GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,550
- 108,882
Tupunguze sana ' Nongwa ' zetu ambazo nahisi zingine ni ama zinasababishwa tu na Wivu wetu kama ' Waswahili ' au huwa hatupendi kutafuta Ukweli wa Jambo husika.
Kwa Mfano leo tuko hapa tunapiga hii ' Nongwa ' kumhusu Batilda Buriani ila tukiacha ' Unafiki ' wetu ' Uliotukomaa ' Watanzania ( Waswahili ) ni nani ana Ushahidi kamili ( wa kutosha ) kuhusu hizi ' Shutuma ' ambazo tunazielekeza Kwake kutokana na ' Mihemko ' yetu Sisi wana Mitandao?
Halafu ni nani aliyewadanganyeni Watanzania ( Waswahili ) kuwa ukifanya ' Blunder ' sehemu fulani ndiyo huwezi tena kuwa na ' Ufanisi ' wa Kiutendaji sehemu nyingine? Kwani Mtu akiwa amekosea hawezi ' Kujirudi ' na baadae akawa Mtu mzuri tena hata kuliko waliopo au alivyokuwa huko awali?
Tambueni wengine wana Nyota zao pia.
Kwa Mfano leo tuko hapa tunapiga hii ' Nongwa ' kumhusu Batilda Buriani ila tukiacha ' Unafiki ' wetu ' Uliotukomaa ' Watanzania ( Waswahili ) ni nani ana Ushahidi kamili ( wa kutosha ) kuhusu hizi ' Shutuma ' ambazo tunazielekeza Kwake kutokana na ' Mihemko ' yetu Sisi wana Mitandao?
Halafu ni nani aliyewadanganyeni Watanzania ( Waswahili ) kuwa ukifanya ' Blunder ' sehemu fulani ndiyo huwezi tena kuwa na ' Ufanisi ' wa Kiutendaji sehemu nyingine? Kwani Mtu akiwa amekosea hawezi ' Kujirudi ' na baadae akawa Mtu mzuri tena hata kuliko waliopo au alivyokuwa huko awali?
Tambueni wengine wana Nyota zao pia.