Siasa ya Mafuta na Gesi: Kuibadili gesi asilia kuwa mafuta ya petroli inaweza punguza gharama tunazotumia kuagiza mafuta hayo kutoka mataifa ya nje

HAPANA.. Tunapozungumzia SUSTAINABLE DEVELOPMENT huwezi wekeza Kwenye reversal reactions za Gas to Petroleum(liquid) while those resources are limited, non renewables and environmental pollutants. Kwa akili hizi za kumeza tu madesa hatuwezi produce kina ELON MUSK..Dunia ishabadilika magari yanaweza kua powered hata Na wind/Solar pia bado ya umeme, megawatts 2115 zinakuja be excited.
Gari za umeme zinakuja, tatizo lililopo kwenye gari za umeme ni ENERGY STORAGE DENSITY. Energy storage ya Kilogram moja au lita moja ya petroli ni mara mia moja (100) ya energy storage ya lithium ion bettery ambazo zinatumika kwenye hayo magari ya umeme. Hiyo inamaana kwamba hizo gari kwasasa ufanisi wake hauwezi kufikia gari zinazotumia fossil fuel.

Hivyo bado ndugu utafiti unaendelea.
 
Mbona hili mzalendo Jiwe hakuliona mkuu maama tunaambiwa alikuwa na uwezo wa kinabii
Mnafikiri hakuona kwa kuwa alikaa kimya. Gesi yetu ameikuta imeshasainishwa mikataba mibovu kwa miaka kadhaa mbele na watu wanaendelea kufaidika wakati wana Mtwara hawana chochote.
 
Yaani inakaaje akilini gesi uchimbie Mtwara, umeme uzalishie Kinyerezi, kisa nini? Bado tunachekeana tu.
 
Ndio hivyo mkuu
Sasa petroli ikiingia kwenye engine si inageuzwa tena kuwa gase
ili iweze kutumika kuendesha Engine,.Sasa kuna umuhimu gani kubadili Gas kuwa Petrol?

Mi naona kama matumizi ya Gas kama fuel ni rahisi na ni direct kwa Magari kuliko kuigeuza kuwa petrol kisha petrol igeuzwe tena na Engine kuwa Gas!

Hebu niweke sawa kama uelewa wangu ni tofauti Dada Mtaalam.
 
Gari zijazo ni za umeme! Mi naona tungeanzidha assembly plant ya magari ya umeme nafikiri yako cheap kutengeneza kuliko yale ya combustion engine! Motor haina mbwembwe nyingi kama ma piston
Kumbe magari ya umeme ni rahisi kutengeneza and cheap in price? Sasa Tanzania watu wetu wa Private Sector wanasubiri mpaka Rais aagize??? tunalala muno!!!!
 
Kumbe magari ya umeme ni rahisi kutengeneza and cheap in price? Sasa Tanzania watu wetu wa Private Sector wanasubiri mpaka Rais aagize??? tunalala muno!!!!
Mi nafikiri process ya kutengeneza motor haina gharama sana kama ya kutengeneza ICE
 
Watafutwe wawekezaji Serikali ijitoe kwenye hizo Biashara.
Kama alivyotafuta kikwete akauza kila kitu mjomba Magu alipoingia akakuta gesi ilishafanyiwa biashara na mmiliki anataka faida akaona isiwe taabu akaanzisha bwawa la Nyerere ilikupata affordable power source tujifunze hapo.
 
Petroli ni moja ya mafuta ambayo huagizwa kutoka katika mataifa ya nje kwa ajili ya kutumiwa katika magari madogo na ya kati.

Mafuta ya petroli ambayo yanaigizwa kutoka mataifa ya nje yanachukua karibia robo (1/4) ya bidhaa za mafuta ambayo huagizwa kutoka mataifa ya nje kama ilivyo ripotiwa na EWURA mwaka 2014.

Sasa kwakuwa mafuta ya Petroli ya gredi ya juu kabisa yanaweza kuzalishwa kwa kutumia gesi asilia. Mradi huu unaweza kuokoa kiasi kikubwa cha fedha ambazo zinatumika kuagiza mafuta kutoka mataifa ya nje kila mwaka.

Kama tukijenga kiwanda chenye uwezo wa 0.23MTPA kinaweza kutoka mapipa 6350 ya Petroli kwa siku (6350bpd).

Mapipa hayo yataweza kupunguza asilimia 27 za Petroli na 36 za gesi ya LPG ambazo huwa tunaziagiza kutoka katika mataifa ya nje.

Hapa chini ni prosesi nzima inayo onyesha hatua zaa kuibadirisha gesi asilia kuwa petroli (gasoline).

Kwenye gesi asilia kuna kampaundi yenye kabon atom moja (C1) ambayo ni methane kwa jina la kitaalamu hivyo tutafanya miungano ya kikemikali ili kutengeneza kampaundi zenye kaboni atom kuanzia tano (C5) hadi kaboni atom kumi na mbili (C12) ambayo ndio petroli yenyewe.

Pia wakati wa kufanya miungano tutapata na kampaundi zingine zenye kaboni tatu (C3) na kaboni nne (4) ambayo ndio LPG yenyewe hiyo gesi inayouzwa kwa kina Mihani, Oryx, Lake Gas n.k.

Ukitaka kujua zaidi unaweza kunitafuta nitakuelewesha vizuri na kukuelewesha zaidi.

Unazungumzia process kubwa hivo wakati ata tubu za tairi bado hatujawez tengeneza.. Wonders shall never end.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Petroli ni moja ya mafuta ambayo huagizwa kutoka katika mataifa ya nje kwa ajili ya kutumiwa katika magari madogo na ya kati.

Mafuta ya petroli ambayo yanaigizwa kutoka mataifa ya nje yanachukua karibia robo (1/4) ya bidhaa za mafuta ambayo huagizwa kutoka mataifa ya nje kama ilivyo ripotiwa na EWURA mwaka 2014.

Sasa kwakuwa mafuta ya Petroli ya gredi ya juu kabisa yanaweza kuzalishwa kwa kutumia gesi asilia. Mradi huu unaweza kuokoa kiasi kikubwa cha fedha ambazo zinatumika kuagiza mafuta kutoka mataifa ya nje kila mwaka.

Kama tukijenga kiwanda chenye uwezo wa 0.23MTPA kinaweza kutoka mapipa 6350 ya Petroli kwa siku (6350bpd).

Mapipa hayo yataweza kupunguza asilimia 27 za Petroli na 36 za gesi ya LPG ambazo huwa tunaziagiza kutoka katika mataifa ya nje.

Hapa chini ni prosesi nzima inayo onyesha hatua zaa kuibadirisha gesi asilia kuwa petroli (gasoline).

Kwenye gesi asilia kuna kampaundi yenye kabon atom moja (C1) ambayo ni methane kwa jina la kitaalamu hivyo tutafanya miungano ya kikemikali ili kutengeneza kampaundi zenye kaboni atom kuanzia tano (C5) hadi kaboni atom kumi na mbili (C12) ambayo ndio petroli yenyewe.

Pia wakati wa kufanya miungano tutapata na kampaundi zingine zenye kaboni tatu (C3) na kaboni nne (4) ambayo ndio LPG yenyewe hiyo gesi inayouzwa kwa kina Mihani, Oryx, Lake Gas n.k.

Ukitaka kujua zaidi unaweza kunitafuta nitakuelewesha vizuri na kukuelewesha zaidi.

Pipa la mafuta ghafi ya petroli duniani limepanda kwa kiwango cha juu kabisa katika kipindi cha miaka 3 toka mwaka 2018 hadi kufikia $75 leo 2021 hii ikilinganishwa na $65 mwaka 2018. Inategemewa bei kuendelea kupanda hadi kufikia $85 kwa pipa.

Hii ni habari mbaya kwa uchumi wa mataifa maskini yanayojitahidi "kusimamisha chumi zao" na nzuri kwa mataifa yanayozalisha mafuta kwa wingi.Tutashuhudia kupanda kwa bei za vitu vingi kama bei katika soko la dunia itaendelea kuongeza. Tujiandae, tusije kuanza kulalama.

Sababu kubwa ya kupanda bei kwa kasi ni OPEC kushindwa kukubaliana kuongeza uzalishaji wa mafuta ghafi.
 
Pipa la mafuta ghafi ya petroli duniani limepanda kwa kiwango cha juu kabisa katika kipindi cha miaka 3 toka mwaka 2018 hadi kufikia $75 leo 2021 hii ikilinganishwa na $65 mwaka 2018. Inategemewa bei kuendelea kupanda hadi kufikia $85 kwa pipa.

Hii ni habari mbaya kwa uchumi wa mataifa maskini yanayojitahidi "kusimamisha chumi zao" na nzuri kwa mataifa yanayozalisha mafuta kwa wingi.Tutashuhudia kupanda kwa bei za vitu vingi kama bei katika soko la dunia itaendelea kuongeza. Tujiandae, tusije kuanza kulalama.

Sababu kubwa ya kupanda bei kwa kasi ni OPEC kushindwa kukubaliana kuongeza uzalishaji wa mafuta ghafi.
 
Back
Top Bottom