Siasa za Mbeya 2005-2010

Hizo ni spin za wanamtandao kila siku wakilala wanamuota profesa Mwandosya. Huyo Mwakipesile aliwekwa na Lowassa ili amuangamize profesa Mwandosya wakati wa kugombea NEC, lakini pamoja na kutumia vyombo vya dola na fedha za EPA/KAGODA kuwahonga wajumbe Profesa aliibuka mshindi dhidi ya Tom Mwan'gonda!! Sasa hii taarifa ya huyo kijana wa BOT kumpinga Mwandosya ni spin za wakina Rostam na wapambe wao; Lowassa amekwiasha adhirika ingawa kuna mbinu za kutaka kumrudisha hilo litakuwa kosa ambalo Kikwete atalijutia maisha yake yote!!
 
Hizo ni spin za wanamtandao kila siku wakilala wanamuota profesa Mwandosya. Huyo Mwakipesile aliwekwa na Lowassa ili amuangamize profesa Mwandosya wakati wa kugombea NEC, lakini pamoja na kutumia vyombo vya dola na fedha za EPA/KAGODA kuwahonga wajumbe Profesa aliibuka mshindi dhidi ya Tom Mwan'gonda!! Sasa hii taarifa ya huyo kijana wa BOT kumpinga Mwandosya ni spin za wakina Rostam na wapambe wao; Lowassa amekwiasha adhirika ingawa kuna mbinu za kutaka kumrudisha hilo litakuwa kosa ambalo Kikwete atalijutia maisha yake yote!!
You should be one of them kuelezea hoja hii.
 
Hizo ni spin za wanamtandao kila siku wakilala wanamuota profesa Mwandosya. Huyo Mwakipesile aliwekwa na Lowassa ili amuangamize profesa Mwandosya wakati wa kugombea NEC, lakini pamoja na kutumia vyombo vya dola na fedha za EPA/KAGODA kuwahonga wajumbe Profesa aliibuka mshindi dhidi ya Tom Mwan'gonda!! Sasa hii taarifa ya huyo kijana wa BOT kumpinga Mwandosya ni spin za wakina Rostam na wapambe wao; Lowassa amekwiasha adhirika ingawa kuna mbinu za kutaka kumrudisha hilo litakuwa kosa ambalo Kikwete atalijutia maisha yake yote!!
 
Wakuu mnaniacha hoi, hivi kuna ubaya gani mtu kugombea? Kila mtu ana haki bora anajiamini na uwezo wake. Mwamuzi ni wananchi wenyewe.

Haya ya huyu katumwa na nani hayasaidii kabisa hapa. Kwani kumpinga prof. ni kitu gani?

Hizi siasa za Mbeya za you are either with us or the terrorist sidhani kama zinafaida kwa wananchi. Watu wanaoona wana uwezo waende kugombea tu hata kama watakuwa 100 na wananchi wataamua nani anawafaa.
 
]Hata huo mpangilio wako siyo wa kikatiba.Kama rais hayupo majukumu yake yatafanywa na Makamu wa rais,kama nae hayupo basi ni Waziri Mkuu(spika?) Makamba hatofanya maamuzi makubwa ya nchi[/B][/COLOR].Hao ma top wa CCM walishaandika ilani ya chama 2005-2010 na jukumu la utekelezaji liko kwa serikali.

Hujaelewa Tunaongelea kichama. Na usisahau maamuzi ya chama tawala ndiyo final hata kama judge anatawala nchi. Ninadhani unahitaji katiba kujua haya mambo. Lazima ujue hilo ili uweze kuongea point hapa. Vinginevyo tutakuwa tunaongea kwenye frequencies toafauti sana.

Nasisitiza kuwa kwenye politics hakuna issues ya shule. Hii ni global phenomenon. Usije ukadhani una PhD ukachukua forms at watu watakupigia kura. Si kweli. Hizo ni politics. . Nimeweka mkazo kwenye neno politics! Ili uelewe zaidi, Kikwete anaendesha nchi kwa kutumia Ilani ya CCM.
 
Hujaelewa Tunaongelea kichama. Na usisahau maamuzi ya chama tawala ndiyo final hata kama judge anatawala nchi. Ninadhani unahitaji katiba kujua haya mambo. Lazima ujue hilo ili uweze kuongea point hapa. Vinginevyo tutakuwa tunaongea kwenye frequencies toafauti sana.

Nasisitiza kuwa kwenye politics hakuna issues ya shule. Hii ni global phenomenon. Usije ukadhani una PhD ukachukua forms at watu watakupigia kura. Si kweli. Hizo ni politics. . Nimeweka mkazo kwenye neno politics! Ili uelewe zaidi, Kikwete anaendesha nchi kwa kutumia Ilani ya CCM.


Nadhani hujui unachokiongea manake unajichanganya tu.Uliposema asipokuwepo Mwenyekiti wa CCM(Kikwete)na Makamo(Msekwa),Makamba ndiye atakayefanya maamuzi makubwa ya nchi,hayo maamuzi makubwa ni maamuzi gani?Na makamu wa Rais au waziri mkuu au spika watafanya kazi gani kipindi hicho?Kwahiyo Kikwete akiwa nje,maamuzi ya nchi huwa yanafanywa na Makamba?Au mpaka sasa ni maamuzi gani makubwa ya nchi ambayo Makamba ameshafanya?
Sasa unasema Kikwete anaendesha nchi kwa ilani ya CCM wakati nilishakwambia kabisa kuwa hiyo ilani ilishaandikwa na hao ma top wa CCM na sasa ni kazi ya serikali(inayoongozwa na Kikwete) kuyatekeleza.Makamba hatengenezi vipande vipande vya ilani katika muda huu na kumpa Kikwete ili aongozee nchi.
Usomi siyo PhD na kuwa na PhD siyo guarantee ya kupata kura.Lakini kwa zama hizi tulizopo ukiwa msomi unakuwa na nafasi nzuri zaidi ya kucheza politics kuliko mbumbumbu.
 
Tatizo la watu wa mkoa wa mbeya hasa wanyakyusa ni selfishness; hawa ni watu wabinafsi hasa viongozi wao.Huna haja ya kwenda mbali we waangalie hao wabunge wao maprofesa ni wanafiki wala hawana msaada kwa watu wanaotoka kwao ukiwafananisha na wenzao kutoka mikoa ya ziwa na kaskazini!! Ndio maana Lowassa aliweza kumpandikiza Mwakipesile kuhujumu mkoa kwa ujinga huo huo. Soon it will be daybreak and their selfishness will cost them dearly. Tatizo ni kwamba wakijakushindwa mchawi wao Atasingiziwa [Mtandao] kumbe ukweli ni ujinga na ubinafsi wao.
 
Tatizo la watu wa mkoa wa mbeya hasa wanyakyusa ni selfishness; hawa ni watu wabinafsi hasa viongozi wao.Huna haja ya kwenda mbali we waangalie hao wabunge wao maprofesa ni wanafiki wala hawana msaada kwa watu wanaotoka kwao ukiwafananisha na wenzao kutoka mikoa ya ziwa na kaskazini!! ....


Msaada upi unaoongelea hapa?! KIla mtu anatakiwa ajisaidie mwenyewe.
 
Mkuu yani Prof Mwandosya,Prof Mwakusya,Dr.Mwakyembe pamoja na usomi wao uliotukuka bado wanachanganywa na watu wa type ya kina Makamba,Nchimbi au RA?

Kwenye siasa hakuna usomi. Ni ujanja wa kuchanganya maneno na uongo. Wasomi sio waongo wazuri. Kwa taarifa yenu Elias Mwanjala ndie mmiliki wa kampuni yenye malori inayoitwa E.M. Trucking Limited
 
Tatizo la watu wa mkoa wa mbeya hasa wanyakyusa ni selfishness; hawa ni watu wabinafsi hasa viongozi wao. Huna haja ya kwenda mbali we waangalie hao wabunge wao maprofesa ni wanafiki wala hawana msaada kwa watu wanaotoka kwao........

acha kashfa wewe. umeacha kazi zako kuja kukodolea macho kioo cha kompyuta huku ukikashfu watu? kweli kuna maprof 2 na dk 1. hao ni viongoz lakin kama wanafanya madudu itakuhalalishaje wewe kusema wanyakyusa wote in selfish? narrow thinking? umefanya utafiti gani? hiyo sample mbona siyo representative bwana bulesi?
walenge hao maprof au dk kama shida yako ndo hiyo. wengine achana nao.
lasivyo funga safari mpaka kule au tembea tz nzima popote walipo halafu pima kias cha uselfish walichonacho then njoo hapa mwaga data.

Ndio maana Lowassa aliweza kumpandikiza Mwakipesile kuhujumu mkoa kwa ujinga huo huo.

wakat mwakipesile anapewa kazi ya ukuu wa mkoa wa mbeya, lowasa alikuwa pm kama sikosei. pm ndo mshauri mkuu wa presidaa. unamaana gani kusema alipandikizwa?
 
watu wa mkoa wa mbeya na wilaya pamoja na majimbo yake yote wanalilia maendeleo. umaskini umeenea kama sehemu nyingi hapa tanzania.
watu hawatak longolongo. wanataka kuongozwa vizur kumfikia huyo bwana maendeleo.
ufisad utapunguza kas ya kumfikia maendeleo.
mifarakano kati ya wakubwa itapunguza umakin na umoja wa kumfikia maendeleo.
wakubwa wetu wakipingana kweli wanapingana kwasababu kila mmoja au kila upande unaamini una njia bora zaidi za kutuwezesha tupate maendeleo haraka?
wanapigania kutuongoza vizur?
 
Bwana Mwakatojofu kweli wewo " Ntojofu "!! Nimefanya utafiti huko kwenu Tukuyu na nimegundua kuwa mara kwa mara nyie ni watu wa kugombana wenyewe kwa wenyewe na hiyo inaletwa na umimi . Viongozi wenu toka enzi za marehemu Kasambala walikuwa hawapatani mpaka Kasambala akaangushwa ubunge huku akiwa Waziri pekee toka huko ,kitu ambacho watu wa kaskazini wasingefanya; wao walikaa na ELIUFOO mpaka alipokufa. Hivi sasa Mwakipesile badala ya kutumia nafasi aliyopewa/kupandikizwa kuendeleza kwao yeye ndio anakuwa kikwazo cha maendeleo ya Mkoa!! sasa mambo haya yanatokea kwa sababu wanyakyusa ni 'WATOJOFU" bwana Mwakatojofu. Hii niliyokueleza ni sample ndogo tu lakini indicative; msingekuwa na ujinga huu mgekuwa mmbali sana.
 
Tatizo la watu wa mkoa wa mbeya hasa wanyakyusa ni selfishness; hawa ni watu wabinafsi hasa viongozi wao.Huna haja ya kwenda mbali we waangalie hao wabunge wao maprofesa ni wanafiki wala hawana msaada kwa watu wanaotoka kwao ukiwafananisha na wenzao kutoka mikoa ya ziwa na kaskazini!! Ndio maana Lowassa aliweza kumpandikiza Mwakipesile kuhujumu mkoa kwa ujinga huo huo. Soon it will be daybreak and their selfishness will cost them dearly. Tatizo ni kwamba wakijakushindwa mchawi wao Atasingiziwa [Mtandao] kumbe ukweli ni ujinga na ubinafsi wao.


Nakupata ndugu yangu.Ndiyo mana mimi nikauliza wanavurugwa au wanajivuruga wenyewe?Ubinafsi ndiyo unatumaliza watanzania na ndiyo inakuwa rahisi hata mtu wa nje kujiingiza na kutubomoa.Tunapokutana tunajifanya ndugu na kuchekeana kumbe mioyoni tumejaa unafiki,chuki na fitina.Mwakipesile ameshindwa ubunge kwa Mwakyembe kiuhalali kabisa sasa ana sababu gani ya kuendeleza mizengwe na kumkwamisha mbunge wake asitekeleze majukumu yake kikamilifu kama siyo ubinafsi?
 
Mwakipesile ameshindwa ubunge kwa Mwakyembe kiuhalali kabisa sasa ana sababu gani ya kuendeleza mizengwe na kumkwamisha mbunge wake asitekeleze majukumu yake kikamilifu kama siyo ubinafsi?

viongoz sampuli hii hawatufai. hawawez kutuongoza tukatoka.
hata waliowaweka wanapowaangalia tu wanapokoroga mambo pia wana matatizo makubwa. huwez muweka mtu sehemu akawa anaharibu ukamnyamazia tu. watu tutatafsiri kuwa ndivyo upendavyo. labda kama umejiridhisha kuwa hayo ni majungu dhidi yake.

itatuchukua miaka mingi kusonga mbele tukiongozwa na watu wa aina hii
 
kama kasamala alipoteza nafas sio lazima kuwa sababu ilikuwa umimi. unless una uhakika kuwa ulikuwa umimi. jaribu kutanuka.

... Hivi sasa Mwakipesile badala ya kutumia nafasi aliyopewa/kupandikizwa kuendeleza kwao yeye ndio anakuwa kikwazo cha maendeleo ya Mkoa!! ...

du, kama ndo hivyo mwakipesile ovyo. hafai. anakwamisha juhud za watu wa kyela mbeya na ambao ni watanzania kusonga mbele. anakwamisha hata jitihada za rais wetu kikwete. huenda hajui. angejua angemtosa.

....... msingekuwa na ujinga huu mgekuwa mmbali sana...

ujinga wa aina moja hata kama upo sio lazima uwe the only cause ya umaskin. mambo mengi yanachangia maendeleo ya jamii kutokea. umaskin pia unasababishwa na mambo mengi tu. kumbuka, mbeya ni part ya tanzania. tanuka bulesi!
 
Bwana Mwakatojofu kweli wewo " Ntojofu "!! Nimefanya utafiti huko kwenu Tukuyu na nimegundua kuwa mara kwa mara nyie ni watu wa kugombana wenyewe kwa wenyewe na hiyo inaletwa na umimi . Viongozi wenu toka enzi za marehemu Kasambala walikuwa hawapatani mpaka Kasambala akaangushwa ubunge huku akiwa Waziri pekee toka huko ,kitu ambacho watu wa kaskazini wasingefanya; wao walikaa na ELIUFOO mpaka alipokufa. Hivi sasa Mwakipesile badala ya kutumia nafasi aliyopewa/kupandikizwa kuendeleza kwao yeye ndio anakuwa kikwazo cha maendeleo ya Mkoa!! sasa mambo haya yanatokea kwa sababu wanyakyusa ni 'WATOJOFU" bwana Mwakatojofu. Hii niliyokueleza ni sample ndogo tu lakini indicative; msingekuwa na ujinga huu mgekuwa mmbali sana.

Bulesi,

Kuna mengi ya ukweli umeandika kwenye mada hii lakini pia kuna mengine yale kijiweni ambayo sio sahihi sana.

Ni ukweli ubinafsi na migogoro inaimaliza Mbeya. Kibaya sasa watu wa mbali ndio wanakuja kuwagonganisha viongozi wa Mbeya na wao kweli wanagombana, ni ujinga mtupu.

Madaraka ya mkuu wa mkoa na mbunge yanaeleweka. Mbunge anayejua kazi yake hawezi kusingizia kukwamishwa na mkuu wa mkoa. Kama mbunge anajua anataka kufanya nini, atafanikiwa tu hata kama kiongozi wa mkoa anampiga vita. Tumeona wabunge wa upinzani ambao wanapigwa vita na viongozi karibu wote wa mikoa yao lakini kwa wale wachapa kazi bado matunda yao yanaonekana.

Kinachotokea sasa Mbeya ni watu kushindwa majukumu yao na kuanza kutafuta visingizio mbalimbali vya kupigwa vita.

Hapo mkoani ni prof. Mwandosya tu ndio ana deliver, wengine hao utawakuta kwenye vijiwe Dar huku wilaya zao ziko hoi.

Kupigwa vita na kiongozi mwingine hata siku moja hakuwezi kuwa kisingizio cha kushindwa kazi. In fact inaweza kusaidia maana ukiona kuna watu wengi wanakuangalia na kukuombea ushindwe ndio na wewe unaongeza juhudi. Lakini kwa baadhi ya hawa waheshimiwa ni sikio la kufa halisikii dawa. Kila siku ni kulalamika tu wanapigwa vita. Kama hawana muda wa kukaa kwenye majimbo yao, hayo maendeleo watayasimamia lini?
 
Back
Top Bottom