Sijawahi kuona kitu kama hiki

Sijawahi kuona kitu kama hiki

Dingswayo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
4,019
Reaction score
2,931
Katika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za Tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika Tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za Alfu Lela Ulela!!

attachment.php
 

Attachments

  • Magoti.jpg
    Magoti.jpg
    93.5 KB · Views: 19,859
Najipa moyo kuwa watakuwa wanaimba wimbo ambao style yake ni kupiga magoti....manake kwa hali ya kawaida haiwezekani huyo 'mzee' wangu hapo mbele apige magoti kwa wanae na wajukuu...sio utamaduni wetu asilani.
 
Mm nnachoshangaa hii tabia ya kuvaa mashati ya kijani hata kama si shughuli za kisiasa....
 
Najipa moyo kuwa watakuwa wanaimba wimbo ambao style yake ni kupiga magoti....manake kwa hali ya kawaida haiwezekani huyo 'mzee' wangu hapo mbele apige magoti kwa wanae na wajukuu...sio utamaduni wetu asilani.

Dina hata wimbo style ya kupiga magoti itakuwa ni wimbo wa kuomba msaada au kuomba fadhila na kote huko ni kujidhalilisha haswa huyo babu hapo mbele
 
Last edited by a moderator:
Wenyenchi wamefika kutembelea nchi yao.Na wanachi wanawapokea kwa kuwaabudu maana ndiyo wenyenchi,vinginevyo kazi,ardhi,wala biashara hakuna.Mpaka tuelimike basi ni wale watoto,au wajukuu zetu ndiyo wataweza kuibadilisha taswira hii.
 
Kamwe sitakaa nimwamini ccm a.k.a magamba hata aliye machozi ya damu.
 
....hizi serikali mbili zitatutesa mpaka lini jamaniii aaaaaagggghhhhrrrrr.....???
 
people with this type of brain are only found in Tanzania. believe me tunaweza anzisha utalii wa "IGNOSTUPIDITY TOURISM" wageni wakawa wanasafiri wanakuja kuangalia makubwajinga ya africa na tukaingiza pesa. Kabisa wenzetu India wana slam and trash tourism watu wanaenda kushangaa uchafu.
 
haha..CCM ni zaidi y amisukule na wagonjwa wa akili
 
Katika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za Tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika Tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za Alfu Lela Ulela!!

View attachment 151528

Duh! Ama kweli. Aliyezoea Kuishi kwa uongo haujui ukweli
 
Njaa ni balaa nimeliona jitu kama limtera mwapamba hapo limepga magoti wakuu mnisaidie.
 
Wakati wa Kampeni "Upande waliosimama ndio hupiga magoti kujikomba! Sasa hivi WAPIGA kura ndio hupiga magoti kupata chochote kitu!!! Huku ni kujikomba First Degree ... Angekuwa ni Mzazi wangu nadhani ningemkana hadharani maana amekiuka mila na desturi zetu Wanaume wa Kiafrica....Ningemuelewa tu kama na yeye ni mzee wa Cameron ama anatokea malawi !!!
 
Mimi nilichogundua hapo ni mwanampotevu akitaka kurudi kundini ni laazima ajutie makosa yake na kuomba radhwi kwa jamii kwa kupiga magoti.

Lakin hii ni kali zaidi. Kuna mengi ya kujifunza hapa.
 
Back
Top Bottom