Siasa za Mbeya 2005-2010

HUO NI MRADI WA MWAKIPESILE NA MULLA KULA FEDHA YA EPA

Steven wa BOT hawezi hata kushinda uchaguzi wa uenyekiti wa kijiji cha Mwakaleli! Wengi tunamfahamu hapa Mbeya, ni mdebwedo kama Tom Mwang'onda na hafahamiki kiasi hicho hata kama magazeti ya Rostam yataendelea kumwandika kila siku. Tatizo la Mkoa wa Mbeya ni ushamba na ulimbukeni wa watu wa Mbeya.

Watu wa Mbeya hawana aibu, wanatumiwa na watu walio nje ya mkoa kukomoana wao wenyewe! Ujinga huu huwezi kuuona Kilimanjaro au Mwanza, ni ujinga maalum wa watu wa Mbeya! Tom Mwang'onda alichochewa na akina Lowassa kumg'oa Mpesya, akaishia yeye mwenyewe kung'oka meno pamoja na baba yake kumalizia ushushushu wake wote na fedha ya EPA kwenye uchaguzi huo!

Tom Mwang'onda huyo huyo akachochewa na akina Rostam, Lowassa na Makamba kumg'oa Mwandosya kwenye NEC, akaishia tena kung'oka meno mengi zaidi pamoja na kusaidiwa na vyombo vya dola, Mkuu wa Mkoa, Wakuu wote wa Wilaya, Makamba, watendaji wote wa CCM na baba yake! Sasa, akina Rostam, Lowassa, Makamba na Kingunge wameona Tom hafai, atafutwe mtu mwingine wa kutumwa.

Kama kawaida yake, korokoroni wao Mbeya - Mwakipesile, akamtafuta Steven na anamwandaa ati kupambana na Mwandosya! Mwakipesile si mjinga, anajua kuwa Steven hawezi! Lakini anajua kuwa huo ni mradi wa kula fedha ya EPA! Steven ni mradi wa Mwakipesile na Mulla kutafuna vizuri fedha ya EPA aliyonayo Rostam. Hata mimi nimekaa mkao wa kula kumshabikia Steven ili nipate mgao wangu wa EPA! Hii Bongoland bwana!

Mimi nina taarifa kuwa hata Dk. Mwakyembe katafutiwa mtu wa kupambana naye! Mtu mwenyewe ni dereva wa malori anaitwa Elias Mwanjala! Huo ni mradi mwingine wa Mwakipesile wa kula hela ya EPA. Wabunge wengine machachari Zambi, Dk. Siame na Victor Mwambalaswa ati nao wametafutiwa wagombea.

YOTE HII NI MIRADI YA KINA MWAKIPESILE NA JANGILI MULLA KULA FEDHA YA EPA!
 
Tunawatakia heri wakina Mwakipesile na Mulla. Nasikia Nchimbi naye atajitosa jimbo moja Mbeya!!!
 
Siasa za mbeya ndo zilivyo, ukabila ndo msingi mkuu, hata hivyo mmesahau kuwa mtanzania ni gazeti la fisadi rostam, mnategemema liandike lolote zuri kuhusu mwandosya?

Mwana JF mmoja alishasum up siasa za mbeya kwa kusema:

2. Harrison Mwakyembe – a frustrated intellectual turned political mercenary. Among the three "Mwas" giants from Mbeya (Mwakyembe, Mwandosya, and Mwakyusa), he is the least accomplished despite his somewhat decent schooling. Eager to play in Serie A like the other Mwas, he is up for sale, and price could be as low as the Deputy Ministerial portfolio. He surprised many who thought highly of him by presenting his Richmond report to the House without the decorum befitting his personage and reputation and by including references to Kubenea incident that did not have anything to do with a power deal he was asked to investigate.

However, he is clever enough to know that Tanzanians have such a short attention span and his 15 minutes will be over soon. One thing is clear: he will go down the way of another sensational Mbeya politician, Njelu Kasaka, who shook the nation in the 1990s and got the audacity to run for President in 1995 while his 15 minutes were up.

 
Hahaha huyo Mwakipesile ni bogus of all time... kila mtu anajua na uzuri wake hata yeye anajua kuwa hana jipya na wala hana IQ hata kuongoza nyumba kumi ni majungu na fitina ndio anaweza...sasa kama anatumiwa na mitandao ya wapumbavu na mafitina kutuharibia Siasa za mkoa ..inabidi wakazi MBY waamke na wajiweke sawa kwa uvamizi huoo nina imani na uhakika kuwa hata JK hawapendi watu wa MBY ama la hapendi wawakilishi wa MBY maana karibia mwaka 3 sasaa hajakanyaga Mby kwa nn???Time Will Tell wana MBY amkeni..ujinga kama huo mikoa mingine haiwezekani kuchezewa namna hiyoo...huyo nchimbi asithubutu kwenda MBY asubirie atumwe kwenda kwa masangoma kumlinda JK hilo tu ndio ngao yake anawajua masangoma wote Africa.
 
HUO NI MRADI WA MWAKIPESILE NA MULLA KULA FEDHA YA EPA

Steven wa BOT hawezi hata kushinda uchaguzi wa uenyekiti wa kijiji cha Mwakaleli! Wengi tunamfahamu hapa Mbeya, ni mdebwedo kama Tom Mwang'onda na hafahamiki kiasi hicho hata kama magazeti ya Rostam yataendelea kumwandika kila siku. Tatizo la Mkoa wa Mbeya ni ushamba na ulimbukeni wa watu wa Mbeya.

Watu wa Mbeya hawana aibu, wanatumiwa na watu walio nje ya mkoa kukomoana wao wenyewe! Ujinga huu huwezi kuuona Kilimanjaro au Mwanza, ni ujinga maalum wa watu wa Mbeya! Tom Mwang'onda alichochewa na akina Lowassa kumg'oa Mpesya, akaishia yeye mwenyewe kung'oka meno pamoja na baba yake kumalizia ushushushu wake wote na fedha ya EPA kwenye uchaguzi huo!

Tom Mwang'onda huyo huyo akachochewa na akina Rostam, Lowassa na Makamba kumg'oa Mwandosya kwenye NEC, akaishia tena kung'oka meno mengi zaidi pamoja na kusaidiwa na vyombo vya dola, Mkuu wa Mkoa, Wakuu wote wa Wilaya, Makamba, watendaji wote wa CCM na baba yake! Sasa, akina Rostam, Lowassa, Makamba na Kingunge wameona Tom hafai, atafutwe mtu mwingine wa kutumwa.

Kama kawaida yake, korokoroni wao Mbeya - Mwakipesile, akamtafuta Steven na anamwandaa ati kupambana na Mwandosya! Mwakipesile si mjinga, anajua kuwa Steven hawezi! Lakini anajua kuwa huo ni mradi wa kula fedha ya EPA! Steven ni mradi wa Mwakipesile na Mulla kutafuna vizuri fedha ya EPA aliyonayo Rostam. Hata mimi nimekaa mkao wa kula kumshabikia Steven ili nipate mgao wangu wa EPA! Hii Bongoland bwana!

Mimi nina taarifa kuwa hata Dk. Mwakyembe katafutiwa mtu wa kupambana naye! Mtu mwenyewe ni dereva wa malori anaitwa Elias Mwanjala! Huo ni mradi mwingine wa Mwakipesile wa kula hela ya EPA. Wabunge wengine machachari Zambi, Dk. Siame na Victor Mwambalaswa ati nao wametafutiwa wagombea.

YOTE HII NI MIRADI YA KINA MWAKIPESILE NA JANGILI MULLA KULA FEDHA YA EPA!

Lazarosmtindi,

Inaelekea unawajua vizuri hao waheshimiwa. Nikuulize swali, je huyo Mwanjala si ndiye aliongoza kampeni za Dr. Mwakyembe mwaka 2005? Ndiye aliyetoa baadhi ya magari yaliyokuwa yanabeba wajumbe kwenda kuwaficha kule Tukuyu kabla ya uchaguzi. Je kumetokea nini leo kawa upande wa Mwakipesile?

Kama nilivyowahi kuandika huko nyuma Dr. Mwakyembe na Mwakipesile wanahusika kwa njia moja ama nyingine na kukwamisha maendeleo ya wilaya Kyela kwa kuendeleza ugomvi wa kisiasa badala ya kuchapa kazi.

Mwaka 2010 hauko mbali na waambieni waache ujinga wao huo vinginevyo wote wawili wajiandae kuwajibika 2010.

Uchaguzi uliisha mwaka 2005 na Mwakipesile wananchi walimkataa, inatakiwa akubali hilo na kusonga mbele. Lakini pia Dr. Mwakyembe hawezi kuchukia anapoona mwana Kyela mwenzake anapewa nafasi. Ni ujinga kushangilia kuona mwana Kyela mwingine anakuwa chini na kula vumbi. Sisi tunaamini ng'ombe akiumia malishoni hujikokota zizini kusaidiwa. Mwakipesile aliumia vibaya mwaka 2005 na ilitakiwa apewe pole na sio kuendeleza vijembe hata baada ya uchaguzi.

Mtu hachagui jirani yake, hivyo hivyo huwezi kuchagua mtu wa kufanya naye kazi. Inatakiwa hawa mafahari wawili wakae pamoja na kuacha kusikia maneno ya watu ambao sio wa Kyela ya kuwachonganisha na kuwagombanisha kwa cost ya Kyela.

Mwakipesile alikuwa na miaka 10 ya kuitumikia Kyela, hakufanya lolote la maana, wana Kyela wanajua hilo. Sio rahisi kwake kurudi wala sio rahisi kwake kuwa Nyerere wa Kyela. Ashukuru nafasi hiyo aliyopewa na kuitumia vizuri kuendeleza mkoa wake. Ni wachache sana ambao wanapewa nafasi za kutumikia mikoa yao. Inatakiwa ashukuru mungu kwa hilo na sio kutumia hicho cheo kupinga viongozi waliochaguliwa na wananchi.

Kyela haiwezi kutumika kama uwanja wa JK na prof. kupambana. Wote wako kwenye baraza la mawaziri na kama wana ugomvi wapambane huko.

Kama Steven anataka kugombea Rungwe, mwache afanye hivyo na ni haki yake, vile vile Mwanjala kama naye anataka kujitosa Kyela mwache afanye hivyo na ni haki yake sawa na raia mwingine yeyote. Ushauri wangu tu ni kwamba waende huko kutokana na dhamira zao na wala sio kutumwa na watu wa mbali. hatutaki Mamluki Kyela.

Kuna umaskini wa kutisha Kyela, badala kuhangaika kuwasaidia hao wananchi, wao kila siku ni kuongelea migogoro tu. Wakati Rungwe wanasonga mbele, Kyela iko pale pale pamoja na resources nyingi na pia kuwa mpakani.

Mnaowachochea hawa mafahari wawili acheni kwa faida ya Kyela. 2010 itafika na mtakuwa na uwezo wa kupiga siasa kadri muwezavyo. Kwasasa tuongelee namna ya kuisogeza wilaya mbele.

Mimi nawajua vizuri sana hawa waheshimiwa wawili, najua uzuri na matatizo yao. Ila kwa faida ya Kyela nitakuwa neutral na sitaki kujiingiza kwenye ugomvi wao.
 
HUO NI MRADI WA MWAKIPESILE NA MULLA KULA FEDHA YA EPA

Watu wa Mbeya hawana aibu, wanatumiwa na watu walio nje ya mkoa kukomoana wao wenyewe! Ujinga huu huwezi kuuona Kilimanjaro au Mwanza, ni ujinga maalum wa watu wa Mbeya! Tom Mwang'onda alichochewa na akina Lowassa kumg'oa Mpesya, akaishia yeye mwenyewe kung'oka meno pamoja na baba yake kumalizia ushushushu wake wote na fedha ya EPA kwenye uchaguzi huo!


Umeniunja mbavu.....kaaziiii kweli kweli.
 
Kwa kweli watu wa Mbeya watabidi waamke waache ujinga wa kutumiwa, wafanye vitu vya maendeleo..Maendeleo hatatokani na majungu nakutupiana matope. Miaka mitatu ya Mh Mwakipesile mzaliwa wa mbeya imezaa nini? Acheni siasa fanyeni kazi.
 
Ndugu zangu nafikiri sisi watu wa mbeya tuna laana,nasikia hata mke wa Prof.Mwakyusa ana tabia ya kuchukua magari ya hospitali kwenda kufanyia shughuri zake binafsi na watu wanaogopa kumkatalia.Inatia aibu sana hii,ikifika september,2009 nitajitambulisha jina langu kamili nikabiriane na upuuzi huu na nitabandika picha kuthibitisha udhabiti wa dhamira yangu.
Minyakyusa ndio tulivyo! Heshima waliotujengea akina Elly Anangisye na wenzake inapotea kwa kuongozwa na viongozi kama hawa tulio nao sasa hivi.Naomba sana wanambeya tumtafute kijana wetu Mmanyi Malang'ombe ajitokeze sasa kuziba ombwe na viongozi wa mkoa wetu.
 
Kwa kweli watu wa Mbeya watabidi waamke waache ujinga wa kutumiwa, wafanye vitu vya maendeleo..Maendeleo hatatokani na majungu nakutupiana matope. Miaka mitatu ya Mh Mwakipesile mzaliwa wa mbeya imezaa nini? Acheni siasa fanyeni kazi.
Na huko Rungwe mke wa Prof Mwakyusa anachukua magari ya afya pale hospitali ya wilaya kwa shughuri zake binafsi na watumishi wanamwachia tu, bila kumkatalia.Namtafuta sana kijana Mmanyi Malang'ombe ajitokeze kwa chama chochote cha upinzani amshe upya mkoa wetu kuziba ombwe la uongozi waliloliacha akina Elly Anangisye na Mwakitwange tukimwacha mnafiki wa Nyerere,Mzee Mwakangale.


HABARI KUTOKA NYANDAZA JUU KUSINI

Katika kile kinachoonekana kuchoka, vijana katika Manispaa ya songea walilazimika kuzomea msururu wa mashangingi yaliyofika kwenye Mkutano wa ALAT Taifa ulkiofanyika Mjini Songea. Wengi wa vijana hao walisikika wakiimba mafisadi hao! na kutaka serikali ichukue hatua haraka kuyauza kwani mashangingi haya yamekuwa hayana faida zaidi ya kujitengenezea sifa zisizokuwa na faida kwenye nchi maskini.

Wakati huo huo habari kutoka Iringa zinasema Mkuu wa Mkoa wa Iringa alianguka wakati wa ziara ya JK kwa kuhofia kwamba Mhe. Galinoma aka Jiwe alikuwa tayari kumsulubu mbele ya bosi wake kutokana na tabia yake ya kufokea watu hadharani. Mama huyo ambaye bado anaendelea kuteseka kwa kishindo hicho cha maradhi ya ghafla ana kasheshe nyingine na Wakatoliki ya kumpa kibali cha kujenga hoteli ya kitalii kwa mmiliki wa hoteli ya peacock kwenye kiwanja cha Chuo kikuu cha St Augustine.
Habari ndio hiyo!
 
Mhh Elias Mwanjala kwenye ubunge? mhh haya wee siasa inachezewa sasa naona! twendeni tu tutafika kama mambo yenyewe ndiyo hayo? Elias Mwanjala alitumiwa na Dk.Mwakyembe kwasababu ya pesa aliyonayo kushawishi wananchi wa kyela kumpigia kura Mwakyembe lakini kama ameona hiyo ni nafasi tosha inayomfanya kujidai anauwezo wa kumuondoa Dk.Mwakyembe pale tusubiri tuone! yetu macho na masikio!!
 
Mhh Elias Mwanjala kwenye ubunge? mhh haya wee siasa inachezewa sasa naona! twendeni tu tutafika kama mambo yenyewe ndiyo hayo? Elias Mwanjala alitumiwa na Dk.Mwakyembe kwasababu ya pesa aliyonayo kushawishi wananchi wa kyela kumpigia kura Mwakyembe lakini kama ameona hiyo ni nafasi tosha inayomfanya kujidai anauwezo wa kumuondoa Dk.Mwakyembe pale tusubiri tuone! yetu macho na masikio!!

Kinyamana,

Ni kweli Bw. Mwanjala anajiandaa kuwa mgombea; nilipokuwa likizo mwaka jana nilikutana naye Kyela na katika mazungumzo aliniambia kwamba ana mpango huo ... na tayari malori yake huwa yanashusha bidhaa katika kata mbali mbali from time to time ... and you guessed it right, alikuwa anapewa msukumo na Lowassa pamoja na Mwakipesile ... sijui sasa hivi hali ikoje.
 
hivi wala ndizi wenzetu......mbeya na ujanja wote huo hawana website!!
 
Kinyamana,

Ni kweli Bw. Mwanjala anajiandaa kuwa mgombea; nilipokuwa likizo mwaka jana nilikutana naye Kyela na katika mazungumzo aliniambia kwamba ana mpango huo ... na tayari malori yake huwa yanashusha bidhaa katika kata mbali mbali from time to time ... and you guessed it right, alikuwa anapewa msukumo na Lowassa pamoja na Mwakipesile ... sijui sasa hivi hali ikoje.
Taarifa nilizonazo ni kwamba DED yule mwanamke ndiye aliyekuwa mratibu wa mradi huo.Bahati nzuri amehamishwa na nafasi yake imechukuliwa na Senyagwa kwa sasa hivi wacha tusubiri kusikia yanayofuatia.
 
Taarifa nilizonazo ni kwamba DED yule mwanamke ndiye aliyekuwa mratibu wa mradi huo.Bahati nzuri amehamishwa na nafasi yake imechukuliwa na Senyagwa kwa sasa hivi wacha tusubiri kusikia yanayofuatia.
Swala la kugombea sio msukumom ni demokrasia inayoweza kuja kwa njia mbalimbali hivyo so far nakubaliana na mtu yeyote anaefanya maandalizi yake mapema.
 
Gazeti la Mtanzania leo limeandika kuhusu kikao cha kamati ya siasa ya Mbeya kilichokaa tarehe 17 Decemba. Mh mwana mama na mbunge alitaka kumvisha nguo yake ya ndani mwenyekiti mpya wa wazazi kisa, hakumuunga mkono wakati wa kampeni zake kuwania uwenyekiti wakina mama!!!!!
 
Back
Top Bottom