jerrytz JF-Expert Member Joined Oct 10, 2012 Posts 5,980 Reaction score 4,284 Jan 23, 2013 #301 angekopa Zitto Kabwe hii ingekuwa hoja ila kwa kuwa amekopa Slaa ni sawa hata kama amekiuka taratibu za chama au laa! Shida ya siasa za bongo!
angekopa Zitto Kabwe hii ingekuwa hoja ila kwa kuwa amekopa Slaa ni sawa hata kama amekiuka taratibu za chama au laa! Shida ya siasa za bongo!
Dr. Ndimu JF-Expert Member Joined Oct 30, 2012 Posts 717 Reaction score 146 Jan 23, 2013 Thread starter #302 Kwao Slaa ni MUNGU mtu,hafanyi kosa lolote,waache wazidi kuumbuka.mwaka wao huu
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,134 Jan 23, 2013 #303 jerrytz said: angekopa Zitto Kabwe hii ingekuwa hoja ila kwa kuwa amekopa Slaa ni sawa hata kama amekiuka taratibu za chama au laa! Shida ya siasa za bongo! Click to expand... Una hakika Zitto hakopi?
jerrytz said: angekopa Zitto Kabwe hii ingekuwa hoja ila kwa kuwa amekopa Slaa ni sawa hata kama amekiuka taratibu za chama au laa! Shida ya siasa za bongo! Click to expand... Una hakika Zitto hakopi?