usimuambie huyo mkaka kama kama umefall in love kwake but show him how much you care by doing little things.....!
****Action speak louder than words****
.........thanx my dia,lady doctor.....".halafu hili jina" wht do u mean lov,hili jina lina nn?
 
He is just a friend .. Just a friend



Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Je yeye yuko katika mahusiano??

Maana naona kuna mtu atakumbwa na janga la kuachwa soon

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ha haaaa na nyie mnashindwa nn kufunguka!?labda itanisaidia kutoka hapa kwa urahisi!

Inawezekana na wengine nao wako kwenye situation kama yako. Yaani wanajiuliza wakifunguka ukawakatalia watajisikiaje? Na hivi tayari ulishaonesha kuwa umamtaka huyo peke yake basi wanaishia kuumia kimoyomoyo tu.
 
I can see....
Men are very scarce nowadays....
Go ahead and approach him, they'll comfort you the next time you come back here... lmao!
owkeyyyyy...usi krem.vice versa is true.....halafu kumpenda mtu haina uhusiano na kuwa kuna wanaume wachache......inategemea na akili ya mtu tu!...
lyf goes on
 
Je yeye yuko katika mahusiano??

Maana naona kuna mtu atakumbwa na janga la kuachwa soon

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
..don worry ma...everything is under control
 
owkeyyyyy...usi krem.vice versa is true.....halafu kumpenda mtu haina uhusiano na kuwa kuna wanaume wachache......inategemea na akili ya mtu tu!...
lyf goes on

Wala sijakariri bibie, ila ni kweli watu wenye mapenzi ya dhati wapo wachache siku hizi, au uongo?
Afu nikisema watakufariji namaanisha lazma ujisikie vibaya kama utafanya approach yoyote then akupe negative attitude, lazma utqjisikia vibaya, kwa iyo jiandae kwa yote!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom