kyannala nabiso
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 645
- 143
Hiyo yote ni njaa hakuna kingine
Katika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za Tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika Tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za Alfu Lela Ulela!!
![]()
Dina hata wimbo style ya kupiga magoti itakuwa ni wimbo wa kuomba msaada au kuomba fadhila na kote huko ni kujidhalilisha haswa huyo babu hapo mbele
Bado sana, tuko mbali kwakweli
Katika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za Tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika Tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za Alfu Lela Ulela!!
![]()
Katika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za Tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika Tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za Alfu Lela Ulela!!
![]()
ccm ni mama....Mama yako ni ccm
Mbona wakiimba kwaya huwa wanapiga magoti kwahiyo hapo cha ajabu ni kipi???
salamu ya utii hata jeshini ipo
Kwani magoti mpaka kanisani 2 hebu kuwa na akili wewe
Mbona wakiimba kwaya huwa wanapiga magoti kwahiyo hapo cha ajabu ni kipi???