Sijawahi kuona kitu kama hiki

Sijawahi kuona kitu kama hiki

Heshima gani hizi za kuwatukuuza wachache .. Ni ukoloni mambo leo, waafrika wachache kubeba utukufu wa kunyenyekewa na waafrika wanyonge.. Hii si heshima ni udhalilishaji

asante sana .
 
Acheni masihara ndugu zangu, njaa mbayaaaa

yaani akili yangu imegoma kuamini ninachokiona nimeamua kujifariji kwa kuajiaminisha kuwa mleta mada katumia adobe
 
Back
Top Bottom