Sijawahi kuona kitu kama hiki

Sijawahi kuona kitu kama hiki

hapo nyuma nimeona km kuna chriss lukosi na mtela mwapamba,afu picha inaonyesha n mji wa iringa,kweli njaa mbya sna
 
Hivi hawa watu wana akili timamu? Cha ajabu wengi wao ni wazazi, sasa mzazi kama huyu anampa malezi gani mtoto wake? Kama sio kuongeza vizazi visivyo na confidence, vizazi vya kuabudu watawala, vizazi visivyo hoji na nk. Watu wa namna hii ukitoa amri ya kulala chini na kucharazwa mboko, yatalala yacharazwe bila kuhoji....
 
Alipoyafanya haya huyu bwana tulishurutishwa kumzomea na CCM hiihii..........leo wana copy and paste?

idi-amin-carried-the-whites-1975-e12831904274601.jpg
 
Katika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za Tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika Tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za Alfu Lela Ulela!!

View attachment 151528
Tuambie hii imetokea wapi?
 
Huku ni wapi? maana naangalia picha nashindwa kuelewa ni wapi huku
Katika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za Tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika Tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za Alfu Lela Ulela!!

View attachment 151528
 
Teh teh teh

They are paid for that!Money can buy humanity!!!!


MTANGANYIKA DAIMA!
 
Katika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za Tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika Tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za Alfu Lela Ulela!!

attachment.php

Nilikua najiuliza hapa ni wapi?Nimegundua ni Mbeya Forest.Ina maana wana CCM mlikua mnaomba msamaha kwa kuichagua CDM?Kwa kweli hizi siasa za kuchumia Tumbo ni mbaya sana.Yaani hadi mnafikia hatua ya kujidhalilisha kiasi hicho?Yaani nimechoka kabisa.
 
Hivi hoyo mwanamke wanaemuimbia ana cheo gani ndani ya CCm? Kwanini wamuabudu hivyo?
 
Hivi hapo pembeni huyo ni yule mama anayeongeaga kama anasoma kwenye karatasi?
 
daaah,huyo mzee amedhalilisha mira na desturi za kiafrika,au alikua anamlaani mtu hapo? kama alikua anatoa laana,sawa,ntaelewa,ila kama ni mapokezi tu yale ya kawaida,amekosea na waliosimama wamekosea zaidi kwani ilibidi wamuendee na kumuinua haraka
 
Wenyenchi wamefika kutembelea nchi yao.Na wanachi wanawapokea kwa kuwaabudu maana ndiyo wenyenchi,vinginevyo kazi,ardhi,wala biashara hakuna.Mpaka tuelimike basi ni wale watoto,au wajukuu zetu ndiyo wataweza kuibadilisha taswira hii.

Umenena mkuu, maana tulishawahi kusikia wakati wa vurugu za Loliondo kama sikosei, Waziri aliyejiuzulu Kagasheki aliwatamkia wananchi waliokuwa wanalalamika kuhusu kunyang'anywa ardhi yao, ya kuwa ardhi yote ni mali ya Rais. Sasa mwenye ardhi au mwenye nchi anapofika kwenye nchi yake (au hata akija mkewe au mwanawe) wapangaji inawabidi kuanguka na kupiga magoti...

Ama kweli utumwa mbaya sana, hasa utumwa wa mawazo! Mpaka akili mgando zifunguke walalahoi watajikuta wamevuliwa kabisa utu wao! Na hawa ndio wa kwanza kuupigia debe utawala huu wa kidhalimu na ukija uchaguzi wataendelea kuwachagua hao hao wanaowanyanyasa!
 
Joyce Banda alimpigia magoti rais wetu lakini hii imepitiliza labda for worship
1397568522079.jpg
 
Back
Top Bottom