masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,120
Mkuu Dingswayo sijui wewe ni wa imani gani, lakini kwa makanisani hilo jambo la kawaida kila jumapili.UnawezaKatika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za Tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika Tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za Alfu Lela Ulela!!
![]()
kuona kuwa hao waliovaa kijani ni wasanii wa nyimbo wa CCM na wanawaimbia kwa vitendo wasikilizaji wao.
Last edited by a moderator: