Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,316
Gesi inaondoka mtwara ishachukuliwa na mafisadi. Tembo zaidi ya 60 wanakufa kila saa, madawa hakuna hospital, umeme siobwa uhakika. Vipi kijana unajadili masuala yasio na manufaa kwa nchi yako na kuacha hayo hayana jibu? Dai haki yako vinginevyo na wewe ni walewale mafisadi so hutuambii kitu.
Ulivyo orodhesha hapo vyote tunakili ni ufisadi lakini alicho tenda padri nachao ni kitendo cha kifisadi, haiwezekani watu kilasiku wanazunguka na kapu arafu yy ana chamba2 kiwepesi