wanatakiwa kuweka wazi watu wote wajue..na katiba ipitiwe pia wawe na leseni kutoka mamlaka zinazohusika kuwaruhusu kufanya hivo (kama inaruhusiwa kisheria) kumbuka tunategemea kuongoza nchi,hatuwezi kufanya mambo kienyejina kama cha kimeamua kuinvest kwenye kutoa mikopo ili kujipatia faidi kwa maendeleo zaidi??
Labda wapumbavu ndio watamuamini.
1 kakwapu mke wa mtu
2 anatumikia vyama viwili
3 kalamba 140mil za ruzuku
4 ameasi upadri.
Huyu haamini hata kidogo.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Masanilo unaweza niita gamba ni kwa maoni yako...hatuwezi kujenga chama kwa kusifia kila kitu hata kama ni nje ya katiba ya chama....kwa taarifa yako mimi sio gamba nawachukia magamba laikini kwenye ukweli lazima tuseme..acheni unafiki.tutakuwa hatuna tofauti na magamba ambao wanasifia kila afanyacho JK hata kama ni upuuzi,hatuhitaji kufika hukoGamba manyoya, Dr Slaa hahitaji kuungwa mkno na wewe kwa chochote
Nimeona katika habari kwamba katibu mkuu wa CHADEMA daktari Slaa amejitetea kwamba hakuchukua mkopo wa milion 140 badala yake alikopa milion 20.
Lakin niseme kweli sijamwamini kwa kuwa ametumia muda mrefu sana kujibu tuhuma hii tofauti na kawaida yake ya kutoa matamko ya mambo kwa haraka na mara nyingine kukurupuka.
Nimeambiwa kwamba mpango ulikuwa akatae hakukopa ila bdae wakastuka kuna watu wanajua kwa uhakika alikopa wakaona wapunguze kiasi japo bado mkopo wake haukufuata taratibu na uwezo wa chama hauruhusu kujikopesha hata milion5.
Napata wasiwasi na credibility yake kwakweli na katika hili amekwama na kwakuwa amewahi kuwa mtumishi wa Mungu na aoneshe mfano kwa kujitokeza mbele ya umma na kukiri udhaifu ktk hilo.
Lakin mbona mnaotetea hatuambii kama mkopo ulifata taratibu na kwa namna gari alipata huo mkopo wakati mikoan ruzuku imekuwa utata kufika? Na mbona wale wasemaji official wa chama hawaonekani ktk hili?
mia mkuu
Ficha upumbavu wako wewe mwanamke, CDM inachangiwa na sisi wana M4C hela nyingi kuliko ya ruzuku. Sisi tunaochangia tumetulia tuli katibu mkuu afanye kazi, halafu nyie zumbukuku ambao kila siku mnaiombea njaa CDM isambaratike ili muepuke jela, ndo mnajifanya mna uchungu na hela za CDM.
Nikiri wazi kwamba sijamsikia Dk akikiri kwamba ni kweli amekopa hela ya chama kwa matumizi binafsi.Lakini nimesoma kwenye vyombo vya habari kwamba amekiri kwamba amekopa lakini sio shilingi milioni 140 kama ilivyodaiwa awali,bali ni shilingi milion 20 tu.Nikiri pia kwamba mimi ni CHADEMA damu na nina kadi .Lakini suala la katibu mkuu wa chama kukopa hela ya chama kwa matumizi binafsi sio sahihi.Najua watu mtapinga lakini twende kwa hoja na tuweke ushabiki pembeni.Fedha za chama iwe ni kutokana na ruzuku au vyanzo vingine vya mapato inapaswa kutumika kwa manufaa ya chama na sio kwa matumizi binasfi, hata kama kuna makubaliano ya kurudishwa baadaye.
Kuna taasisi nyingi ambazo zinatoa mikopo kwa watu binafsi na kwa makampuni.Sitaki kuamini kwamba Dr alijaribu kufanya hivyo akashindwa.Hili suala kama ni kweli linatia doa moja kwa moja chama chetu na tunawapa CCM cha kusema.
Majibu sahihi kabisa. Ila bado ataleta tena hoja ya kipuuzi maana uwezo wao wa kufikiri umefika mwisho.Mimi sio mtoto mwenzio we binti, M4C inachangiwa wakati wowote kwa kuwa kuna namba za Mpesa. Kama ungekuwa na akili ungeanza kuhuzunikia na kuonea huruma hatima ya TEMBO wa nchi hii ambao Abdulahman Kinana akishirikiana na maghaidi wenzie toka Somalia wanawaua tembo kwa kasi ya ajabu. Siku hizi wanatumia wanajeshi wetu kuua tembo kwa kisingizio cha katibu mkuu wa chama tawala. Pia kuna ufisadi wa bomba la mafuta la mtwara ambako mafisadi wameongeza dola milioni 532 cha juu. We unalalamikia hela ambayo hujawahi kuchangia, nyie ndio huwa mnaolewa na kuachika kwa kuwa na msimamo.
Mama Mingoi tunayemfaham sisi alikuwa na msimamo hasa linapokuja suala la kukata viuno pale Twanga Pepeta, sasa we sijui ni binti yake huna msimamo kabisa
Nimeona katika habari kwamba katibu mkuu wa CHADEMA daktari Slaa amejitetea kwamba hakuchukua mkopo wa milion 140 badala yake alikopa milion 20.
Lakin niseme kweli sijamwamini kwa kuwa ametumia muda mrefu sana kujibu tuhuma hii tofauti na kawaida yake ya kutoa matamko ya mambo kwa haraka na mara nyingine kukurupuka.
Nimeambiwa kwamba mpango ulikuwa akatae hakukopa ila bdae wakastuka kuna watu wanajua kwa uhakika alikopa wakaona wapunguze kiasi japo bado mkopo wake haukufuata taratibu na uwezo wa chama hauruhusu kujikopesha hata milion5.
Napata wasiwasi na credibility yake kwakweli na katika hili amekwama na kwakuwa amewahi kuwa mtumishi wa Mungu na aoneshe mfano kwa kujitokeza mbele ya umma na kukiri udhaifu ktk hilo.
Nimeona katika habari kwamba katibu mkuu wa CHADEMA daktari Slaa amejitetea kwamba hakuchukua mkopo wa milion 140 badala yake alikopa milion 20.
Lakin niseme kweli sijamwamini kwa kuwa ametumia muda mrefu sana kujibu tuhuma hii tofauti na kawaida yake ya kutoa matamko ya mambo kwa haraka na mara nyingine kukurupuka.
Nimeambiwa kwamba mpango ulikuwa akatae hakukopa ila bdae wakastuka kuna watu wanajua kwa uhakika alikopa wakaona wapunguze kiasi japo bado mkopo wake haukufuata taratibu na uwezo wa chama hauruhusu kujikopesha hata milion5.
Napata wasiwasi na credibility yake kwakweli na katika hili amekwama na kwakuwa amewahi kuwa mtumishi wa Mungu na aoneshe mfano kwa kujitokeza mbele ya umma na kukiri udhaifu ktk hilo.
Watu mnafikra za ajabu kweli,kiongozi anayekopa na kurudisha fedha mnampigia kelele ila wale wanaojichotea kwa wizi na 10persent za miradi ya maendeleo mnawaona mashujaa wenu.ulukoko toka usingizini. slaa ankipeleka chama pabaya kwa maslahi yake. ni mlafi. anapenda pesa kupindikuia. inaelekea hujawahi kanyaga makao makuu ya cdm ukanusa angalau nini kinaendelea pale. nasikitika kuona ya kwamga hatuna wana mapinduzi wa kweli ambao watatukomboa watanzania na kutupeleka kwenye maisha bora........ amka ulukoko. ondoa ukungu kwenye ubongo wako.