Sijawahi kuona kitu kama hiki

Sijawahi kuona kitu kama hiki

mimi siamini bhana , kwani inawezekana kwa binadamu kufanya jambo kama hili kweli ?
 
katika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za alfu lela ulela!!

attachment.php

baada ya kuipitia picha hii kwa makini , machozi yamenitiririka ! Masikini nchi yangu !
 
Ingekuwa nchi zilizoendelea hao waliopiga magoti wangekuwa wamewaponza hao waliopigiwa magoti, zomea zomea ingekuwa sio ya kawaida kutoka kwa wanaichi na uongozi ndio ingekuwa bai bai.
 
Hiki chama hakina tofauti na kile cha bwana kim jong un wa north korea. Viongozi wake wanaabudiwa kama miungu.
 
Wtz wamerogwa Anglia huyu mzee maskini na mvi zake. Salma si kama mtoto wake inatia kinyaa swala km hii kwani wale wakoloni wamerundi ? Huu upumbafu mkubwa sana
 
Nchi hii imegeuzwa kuwa ya kifalme na huu unatokana na umbumbu wa watanzana wenyewe.
Viongozi wanatakiwa kuwatumikia wananchi lakini leo ni kinyume chake.
 
malaika wa Mungu mwenyewe ukimpigia magoti anakataa na kusema hata mimi sistahili kupigiwa magoti! anyway inaonekana kama walikuwa wanaimba kwa demostration
 
mkuu umasikini njaa ni kitu kibaya sana. unaweza kuta the only thing wamepata hapo either ni buku tano au chakula cha mchana!
 
Ni wanafiki hao. Wanajua namna ya kurudisha wanachokifanya
 
Mama yako ni ccm

Mnalo hilo! Usikute hata wewe na MSALANI mlikuwepo kwenye hiyo list ya kupiga magoti. Hii ni aibu ya aina yake kupata kutokea katika historia ya kisiasa hapa nchini. Ona na huyo mama anachekelea tuu badala ya kulikataa tukio hilo.
Hivi huko CCM mnalishwa nini hadi fahamu zinawapotea kabisa?


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kwi! Kwi! Kwiiiii !!!!!

Mkuu Erythrocyte umeniuzi sana! Mwenzio hapa machozi yananitoka kwa ujinga huu unaofanywa wewe unacheka? Mie nimepata hisia kuwa huyo mzee hapo mbele aweza kuwa MSALANI ambaye ni memba mwenzetu lakini ona anavyojidhalilisha!
Uwiiii maskini misukule ya CCM! Sijui imelishwa nini jamani? Maana kama ni limbwata basi hilo lazima ni la mlingotini.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Erythrocyte umeniuzi sana! Mwenzio hapa machozi yananitoka kwa ujinga huu unaofanywa wewe unacheka? Mie nimepata hisia kuwa huyo mzee hapo mbele aweza kuwa MSALANI ambaye ni memba mwenzetu lakini ona anavyojidhalilisha!
Uwiiii maskini misukule ya CCM! Sijui imelishwa nini jamani? Maana kama ni limbwata basi hilo lazima ni la mlingotini.


Sent from my iPad using JamiiForums

naanza kupata mwanga , SI MARA MOJA AU MARA 2 NDUGU MSALANI AMEWAHI KUDAI HUMUHUMU JF KWAMBA YEYE SI KIJANA .
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom