Sijamwamini SLAA..

Sijamwamini SLAA..

Jaman c amekopa?hoja yako nn?amekopa atalipa!katafute tuhuma nyngne mpaka mutaishwa zote then ndo mtapoteana

kwani hiyo ni Saccos, mbona kwa mshahara wa Mil 7 anaolipwa Benk nyingi tu zingekuwa tayari kumkopesha au kakimbia Riba kwenye benk za kibiashara? Ishu sio kukopa but ni je yeye kama msimamizi wa sheria alifuata taratibu, Mbona Mbowe kakopa Mil 50 Nssf watu hawajapiga kelele?Slaa atende anayohubiri. Kama kweli kakopa kwenye chama basi uadilifu wake ni wa Mdomoni!
 
Kama kuna ukweli, hakuna cha asalia mtume muwajibike viongozi wa CDM
 
Kuna umuhimu wowote Dr Slaa kukopa pesa za ruzuku. Kwa nini asiende kukopa benki.
Ritz,

..lakini benki is not the only place unaweza kukopa.

..ungeniambia ameiba ningekuelewa.
 
Last edited by a moderator:
Katiba ya chama inasema je?

Katiba ya chama inasema chenge avuliwe gamba!
walioshinda uchaguzi kwa rushwa watimuliwe (uchaguzi wa uwt ulitawaliwa na rushwa - kikwete) by Mangula, kabla hajateuliwa kuwa katibu mkuu ccm angalau walikuwa makini tusijue, lakini hali imekuwa mbaya mno sijui ni kutokana na kujiamini kupita kiasi, manake kila kukicha meno ya tembo yanakamatwa kila pembe ya dunia, halafu kuna mijitu inajivua akili na kumchukia mkopi badala ya mwivi bin jangili haramia. anyway, kwa kuwa uzi huu umekaa kijingajinga zaidi napendekeza mod wautimulie kwa mbali.
 
Mnabishana na wanetu wamemaliza shule za kata juzi. Ufahamu wao kwa mambo ya pesa wanajua wapi? Wao boom ndio kila kitu. teh teh teh teh teh achana nao
 
Nimeona katika habari kwamba katibu mkuu wa CHADEMA daktari Slaa amejitetea kwamba hakuchukua mkopo wa milion 140 badala yake alikopa milion 20.

Lakin niseme kweli sijamwamini kwa kuwa ametumia muda mrefu sana kujibu tuhuma hii tofauti na kawaida yake ya kutoa matamko ya mambo kwa haraka na mara nyingine kukurupuka.

Nimeambiwa kwamba mpango ulikuwa akatae hakukopa ila bdae wakastuka kuna watu wanajua kwa uhakika alikopa wakaona wapunguze kiasi japo bado mkopo wake haukufuata taratibu na uwezo wa chama hauruhusu kujikopesha hata milion5.

Napata wasiwasi na credibility yake kwakweli na katika hili amekwama na kwakuwa amewahi kuwa mtumishi wa Mungu na aoneshe mfano kwa kujitokeza mbele ya umma na kukiri udhaifu ktk hilo.

kwani unataka kuolewa na doc?
 
Nimeona katika habari kwamba katibu mkuu wa CHADEMA daktari Slaa amejitetea kwamba hakuchukua mkopo wa milion 140 badala yake alikopa milion 20.

Lakin niseme kweli sijamwamini kwa kuwa ametumia muda mrefu sana kujibu tuhuma hii tofauti na kawaida yake ya kutoa matamko ya mambo kwa haraka na mara nyingine kukurupuka.

Nimeambiwa kwamba mpango ulikuwa akatae hakukopa ila bdae wakastuka kuna watu wanajua kwa uhakika alikopa wakaona wapunguze kiasi japo bado mkopo wake haukufuata taratibu na uwezo wa chama hauruhusu kujikopesha hata milion5.

Napata wasiwasi na credibility yake kwakweli na katika hili amekwama na kwakuwa amewahi kuwa mtumishi wa Mungu na aoneshe mfano kwa kujitokeza mbele ya umma na kukiri udhaifu ktk hilo.

Hacha weu wako wewe humwamini tena kwani wewe Umekuwa Josephine Mushumbisi? Au wewe n mke wake wa pembeni mpaka unafika hata ya Kusema himwamini? Hacha ubwe.ge dogo
 
From facebook
Willibrod Slaa


Hoja ya kujikopesha kwa sura ya ufisadi ni "mfu" nimetamka nilikopa 20 kwa kuwa watumishi wa vyama hawawezi kukopa kwingine. Aidha siyo 140 Million. Zote 20 m zililipwa awamu ya mwisho June 2012. Hivyo hakuna deni la chama tena.
2. Josephine hajawahi kulipwa hata senti mmoja na chama kwa ziara za Mikoani, wala kwa shughuli yeyote ile isipokuwa wakati wa kesi Arusha alipokuwa na mtoto wa miezi 3 na tulihitaji yaya
 
Inaonekana vishabiki vya CDM ni vizumbukuku kweli kweli badala ya kujadili hojavyenyewe vinakuja na matusi na jazba kibao, nadhani wanahitaji kuwa wavumilivu, kwa taarifa yao wataishia kuisikia ikulu tu mpaka mwisho wa chama chao.
 
Masanilo unaweza niita gamba ni kwa maoni yako...hatuwezi kujenga chama kwa kusifia kila kitu hata kama ni nje ya katiba ya chama....kwa taarifa yako mimi sio gamba nawachukia magamba laikini kwenye ukweli lazima tuseme..acheni unafiki.tutakuwa hatuna tofauti na magamba ambao wanasifia kila afanyacho JK hata kama ni upuuzi,hatuhitaji kufika huko

Mkubwa it is your choice.....wewe ni Gamba tu. Huna sababu ya kumchafua Dr Slaa kwa sababu yeyote baki na unafiki wako tuachie Dr Slaa na CDM yetu. Endelea kutomwamini Dr Slaa. Ila nakuhakikishia vita tutashinda tu sisi tuko na Mungu nyie bakini na Magamba
 
Ewe Elungata weka ushahidi humu jamvini kama alikopa mil 140, else ni uzushi tu
 
Nimeona katika habari kwamba katibu mkuu wa CHADEMA daktari Slaa amejitetea kwamba hakuchukua mkopo wa milion 140 badala yake alikopa milion 20.

Lakin niseme kweli sijamwamini kwa kuwa ametumia muda mrefu sana kujibu tuhuma hii tofauti na kawaida yake ya kutoa matamko ya mambo kwa haraka na mara nyingine kukurupuka.

Nimeambiwa kwamba mpango ulikuwa akatae hakukopa ila bdae wakastuka kuna watu wanajua kwa uhakika alikopa wakaona wapunguze kiasi japo bado mkopo wake haukufuata taratibu na uwezo wa chama hauruhusu kujikopesha hata milion5.

Napata wasiwasi na credibility yake kwakweli na katika hili amekwama na kwakuwa amewahi kuwa mtumishi wa Mungu na aoneshe mfano kwa kujitokeza mbele ya umma na kukiri udhaifu ktk hilo.


We Joe5 na magamba/masalia wenzako hamna sababu ya kumwamini Dr. wa ukweli. Mkimwamini DHAIFU inatosha. Kwa taarifa yako sisi wanaCHADEMA halisi (ambao si masalia) hutuambiwi chochote kuhusu Dr. Slaa. Tunasubiri 2015 tumkabidhi Dr. hii nchi
 
Dada Esterjohn mtakapomleta kugombea hyo 2015 mtataka na kura za wananchi tunaowapa ruzuku kwa kodi zetu,wanachama wa cdm msiofika milion 10 hamtatosha kumpa urais ndomana tuko tunahitaji majibu sahihi ya matumiz ya kodi zetu.
 
DR Slaa atakuwa ametufunga kamba. Nyumba za NHC Mbweni zinauzwa SH 120,000,000 yeye amekopa sh ngapi? au walimuulizia kwa punguzo maalum kama kiongozi kwa mil 20.:becky:
 
Mi nakuambia majibu ya babu yanamweka mtegoni,we mwache yatalipuka mambo hapa,atajuta kudanganya.
 
Gesi inaondoka mtwara ishachukuliwa na mafisadi. Tembo zaidi ya 60 wanakufa kila saa, madawa hakuna hospital, umeme siobwa uhakika. Vipi kijana unajadili masuala yasio na manufaa kwa nchi yako na kuacha hayo hayana jibu? Dai haki yako vinginevyo na wewe ni walewale mafisadi so hutuambii kitu.
Mjadala katika hili una manufaa hasa unapomhusisha Mtu anayetajwa kuwa ni miongoni mwa ''Presidential Contenders'' watarajiwa kwa ajili ya kupima credibility yake.
 
Dr. Ni kiboko , usiku kucha anatafutwa kuchafuliwa kisa ni vile anavopata umaarufu. Hakuna wanasiasa wengine e e e e e ? Mnanichosha . Endeleeni tu ila mnamwongezea cv.
 
Mjadala katika hili una manufaa hasa unapomhusisha Mtu anayetajwa kuwa ni miongoni mwa ''Presidential Contenders'' watarajiwa kwa ajili ya kupima credibility yake.

Kwa hiyo unamaanisha nini? Tufikirie kuhusu ukombozi au tukufikirien nyie mnaolazimisha vitu ilimradi muwatoe watu kwenye mawazo mengine ya ukombozi? Muda huu sio wa kuanza kufuatilia mtu kwa mambo ya kawaida kama haya ambayo yameshatolewa ufafanuzi. Je hao mabwana zenu mafisadi pamoja na kashfa zote hizo walishawahi kuja kutolea ufafanuzi kashfa zao. Kama Mamvi?
 
Nimeona katika habari kwamba katibu mkuu wa CHADEMA daktari Slaa amejitetea kwamba hakuchukua mkopo wa milion 140 badala yake alikopa milion 20.

Lakin niseme kweli sijamwamini kwa kuwa ametumia muda mrefu sana kujibu tuhuma hii tofauti na kawaida yake ya kutoa matamko ya mambo kwa haraka na mara nyingine kukurupuka.

Nimeambiwa kwamba mpango ulikuwa akatae hakukopa ila bdae wakastuka kuna watu wanajua kwa uhakika alikopa wakaona wapunguze kiasi japo bado mkopo wake haukufuata taratibu na uwezo wa chama hauruhusu kujikopesha hata milion5.

Napata wasiwasi na credibility yake kwakweli na katika hili amekwama na kwakuwa amewahi kuwa mtumishi wa Mungu na aoneshe mfano kwa kujitokeza mbele ya umma na kukiri udhaifu ktk hilo.

Hivi kumbe CHADEMA ni benki? Na utaratibu wa kukopa ukoje? Wanachama wengine pia wanaruhusiwa kukopa? Utaratibu huu wa mkopo uko wazi pia kwa wanachama wengine ambao wengi wao ni wamachinga ili angalao kujiongezea mitaji yao? Ni wanachama wepi wengine (wa kawaida, si viongozi) ambao walishakopa huko CHADEMA, na je wao pia bado wanadaiwa?

Kweli Mrisho Mpoto ni genius. "Waliopo hatuwataki, na wanaotaka tuwape hatuwaamini"!
 
Back
Top Bottom