Sijamwamini SLAA..

Sijamwamini SLAA..

Hivi wanaowatuma wanawalipa
kwa upuuzi huu? Vijana mnaliaibisha taifa na mnajidhalilisha,CDM inazidi
kupaa

kuna wakati mnakuwa wapuuzi, pana hoja na ww km unadhani sio sahihi toa maelezo sio kutumwa, haitakuwa vibya hata hivyo mana kutumwa kwa kuufumua udhaifu wa matumizi ya ruzuku ni kwa maslahi ya taifa.
 
Nimeona katika habari kwamba katibu mkuu wa CHADEMA daktari Slaa amejitetea kwamba hakuchukua mkopo wa milion 140 badala yake alikopa milion 20.

Lakin niseme kweli sijamwamini kwa kuwa ametumia muda mrefu sana kujibu tuhuma hii tofauti na kawaida yake ya kutoa matamko ya mambo kwa haraka na mara nyingine kukurupuka.

Nimeambiwa kwamba mpango ulikuwa akatae hakukopa ila bdae wakastuka kuna watu wanajua kwa uhakika alikopa wakaona wapunguze kiasi japo bado mkopo wake haukufuata taratibu na uwezo wa chama hauruhusu kujikopesha hata milion5.

Napata wasiwasi na credibility yake kwakweli na katika hili amekwama na kwakuwa amewahi kuwa mtumishi wa Mungu na aoneshe mfano kwa kujitokeza mbele ya umma na kukiri udhaifu ktk hilo.

Kwa kazi kubwa anayo ifanya hata angechukua milion 200 kwetu akuna shida kwa sababu kakopa na atarudisha na ukizingatia chama kina jiweza kibaya awe ajaiba hyo ndo noma na hiyo aiwezi kuwa sababu ya sisi kutompenda dk slaa hata kidogo na kama umetumwa rudi kwa akina nape na lameck waambie hapa noma apaingiliki kwa propaganda za kipuuzi kama zako
 
Nakubaliana na wewe 100%
mkuu! Tatizo wanachama/wapenzi wengi wa chadema wanawaona viongozi wao
(hasa Dr. Slaa) kama mungu mtu.

Yaani ukiwakosoa kwa hoja unaonekana wewe ndio tatizo. Utatukanwa hapa
mitusi ya kila aina.

Kiukweli chama ambacho hakiwezi kuwakosoa ama kuwarekebisha viongozi
wake hakifai kabisa kupata ridhaa ya kuongoza nchi.

Chadema kina fursa ya kuchukua nafasi hii ya kuwa chama kikuu cha
upinzani kuweza kuweka mifumo thabiti ya kiuongozi na kinidhamu. Mfumo
ambao kiongozi/mwanachama yeyote, bila kujalisha cheo atatakiwa kufuata.


Chama kiruhusu uwazi katika ku manage grievances za wanachama, hoja na
dukuduku zijadiliwe na ziamuliwe kwa kufuata misingi chama
ilichojiwekea. Chama kiruhusu hii misingi iwe tested.....viongozi wa juu
waache uoga na ubabe usio na tija kwa chama.

Chadema ikishindwa kuchukua hatua sahihi sasa, haitokuwa tofauti na CCM.
Ndo maana sishangai Dr. Slaa leo hii anapoanza kujitetea kuwa
kukopeshana hata CCM wanafanya. This is poor justification from him.

Chadema inatakiwa kujibu hoja, na sio kukimbilia kufukuzana.

Haiwezekani baadhi ya mikoa ikawa haipati pesa ya kuendeshea shughuli za
chama, huku makao makuu wakitumia pesa za ruzuku kukopeshana.

Moja kati ya majukumu ya chama cha siasa ni kuhakikisha kuwa
kinajijenga, kama taasisi, chama hakiwezi kuanza kukopesha wafanyakazi
wake huku bado hakiwezi kuendesha shughuli zake za msingi.

Viongozi wa mikoa na wilaya kadhaa wa Chadema wamekuwa wakilalamika kuwa
wanaendesha chama kwa hela za mifukoni mwao na hawapati chochote toka
makao makuu kwa ajiri ya shughuli za chama za kila siku.

Hapa chama kimepotoka, wanachama wa Chadema msipepese macho pembeni.
Mwambieni ukweli Katibu Mkuu wenu, kama kweli mnampenda na mnakipenda
chama chenu.

chukua like yangu, lakini hili hawataki kusikia watakuambia umetumwa....
 
Hiyo ndio demokrasia au ulitaka waende mapadri tu na wachungaji?

Bora mngemleta Ponda ana msimamo na anajua anacho pigania sio vilaza wafuga majin(kazi yao kulala wakishtuka wanapiga mkofi bila kujua kuna nn,kudai posho zipande,ndiyo mzee).
Demokrasia ya kutuletea vilaza na wanga matokeo yake mpaka bungeni mna mwaga mwaga unga kwenye viti badala ya kutoa vitu vya maendeleo,CCM kwa ushirikina. acheni ndumba haziwasaidii chochote kama ni kushinda huwa mnaiba/chaka chua sasa nyie vilaza ndumba kazi yake nini?
 
chukua like yangu, lakini hili hawataki kusikia watakuambia umetumwa....
we mwenyewe usha jua kuwa katumwa aaah wata nini tena,gamba hilo.lina mtetea fisadi na genge lake akina DHAIFU na genge lao na mafisadi.
 
Acha mkwara wewe mlimbwende

hakuna mkwara...upuuzi unawasaidia nini? Hata isipokuwa Slaa na CHADEMA mkae mkijua mabadiliko hayakwepeki...
Ni mwenye upungufu wa akili tu anayeweza kupingana na mabadiliko maana yakiamua kuja yanakuja na hakuna wa kuyazuia...
 
kuna wakati mnakuwa wapuuzi, pana hoja na ww km unadhani sio sahihi toa maelezo sio kutumwa, haitakuwa vibya hata hivyo mana kutumwa kwa kuufumua udhaifu wa matumizi ya ruzuku ni kwa maslahi ya taifa.

Ku-kumbatia MAFISADI ni kwa maslahi ya nani?.
 
hakuna mkwara...upuuzi unawasaidia nini? Hata isipokuwa Slaa na CHADEMA mkae mkijua mabadiliko hayakwepeki...
Ni mwenye upungufu wa akili tu anayeweza kupingana na mabadiliko maana yakiamua kuja yanakuja na hakuna wa kuyazuia...

Vilaza hawaja jua bado kuwa hayo hayakwepeki, tusonge nao kwa kuwatwanga hivyo hivyo wanalia na kuleta mada zao uchwara kama hii wanakuta pamoto.wamekwisha hawa mzee tindikali 2015 shimo lao.
 
Bwana Tindikali suala hapa siyo kuwapo au kutokuwapo mabadiliko, isue ni kwamba chama kinachohimiza mabadiliko kiwe mfano,sa km mnaanza mikiki wakati hamjapata dola itakuwaje mkingia madarakani,kwa wenye akili wanazichukua hizi changamoto na kuzifanyia kazi na pengine kurekebisha kasoro kila zinapojitokeza wakijua wao siyo malaika,na ili kiwe chama bora machon mwa watu na taifa sa badala yake wapambe mekomaa kuwatukana kila wanaoelezea udhaifu wa viongozi wenu kwakuwa kweli ni miungu.haya iko siku mtaona umuhimu wa haya tunayowambieni.
 
Umwamini kwani MUMEO.....au MKEO....!!

After all hata YESU hakuaminiwa tena na mafarisayo, waliomjaribu kila kukicha....!!!

Maku yako uwe nayo usiwe nayo....!!!

Nimeona katika habari kwamba katibu mkuu wa CHADEMA daktari Slaa amejitetea kwamba hakuchukua mkopo wa milion 140 badala yake alikopa milion 20.

Lakin niseme kweli sijamwamini kwa kuwa ametumia muda mrefu sana kujibu tuhuma hii tofauti na kawaida yake ya kutoa matamko ya mambo kwa haraka na mara nyingine kukurupuka.

Nimeambiwa kwamba mpango ulikuwa akatae hakukopa ila bdae wakastuka kuna watu wanajua kwa uhakika alikopa wakaona wapunguze kiasi japo bado mkopo wake haukufuata taratibu na uwezo wa chama hauruhusu kujikopesha hata milion5.

Napata wasiwasi na credibility yake kwakweli na katika hili amekwama na kwakuwa amewahi kuwa mtumishi wa Mungu na aoneshe mfano kwa kujitokeza mbele ya umma na kukiri udhaifu ktk hilo.
 
Hata wizi na mabinti nao ni UDHAIFU,hivi unajua kuwa PhD ya babu ni ya masuala ya dini a.k.a hekima ni sawa na sheikh Ponda leo ajiite Dr Ponda.

CC Pro CDM

Kwa taarifa tu


acha masihara ww kilaza ana slaa udaktari wa falsafa ktk canon laws ambapo hata mkuu wa chuo cha SAUT rev.dr kitima anayo.

Na kuonyesha udaktari wake ni applicable kitima ana dhahiri wnafunzi wa laws kwa level zote bachelors na masters. Sasa unapomfananisha na sheikh ponda unakosa hekima mkuu huyo ponda umeambiwa na mufti hata kusoma hajui..
 
We mr.presdent hapo juu, ungekuwa na alili ungeficha upumbavu wako kwa kutoiweka hyo paragraph ya tatu.hapakuwa na haja ya kutukana kama unadhan ulichoandika sahihi,ila nimekuelema kwakuwa slaa siyo mume wa mke wako hvyo hujamuamini.thanx
 
We mr.presdent hapo juu, ungekuwa na alili ungeficha upumbavu wako kwa kutoiweka hyo paragraph ya tatu.hapakuwa na haja ya kutukana kama unadhan ulichoandika sahihi,ila nimekuelema kwamaana ingine ya maneno ake anayepaswa amin hilo ni mke wa slaa,na kwakuwa ww siyo mume wala mke wa babu hvyo hujamuamini.thanx
 
Kweli kuna watu wana akili za mende kwani na wewe umeajiriwa na CHADEMA!? Mwajiri ye yote ana utaratibu wa kukopesha watumishi wake hivyo kama unataka mkopo kutoka CDM omba ajira kwanza!

dada umeenda mbali sana kuniita mie kilaza... Samahani sikujua kama dr slaa kaajiriwa cdm; nilijua ni mwanachama wa kawaida tu kama mie. Asante kwa ufafanuzi mungu akubariki
 
Back
Top Bottom