Sijawahi kuona kitu kama hiki

Sijawahi kuona kitu kama hiki

Wanasaka matonge kutoka kwa wakuu wa wasakatonge
 
Umenena mkuu, maana tulishawahi kusikia wakati wa vurugu za Loliondo kama sikosei, Waziri aliyejiuzulu Kagasheki aliwatamkia wananchi waliokuwa wanalalamika kuhusu kunyang'anywa ardhi yao, ya kuwa ardhi yote ni mali ya Rais. Sasa mwenye ardhi au mwenye nchi anapofika kwenye nchi yake (au hata akija mkewe au mwanawe) wapangaji inawabidi kuanguka na kupiga magoti...

Ama kweli utumwa mbaya sana, hasa utumwa wa mawazo! Mpaka akili mgando zifunguke walalahoi watajikuta wamevuliwa kabisa utu wao! Na hawa ndio wa kwanza kuupigia debe utawala huu wa kidhalimu na ukija uchaguzi wataendelea kuwachagua hao hao wanaowanyanyasa!

Ndio hawa wanaosema ati TUNAMUENZI MWALIMU.Sijui kama aliwahi kupigiwa magoti,siwezi kumsemea.Basi wangemuenzi hata Edward Moringe Sokoine,maana Mwalimu watasema alikuwa DIKTETA basi huyu wa chini yake.Lakini kwenye UTAMU wa kutawala na hasa kwenye MUUNGANO tunamuenzi Mwalimu.Huku ni kumtusi tu Mwalimu.
 
we hauwaoni bungeni wanavyotokwa na mapovu kutetea serikali 2 kisa maslahi yao yako njia panda. Wachumia jua maneno mengi point hamna.
 
Ukombozi kamili wa Mwafrika Mtanzania unapingana ukoloni mambo leo, shabaha maalum ya ukombozi ni kumkomboa Mtanzania kifikra ikiwemo mkoloni mweusi.

Ipo haja bend zetu muziki kuanza kutunga nyimbo za ukombozi wa kifikra maana hizi nyimbo za '' Tumpambe'' - Kapt. Komba & TOT au kusifia ''Papa Msofe''Msond Ngoma Band zinapelekea Watanzania kutegemea 'hisani','misaada' n.k toka kwa 'Wenye-Nchi''

Afro70 Band : Ukombozi wa Afrika Patrick Balisidya and Afro 70 Band-UKOMBOZI WA AFRIKA
 
Wameufyata...
katika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za alfu lela ulela!!

attachment.php
 
Katika maisha yangu sijawahi kuona kitu kama hiki katika siasa za Tanzania. Hivi hao waliopiga magoti wamefanya nini mpaka kuwapigia magoti hao waliosimama mble yao. Hakika Tanzania kuna mbadiliko mengi, mojawapo ni haya mambo ambayo tulikuwa tunasoma kwenye hadithi za Alfu Lela Ulela!!

attachment.php
Magamba hayo yanaomba kura Chalinze
 
Ukiendekeza mahitaji ya tumbo akili hutoroka mara moja.They are incompatible.Kwangu mimi mtu hawezi kuwa shabiki wa sisiemu na ubongo wake ukachangamka vizuri na kuyaona mambo kwa uhalisia wake.
 
Ndio laana ya kutegemea hisani ya Ccm ili upate mlo. Mzee mzima ka-kneel down.
 
Hilo zee lina watoto? Aibu gani hii jamani?
 
people with this type of brain are only found in Tanzania. believe me tunaweza anzisha utalii wa "IGNOSTUPIDITY TOURISM" wageni wakawa wanasafiri wanakuja kuangalia makubwajinga ya africa na tukaingiza pesa. Kabisa wenzetu India wana slam and trash tourism watu wanaenda kushangaa uchafu.
Elli mpwa wangu njoo huku uone vitu.
 
Last edited by a moderator:
haha..CCM ni zaidi y amisukule na wagonjwa wa akili

Ndugu yangu hapo ndio utajua au kuamini kuwa ccm inawenyewe. Ndani ya ccm ni kama vile machinjioni wanyama huchinjwa kisha nyama yote hupelekwa ikaliwe na wengine huku wachinjaji wakibaki wakijiokotea vinyango vilivyodondoka chini wakishirikiana na nzi, ni aibu ndugu yangu.
 
Inaelekea yeye na mumewe wanapenda kupigiwa magoti. ------ Amekunja 4!
 
Too sad! Hata manyani na manyang'au wasingefanya hivi. Ukombozi nchi hii tutasubiri saaana sana sana!
 
Back
Top Bottom