Si kila mwanamke Aliye JF ni Malaya

Si kila mwanamke Aliye JF ni Malaya

Ahhh! Kule ambako kila mtu na mtu wake.

Halafu yule jamaa yake ana wivu sana kama mwanamke. Hataki Shunnie aguswe.
Ndicho kilichonikimbiza Makapuku; na Makapuku ikalega lega na hata kupoteza umaarufu. Watu wako very tight na watu wao hata ukimsalimia mtu tu unaonekana kiroja. Afadhali Sakayo angalau alikuwa akinisalimia [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mpaka yale mabango nafasi za kuamia zimejaa, lakini kila wiki wanafunzi wapya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Chanzo cha haya yote ilikuwa thread aliyoanzisha na kusema sasa hivi ameamua kuwapanga wanaume.

Quote hiyo hapo chini.

Wakuu.
....
Nimeamua sitalazimishwa kupendwa na Nitaendelea kuwapanga Hamna namna.
 
Hata mimi niliona anarekebisha watu ngeli halafu kwa kukurupuka. Basi hiyo jana aliandika phiscal appearance nikamrekebisha kwamba ni physical ugomvi ukaanzia hapo. Ila sikumuacha nikahakikisha mwisho wa ugomvi kaandika kitu kinachoeleweka.
Sikujua kama na wewe uko ngangari hivi [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom