Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,965
- 10,460
Hivi mkoa gani mwingine ambapo mkuu wa mkoa ni mzaliwa wa mkoa huo?
Definitely hakuna!
Huenda hii ilifanywa kwa minajili maalum na mkuu wa kaya.
Hivi mkoa gani mwingine ambapo mkuu wa mkoa ni mzaliwa wa mkoa huo?
Hivi mkoa gani mwingine ambapo mkuu wa mkoa ni mzaliwa wa mkoa huo?
Mafuchila,Hiyo influence ya mtandao kumuweka RC ilitoka kwa Lowassa au JK?Maana kama ni JK itakuwa contradiction kwa maana Mwakyembe nilifikiri alikuwa karibu sana na JK,au siyo?
Mwanakijiji,
Sina hakika kama ni Mbeya tu; lakini kwa ujumla wake, huyu jamaa alipewa U-RC Mbeya kwa kazi maalum, hasa baada ya kujeruhiwa vibaya sana na Mwakyembe kwenye kura za maoni, ndipo mtandao ukampa U-RC ili amshungurikie Mwakyembe kwa upande mmoja na Mwandosya kwa upande mwingine. Na jamaa anawajibika kweli kweli katika katika kumdhibiti Mwakyembe, kwani alishapewa green light na wazee wenyewe. Rejea kamati ya Kinana na matokeo yake pale Mwakyembe alipolalamika kwa JK kwamba Mwakipesile anahujumu juhudi zake.
Mafuchila,
Hiyo influence ya mtandao kumuweka RC ilitoka kwa Lowassa au JK?
Maana kama ni JK itakuwa contradiction kwa maana Mwakyembe nilifikiri alikuwa karibu sana na JK,au siyo?
Pundit,
Mwakyembe sio mtu wa JK. Ila JK huwa hasemi tu na wala haonyeshi kirahisi kama anamchukia mtu au la.
Mwakyembe alifanya kosa kama la Msekwa. Alienda kuwambia JK kwamba anataka kuacha bunge la EA ili akagombee Kyela. JK akasema sawa, Mwakyembe akachukulia kama ni green light wakati JK alikuwa na yake.
Ilipofika uwaziri, Mwakyembe akaachwa nje.
Mwakyembe ndiye alikuwa mpiga debe namba moja wa prof. Mwandosya kwahiyo
hakukuwa na uwezekano wa kuwa kitu kimoja na JK.
JK na Lowassa mtu wao kule Mbeya ni Mwakipesile. Pia Mwakipesile ndiye anaungwa mkono na vigogo wengi kutoka mkoa wa Mbeya. Mwakyembe anaungwa mkono na Prof. mwandosya.
Pundit,
JK na Lowassa mtu wao kule Mbeya ni Mwakipesile. Pia Mwakipesile ndiye anaungwa mkono na vigogo wengi kutoka mkoa wa Mbeya. Mwakyembe anaungwa mkono na Prof. mwandosya.
Mkulu Mtanzania,
Saafi sana, dataz nzito hizo na ni streeo tupu, je vipi Mwakyusa nini hatima yake kwenye this whole mess?
Kuhusu Mwakyembe kuwania uwaziri, sidhani kama pana mtu anayeweza kuthibitisha hilo. Kumweleza JK nadhani ilikuwa ktk taratibu za kikazi Mwakyembe hakutoka from nowhere, nadhani nafasi zake za awali zilikuwa zinakidhi haja zake, hili la ubunge nafikiri ni moyo wa utaifa uliomvuta na kama ilivyo kwa wabunge wengi wananchi uwaomba watu wagombee kwa sababu kuona watafanya vema kuliko yule aliyepo.
Mtanzania,
Kweli unaijua Mbeya! Uliyoongea sina la kuongeza sema tu kama utagombea ubunge kule ili tukupigie debe!
Taabu yaangu mimi nilipenda demu mmoja kule Mbeya na alinitesa sana --yaani sina hamu na watu wa Mbeya!
Mwanakijiji,
Sina hakika kama ni Mbeya tu; lakini kwa ujumla wake, huyu jamaa alipewa U-RC Mbeya kwa kazi maalum, hasa baada ya kujeruhiwa vibaya sana na Mwakyembe kwenye kura za maoni, ndipo mtandao ukampa U-RC ili amshungurikie Mwakyembe kwa upande mmoja na Mwandosya kwa upande mwingine. Na jamaa anawajibika kweli kweli katika katika kumdhibiti Mwakyembe, kwani alishapewa green light na wazee wenyewe. Rejea kamati ya Kinana na matokeo yake pale Mwakyembe alipolalamika kwa JK kwamba Mwakipesile anahujumu juhudi zake.
Mafuchila,
Hiyo influence ya mtandao kumuweka RC ilitoka kwa Lowassa au JK?
Maana kama ni JK itakuwa contradiction kwa maana Mwakyembe nilifikiri alikuwa karibu sana na JK,au siyo?
Hivi ni vitugani ambavyo hawa watu wawili wamevifanya huko kwao kyela ktk kuchochea maendelea ambayo watu wa huko kwao yamewanufaisha japo kidogo.
Sasa naanza kupata picha ya Lowasa na Kamati na Spika kumweka Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati .Nina anza sasa ku recall maneno ya Lowasa na madaha makubwa toka kwa Mwakyembe siku ya kusoma report .Hii ngoma tunasema Lowasa kaenda lakini CCM wana kaangana na ndiyo maana leo haya tunawaona kama wanalikuwa wamoja naamini Lowasa na report vyote vingaliweza kumalizika kimya kimya .So again JK is not real for my rich country but tunaitwa watu masikini .Maskini weeeeeeeeeee
FMES,
Huyu mkuu alikuwa anakula huku na huku. Yeye na Mwakipesile walikuwa wanahudhuria vikao vyote vya kumuuza Prof. Mwandosya kwenye urais lakini
huku chini chini walikuwa mtandao.
Kuna watu wanasema Prof. Mwakyusa hakuwa mtandao, nafikiri hawaelewi vizuri politics za Mbeya.
JK aliliingia kundi la Mwandosya mno bila wao kujua. Walipokuja kujua tayari wakawa wamefungwa goli.
Kwa wabunge, nafikiri ni Mwakyembe tu ambaye alikuwa mtu wa prof. Mwandosya kwa asilimia 100.
Huyo prof. Mwakyusa, mwaka 2010 nafikiri atakuwa na kazi ngumu kweli kweli kule Rungwe.