Sijawahi kuona kitu kama hiki

Sijawahi kuona kitu kama hiki

Thanks GOD that will never happen in Kilimanjaro.. Not for Chaggas........ Naskia ilikua ni ziara ya Dodoma ya first lady wetu.
 
Mzee kama huyo wa hapo mbele na mvi zake anapiga magoti kwa watu ambao ni kama binti zake Dingswayo ukombozi wa fikra bado sana hapo hata hawajielewi wanafanya nini
Kujipendekeza ni maradhi. Yaani unashindwa kujitambua kiakili, unajipendekeza hata yule unayejikomba kwake anajua unaikomba. Aibu tupu! Wanafanya hivi kwa sababu vyeo vya shukrani karibu vinamwagwa nchini maanaBw Mkubwa anamaliza muda wake na wanajua Mama na Ridhiwani wana nguvu kubwa za ushawishi.
 
Kujipendekeza ni maradhi. Yaani unashindwa kujitambua kiakili, unajipendekeza hata yule unayejikomba kwake anajua unaikomba. Aibu tupu! Wanafanya hivi kwa sababu vyeo vya shukrani karibu vinamwagwa nchini maanaBw Mkubwa anamaliza muda wake na wanajua Mama na Ridhiwani wana nguvu kubwa za ushawishi.
kkarumekenge hata kama ni kujipendekeza huku kumezidi bana hata kama ni style ya wimbo hii ni too much bana
Kuna style nyingine unaangalia namna ya kufanya ila sio kupiga magoti kwa mzee kama huyo wa mbele kisa kuimba na hapo utakuta wanaimba kuomba msaada au ufadhili
Na hapo bado watakuwa kwenye eneo lenye rasilimali nyingi tuu ila wanajidhalilisha kupiga magoti kwa watawala
 
Last edited by a moderator:
Sio wanakwaya wa chama hao wanamwimbia mke wa rais?
 
Naliona limama salumya limesimama kama zombi.
Huu ni zaidi ya utwana jamani kha!
Sitakuja kuwa mwanachama wa c.c.m hadi naingia kaburini.
 
Kweli ujinga ni hatari yaani hadi waliyempigia magoti anawashangaa!
 
Katika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za Tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika Tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za Alfu Lela Ulela!!

attachment.php

Tuna safari ndefu sana kujitawala kifikra!
 
Nimkweli hawa watu wanaimba,ila kwa stili ya ajabu sana.mungu anakasirishwa na mengi sana asee!
 
Najipa moyo kuwa watakuwa wanaimba wimbo ambao style yake ni kupiga magoti....manake kwa hali ya kawaida haiwezekani huyo 'mzee' wangu hapo mbele apige magoti kwa wanae na wajukuu...sio utamaduni wetu asilani.

NDUGU YANGU DINA ; njaa tu hiyo usishangae njaa hupofusha macho siyo rushwa tena siku hizi.Hata viongozi wetu wanapokwenda kwenye nchi za wenzetu "kuhemea" wao wanaita kusaka wawekezaji wanafanya mambo kama huyo mzee hapo na hao mabinti aliowaongoza ...NJAA NI UGONJWA MBAYA KULIKO MAGONJWA YOTE YANAYOMSUMBUA MWANADAMU
 
Majanga sana hii inchi, majanga sana sana, Waambieni hao njaa mbaya sana, waambieni tena kuwa maisha yanatafutwa ila sio kwa hali na tabia hiyo, waambieni kuwa wawe hata na ujuzi wa fikra, na wawe watu wa kupenda mabadiliko wasiwe watumwa wa fikra kama wafanyavyo hapo
 
Tumbo linaponzaga kichwa,mzee mzima na bati kichwani anasujudu kisa buku 5.
 
Kali ya karne,tuwakomboe kwa mawazo jamani
 
Mnapoambiwa Maccm vigogo wanawafanya wenzao wanachamawakawaida kama manamba mnabisha ,yaani kila siku huwa nasemaga '" Sultani CCM" sasa hapo ndio alama za nyakati zinajionyesha watumwa wanapiga magoti kwa mabwana zao.Hata ukikasirika huo ndio ukweli.
 
Back
Top Bottom