KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Bila ya kumtetea huyo 'dikteta', uozo mwingi umeenea ndani ya chama chenyewe, na hata katika jamii nzima sasa.Ukosefu wa demokrasia miaka 5 ya muovu dikteta jiwe haikutoa fursa kwa wanasiasa wapya kuonesha vipaji vyao. Ndiyo maana watu wanaojulikana vipaji vyao ni wale wa enzi ya Kikwete.
Madhara ya kuongozwa na mwendazake ndiyo tunayaona