Sio kwamba viongozi wa juu wa CDM ni miungu watu la hasha,hao ni watu wenye utu na uchungu na nchi yao haswawakiangalia manyinyiem mlivyokosa haya na utu.Ninawashangaa pro Chadema kwa kutetea kila upuuzi wa viongozi wao,hivi leo ukimkosoa kiongozi wako utakuwa si mwanachama wa Chadema? mbona mnataka kuwafanya viongozi wenu kuwa miungu watu?
Ficha upumbavu wako wewe mwanamke, CDM inachangiwa na sisi wana M4C hela nyingi kuliko ya ruzuku. Sisi tunaochangia tumetulia tuli katibu mkuu afanye kazi, halafu nyie zumbukuku ambao kila siku mnaiombea njaa CDM isambaratike ili muepuke jela, ndo mnajifanya mna uchungu na hela za CDM.
kama vujiruzuku kidogo tu,vinatafunwa tukimkadhi nchi hao tembo unaowazungumzia watapona?
Kwani hata kama amekopa milioni 140 ni kosa? Kosa ni kuiba siyo kukopa ndugu!
Labda wapumbavu ndio watamuamini.Anaaminiwa na watanzania wazalendo sio mafisadi wa aina yako,hata yeye hataki umwamini"
Kweli we Chadema unadhubutu kusema hivyo????????????? Wakati tunapigia kelele fedha za EPA watu kukopeshwa kinyemela bila kufuata taratibu?????????? Tukitaka wafilisiwe na kwenda KEKO na viboko 12 akiingia 12 akitoka akamueleze MKEO/MUMEO. Sasa tunahubiri nini na kufanya nini??????????? SHAME ON THEM
Hii propaganda imeshindwa tayari, japo tunajaribu kuivuta vuta lakini kiukweli ndo imeshakufa!
Tumtafute mwigulu na Nape watusaidie kuanzisha uongo mwingine, huu umekufa kirahisi sana![/QU
Ndugu yangu Mikael P Aweda Hawa watu wa sisimasalia wanaimba nyimbo zile zile na chorus ile ile. Labda waje na nyimbo mpya. Dr Slaa atabaki kiongozi wetu mpendwa.Mimi sikujua kama EPA ni mkopo! Hii ni kali ya mwaka!. Siku hizi watu wanakopeshwa BOT? Slaa amesema kakopa mil 20. Ssa wewe unataka nini? Si anazirudisha?
Hivi moja ya matumizi ya ruzuku za vyama siasa ni kujikopesha kwa matumizi binafsi?
CC Tendwa,Utoh
ni sawa elungata ...suala hapa ni taratibu,inakuaje chama kinakopesha hela viongozi,kwa nini asingeenda kukopa hela bank...Dr ni mtu maarufu na reputable sidhani kama anaweza kosa hela bankLakini si ni million 20 tu jamani...sio kama masalia wanaodai ni milion 140.