Sijamwamini SLAA..

Sijamwamini SLAA..

Jaman c amekopa?hoja yako nn?amekopa atalipa!katafute tuhuma nyngne mpaka mutaishwa zote then ndo mtapoteana
 
ameshindwa kupita kwenye nyayo za umasikini wa wafuasi wake???? anatafuta utajiri wa nini???
 
Wee@JokaKuu, huyo Nabii wenu si alikataa katakata kwamba hakuchukua hata ndururu!?
Ralphryder,

..lugha kama hizi ndiyo zinasukuma wananchi kumfanya Dr.Slaa nabii wao.

..zaidi, hivi ni nani wa kulaumiwa kwa haya yanayotokea?

..hivi hujui kwamba Dr.Slaa alikuwa mwana CCM ila mkamuekea mizengwe ndiyo akatorokea CDM??

..zaidi, CCM mngekuwa mnatimiza majukumu yenu wananchi wasingeishabikia CDM.
 
Last edited by a moderator:
- CDM msiwe kama Jogoo anatongoza akisema atamnunulia gauni tetea wakati akiinama hata chupi hajavaa.
 
aaah inatia kichefuchefu sasa kila kukicha Dr slaa,nini anachowasumbua?vichwa vinawauma kwa kitu gani?mnaudhi bana.nasema tumechoka upashkunaku huo.zungumzieni gesi toka mtwara kwenda bagamoyo.mnakera sana.
Alafuu Dr.Anaruhusiwa kutumia pesa zetu kihalali na sio kupitia EPA na Meremeta kama ilivyo kwa JK na CCM yake ya waua tembo kina kinana Acha Dr.Akope hata Mabilioni ya Shilingi lakini si kuiba kama CCM
 
Nimeanza kuamini! Magamba walioko kwenye mitandao wana mpenda sana Dr Slaa kuliko wana chadema wenyewe! Nyuzi nyingi zinazo mhusu Dr zinaletwa na wanamagamba ambao chama chao kilimnyima fursa ile 1995.

Naamini hata Ba Mwanaasha kabla hajapata usingizi lazima amuwaze huyu mzee.
 
Tunataka watu kama hawa wawe viongozi wetu maana sijamwona JK,Chenge,Kigoda na Magamba walofcha pesa uswizi waje hadharani kukiri kwamba wameficha Mabilioni huko leo eti Dr.Amekopa kisheria magamba mnachonga Ngenga badooooo saaaana Chadema haifi hivyo mtakaa sana
 
[h=5]HATIMAE SLAA AKIRI KUJIKOPESHA
Nimeona katika habari kwamba katibu mkuu wa CHADEMA daktari Slaa amejitetea kwamba hakuchukua mkopo wa milion 140 badala yake alikopa milion 20.

Lakin niseme kweli sijamwamini kwa kuwa ametumia muda mrefu sana kujibu tuhuma hii tofauti na kawaida yake ya kutoa matamko ya mambo kwa haraka na mara nyingine kukurupuka.

Nimeambiwa kwamba mpango ulikuwa akatae hakukopa ila bdae wakastuka kuna watu wanajua kwa uhakika alikopa wakaona wapunguze kiasi japo bado mkopo wake haukufuata taratibu na uwezo wa chama hauruhusu kujikopesha hata milion5.

Napata wasiwasi na credibility yake kwakweli na katika hili amekwama na kwakuwa amewahi kuwa mtumishi wa Mungu na aoneshe mfano kwa kujitokeza mbele ya umma na kukiri udhaifu ktk hilo.
Hivi shonza hakua muongo!!! mungu ambariki sana dada wa watu.[/h]kujichotea huku milioni 2o za chadema kumemshushia sana hadhi Slaa na kuonekana kumbe wote waliokulia ccm ni wezi pia

Mtagaragara sana na Slaa mwisho wa siku akili zitawakaa sawa, ufisadi wote mlioumbuliwa nao ndani ya ccm hamjauona!??? Come 2015 mtakiona, we know your plans and we know where to pin you down
 
Nimeanza kuamini! Magamba walioko kwenye mitandao wana mpenda sana Dr Slaa kuliko wana chadema wenyewe! Nyuzi nyingi zinazo mhusu Dr zinaletwa na wanamagamba ambao chama chao kilimnyima fursa ile 1995.

Naamini hata Ba Mwanaasha kabla hajapata usingizi lazima amuwaze huyu mzee.

sawa,lakini je ni kweli haya madai ya kujikopesha ama si ya kweli,hilo ndio muhimu hapa,acheni kutapa tapa,na kama ni kweli basi napata picha kwanini walishindwa kumchukulia hatua kamanda lema "alipokopa" zile 20 mil za m4c!
 
BABU SLAA ana mshahara wa zaidi ya milioni 7 na mmoja wa wanaolipwa vema CDM kukopa kunamletea kashfa wakati wahitaji wa mkopo wako wengi ndani ya chama.
 
- Accept critiques and let the same be your best friend and consequently your fault will be easily determined
 
Back
Top Bottom